hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Pspf hatar sana... Mi nna mzee wangu kastaafu toka January hadi Leo...Alipe kwanza madeni ya mifuko ya hifadhi kama PSPF, wazee wamestaafu wengine zaidi ya miezi sits hawajalipwa na shida zinataka kuwauwa.
Bunge lili ambiwa deni la mifuko ya jamii ni zaidi ya Trilioni 6
Yaani Lumumba imeishiwa watu. Na wenzake nao wanaitikia AMINA. Yaani papara hadi mtu hajui anaandika niniHayo mahesabu umesomea wapi au ndio ukilaza wenyewe huo......3*5= 30 ?
mkuu umetumia hesabu gani hapo kupata ndege 30 kwa miaka minne?Hii ni ndoto inayoenda kuwa ya kweli.
Katika bajeti ya serikali ya mwaka 2016/2017 Tanzania imetenga fedha ya kununua ndege tatu ( 3 ). Nawaza kwa sauti kwamba endapo rais ataamua hatua hiyo iwe kila bajeti ya mwaka ina maana hadi mwaka 2020 KWA MARA YA KWANZA TANGU UHURU, TANZANIA ITAKUWA NA NDEGE 30.....AMaZiNg...
wakati Kikwete anaingia Tanzania ilikuwa na Ndege Mbili. wakati anaondoka madarakani Tanzania imejikuta ina shirika la Ndege lisilo na Ndege.
Mkuu mwenzetu yuko kazini kuusaka UDC au ukatibu tawala wa wilayaYaani Lumumba imeishiwa watu. Na wenzake nao wanaitikia AMINA. Yaani papara hadi mtu hajui anaandika nini
Hayo mahesabu umesomea wapi au ndio ukilaza wenyewe huo......3*5= 30 ?
NapitaaHii ni ndoto inayoenda kuwa ya kweli.
Katika bajeti ya serikali ya mwaka 2016/2017 Tanzania imetenga fedha ya kununua ndege tatu ( 3 ). Nawaza kwa sauti kwamba endapo rais ataamua hatua hiyo iwe kila bajeti ya mwaka ina maana hadi mwaka 2020 KWA MARA YA KWANZA TANGU UHURU, TANZANIA ITAKUWA NA NDEGE 30.....AMaZiNg...
wakati Kikwete anaingia Tanzania ilikuwa na Ndege Mbili. wakati anaondoka madarakani Tanzania imejikuta ina shirika la Ndege lisilo na Ndege.
akili za mwendokasiHayo mahesabu umesomea wapi au ndio ukilaza wenyewe huo......3*5= 30 ?
Kwanza tuanzishe kikundi cha kwaya ili ndege zinapofika tuzipokee kwa nyimbo....................Pamoja na kusifu mambo tofauti tofautiHii ni ndoto inayoenda kuwa ya kweli.
Katika bajeti ya serikali ya mwaka 2016/2017 Tanzania imetenga fedha ya kununua ndege tatu ( 3 ). Nawaza kwa sauti kwamba endapo rais ataamua hatua hiyo iwe kila bajeti ya mwaka ina maana hadi mwaka 2020 KWA MARA YA KWANZA TANGU UHURU, TANZANIA ITAKUWA NA NDEGE 30.....AMaZiNg...
wakati Kikwete anaingia Tanzania ilikuwa na Ndege Mbili. wakati anaondoka madarakani Tanzania imejikuta ina shirika la Ndege lisilo na Ndege.