Maendeleo yanaheshimu rangi?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
7,189
10,368
Nchi zinazochukuliwa kuwa "the most developed in Africa" ni Mauritius, Seychelles, Algeria, Egypt, Tunisia, Libya, South Africa, Gabon, Botswana, Morocco, and Mauritius.

Ukiacha Gabon, karibia nchi zote zilizotajwa hapo juu zina unasaba na Uarabu au Uzungu!
Algeria, Egypt, Tunisia, Libya, na Morocco ni nchi za Kiarabu.

South Africa inafahamika, ni kwa Makaburu.

Botswana nako kuna mchango wa Uzungu. Rais wa kwanza wa Botswana, Sir Seretse Khama, mkewe alikuwa Mzungu wa Uingereza. Huwezi kuyatenganisha mafanikio yake na mchango wa mke wake. Inasemekana, yeye kama Rais wa kwanza, aliiweka misingi imara ya uongozi.

Seychelles nako wana unasaba na Wazungu.

Tukirudi Tanzania, wanaoongoza kwenye orodha ya matajiri ni Watanzania wenye ngozi nyeupe.

Ukigoogle, TOP 10 RICHEST PEOPLE IN TANZANIA utawakuta wafuatao: Mohammed Dewj,
, Rostam Aziz, Said Salim Bakhressa, Ally Awadh, Shakhar Kanabar, Fida Hussein Rashid, Shubash Patel, Yusuf Manji, Ghalib Said Mohammed, na Yogesh Manek. Ukiangalia sura za hao matajiri, utabaini kuwa rangi nyeupe ndiyo iliyotamalaki.

Je, kuna uhusiano wa rangi na mafanikio?

Nchi zilizoendelea zaidi Afrika ni zile zenye Wazungu au Waarabu!

Orodha ya Watanzania matajiri zaidi inaongozwa na Watanzania wenye rangi nyeupe.

Je! Mafanikio yao yamechochewa na rangi ya ngozi zao?

Suala la mafanikio ni la rangi ya ngozi au uwezo wa akili?

Mimi niaminivyo, ni akili. Labda, watu wenye rangi nyeupe wana akili kuzidi wenye ngozi nyeusi, au rangi zao zianawafanya wapendelewe na hivyo kufanikiwa kirahisi?
 
Nchi zinazochukuliwa kuwa "the most developed in Africa" ni Mauritius, Seychelles, Algeria, Egypt, Tunisia, Libya, South Africa, Gabon, Botswana, and Mauritius...
Ulikuwa hujui hili? Au umechelewa kujua?

Popote walipo watu weusi katika dunia hii basi kuna matatizo, kama uhalifu, Utumiaji wa madawa ya kulevya na bangi kupita kiasi, Ujinga, NA zaidi hakuna ustaarabu kwa Wanaume na Wanawake

Tazama USA majimbo yaliyojaa weusi, tazama South Africa maeneo yenye weusi tii, tazama Jamaica, njoo Bongo sehemu hovyohovyo, chafuchafu hukuti wazungu, Waarabu wala wahindi badala yake wao huishi Magorofani, Beach Area au Uzunguni

Ngozi nyeusi ni tatizo katika Ustaarabu na Maendeleo
 
Mwafrika hawezi kuwa na maendeleo kwa sababu anakosa sifa ya uaminifu kuthibitisha ili mfungulie biashara ndugu yako ili muinuke wote kisha leta majibu.
Siri ya weupe wote kuwa na maendeleo wao wamewekeza sana kwenye uaminifu.
Wabongo upigaji
Hili ndilo jibu sahihi.

Jamaa zangu washa nitia hasara nyingi sana.

Unafungua mradi wa kumsaidia na yeye lakini anauhujumu.

Tukipata nyazifa tunaendelea na tabia ya kuhujumu.

Ni kuwa bado hatuja staarabika.
 
Haya ya muafrika kuwa maskini ni madhara ya ubepari. Ubepari ukikatiza kokote hata ukiacha mendeleo, maendeleo yake yatabakia kuwa ya upande fulani ambapo unapita katika kona za kirangi "race", kikabila "tribal" , kikanda "kusini mwa afrika kuna umaskini uliokithir dunia nzima".

Although humo ndani kunakuaga na exceptional generic, kuna ambao watatoboa au kuna ambao watanusurika na line hizo. Mfano, ukiangalia kirangi wazungu au white ni matajir sana lakin kuna waafrika wengine ni matajiri kupita BAADHI ya matajiri wa kizungu.

Angalia maendeleo na umaskin Tanzania ulivyojitokea mikoa/kanda ya kusini. Angalia umaskin ulivyokaa kikabila. Kuna makabila yanatoa matajir wengi sana..

Etcetera
 
Ngozi nyeupe ilianza ustarabu na kupambania utafutaji wa maisha na maendeleo toka karne ya 1 hadi ya 5 baada ya Yesu. Walisafiri uku na huko katika dunia kutafuta na kuwalisisha vizazi vyao kwa maendeleo zaidi.

Wa Africa kwa zaidi ya Miaka 2000 iliopita walikua wakiishi kwa kutegemea mazingira tu( nature) sio kutafuta uku ma uko. Wa Africa walidumaa, akili zimerudi kuanzia 1960 walipoanza kupigania uhuru. Ndio maana Mzungu au Mu Asia wana miliki uchumi Africa kuliko wazawa.
 
Back
Top Bottom