Kwanini uzuie? Udikteta is inevitable when ufisadi situation is alarmingOK, bado tunajiuliza wananchi wanawezaje kuzuia kuzaliwa kwa madikteta?
Kwani kuzuia ufisadi,wizi na ubadhilifu ndio udikteta? Au unachanganya maana mkuu?Kwanini uzuie? Udikteta is inevitable when ufisadi situation is alarming
Hapana...bahatimbaya kwa watanzania..u dikteta ndo lugha pekee mnayoielewaKwani kuzuia ufisadi,wizi na ubadhilifu ndio udikteta? Au unachanganya maana mkuu?
Hayo si ni mambo yanayoshughulikiwa kwa sheria sio hapa tuu bali duniani pote.
Jerry Rawlings wa Ghana alipambana na hayo mambo kwa mkono wa chuma lakini hakuwahi kuitwa dikteta kwa nini? Ni kwa vile akikuwa anatumia sheria na sio utashi na aliheshimu katiba ndio maana kastaafu kwa heshima
Bunge lipi ? Hili la yes yes mzee?Tunamuona Magufuli DIKTETA kwa Sababu ya hangover ya utawala wa JK. Lkn laiti kama Magufuli ndo angepokea kijiti kutoka kwa Mkapa ambaye ni kariba na role model wa Magufuli wala tusingeongea haya. Ukweli ni kwamba upinzani ulideka mno kwa JK. Hebu tukubali kuishi kama watoto wa kambo kidogo tuone kama hafai basi tunamwondoa madarakani maana si lazima kumaliza miaka 5. Wananchi kupitia Bunge wanaweza kumwambia Magu basi baba, inatosha. Ishia hapo.
Tunamuona Magufuli DIKTETA kwa Sababu ya hangover ya utawala wa JK. Lkn laiti kama Magufuli ndo angepokea kijiti kutoka kwa Mkapa ambaye ni kariba na role model wa Magufuli wala tusingeongea haya. Ukweli ni kwamba upinzani ulideka mno kwa JK. Hebu tukubali kuishi kama watoto wa kambo kidogo tuone kama hafai basi tunamwondoa madarakani maana si lazima kumaliza miaka 5. Wananchi kupitia Bunge wanaweza kumwambia Magu basi baba, inatosha. Ishia hapo.
Hapana...bahatimbaya kwa watanzania..u dikteta ndo lugha pekee mnayoielewa
Bungee la ccm, limejaaa ndioooooo hata penye hapana. SahauTunamuona Magufuli DIKTETA kwa Sababu ya hangover ya utawala wa JK. Lkn laiti kama Magufuli ndo angepokea kijiti kutoka kwa Mkapa ambaye ni kariba na role model wa Magufuli wala tusingeongea haya. Ukweli ni kwamba upinzani ulideka mno kwa JK. Hebu tukubali kuishi kama watoto wa kambo kidogo tuone kama hafai basi tunamwondoa madarakani maana si lazima kumaliza miaka 5. Wananchi kupitia Bunge wanaweza kumwambia Magu basi baba, inatosha. Ishia hapo.
Vipi democrasia? Mbona MTU akihoji tu polisi wapo mlangoni?Kwani kuzuia ufisadi,wizi na ubadhilifu ndio udikteta? Au unachanganya maana mkuu?
Hayo si ni mambo yanayoshughulikiwa kwa sheria sio hapa tuu bali duniani pote.
Jerry Rawlings wa Ghana alipambana na hayo mambo kwa mkono wa chuma lakini hakuwahi kuitwa dikteta kwa nini? Ni kwa vile akikuwa anatumia sheria na sio utashi na aliheshimu katiba ndio maana kastaafu kwa heshima
Vipi lugumi, ESCROW, au ndio mwisho wa ukali.Kwani kuzuia ufisadi,wizi na ubadhilifu ndio udikteta? Au unachanganya maana mkuu?
Hayo si ni mambo yanayoshughulikiwa kwa sheria sio hapa tuu bali duniani pote.
Jerry Rawlings wa Ghana alipambana na hayo mambo kwa mkono wa chuma lakini hakuwahi kuitwa dikteta kwa nini? Ni kwa vile akikuwa anatumia sheria na sio utashi na aliheshimu katiba ndio maana kastaafu kwa heshima
Nimeamini ni vigumu kuujadili ufalme wa Mungu bila kutaja na kutafakari ufalme wa ulimwenguni kwanza.Vipi lugumi, ESCROW, au ndio mwisho wa ukali.