Maeneo gani mazuri ya kupata chakula Iringa mjini?

Motowntzjpm

Senior Member
Jun 16, 2023
120
194
Wadau msaada tukutane wapi ambapo Wanaume 4 tunaweza kupata chakula Iringa mjini tukipita saa 7 Leo chakula ambacho sio cha kusubiri, fresh na matunda juisi , nyama , supu Samaki na kuku
 
Nyuma ya stend kuu zamani au uliza kwa kaundama hapo,au mpigie cm mchungaji msigwa anakulaga hapo menu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom