Madaraka Nyerere aeleza maoni ya Mama Maria Nyerere kuhusu Uchaguzi wa CHADEMA, asema uchaguzi umeenda vizuri

Waufukweni

JF-Expert Member
May 16, 2024
1,683
4,514
Wakuu

Madaraka Nyerere, mtoto wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, ameandika kuhusu mazungumzo aliyofanya na Mama Maria Nyerere (ambaye ni Mama yake) kuhusu mwenendo wa Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliomalizika hivi karibuni na Tundu Lissu kuibuka mshindi wa Uenyekiti akimbwaga Freeman Mbowe. Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mitandao ya kijamii, akisema:

Mama Maria: Nashukuru uchaguzi wa CHADEMA umeenda vizuri.
Mimi: Nikiulizwa niseme hayo?
Mama Maria: Hayo ni mawazo yangu binafsi. Subiri uulizwe, siyo unaanza wewe, kama vile mimi mganga wako wa kienyeji."

Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Madaraka aliendelea kusema kwamba ingawa hakuwa ameulizwa rasmi, aliona ni muhimu kushiriki maoni hayo kwa sababu ni ya manufaa na muhimu kwa wakati huu.
Screenshot 2025-01-23 124630.png
Soma, Pia
- Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
- Ushindi wa Lissu unamaanisha nini kwa Watanzania? Tunapata picha gani Uchaguzi Mkuu 2025? Samia atapumua? Ukabila kuisha?
 
Wakuu

Madaraka Nyerere, mtoto wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, ameandika kuhusu mazungumzo aliyofanya na Mama Maria Nyerere (ambaye ni Mama yake) kuhusu mwenendo wa Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliomalizika hivi karibuni na Tundu Lissu kuibuka mshindi wa Uenyekiti akimbwaga Freeman Mbowe. Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mitandao ya kijamii, akisema:

Mama Maria: Nashukuru uchaguzi wa CHADEMA umeenda vizuri.
Mimi: Nikiulizwa niseme hayo?
Mama Maria: Hayo ni mawazo yangu binafsi. Subiri uulizwe, siyo unaanza wewe, kama vile mimi mganga wako wa kienyeji."
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Madaraka aliendelea kusema kwamba ingawa hakuwa ameulizwa rasmi, aliona ni muhimu kushiriki maoni hayo kwa sababu ni ya manufaa na muhimu kwa wakati huu.
😆😆😆😆
 
Wakuu

Madaraka Nyerere, mtoto wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, ameandika kuhusu mazungumzo aliyofanya na Mama Maria Nyerere (ambaye ni Mama yake) kuhusu mwenendo wa Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliomalizika hivi karibuni na Tundu Lissu kuibuka mshindi wa Uenyekiti akimbwaga Freeman Mbowe. Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mitandao ya kijamii, akisema:

Mama Maria: Nashukuru uchaguzi wa CHADEMA umeenda vizuri.
Mimi: Nikiulizwa niseme hayo?
Mama Maria: Hayo ni mawazo yangu binafsi. Subiri uulizwe, siyo unaanza wewe, kama vile mimi mganga wako wa kienyeji."

Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Madaraka aliendelea kusema kwamba ingawa hakuwa ameulizwa rasmi, aliona ni muhimu kushiriki maoni hayo kwa sababu ni ya manufaa na muhimu kwa wakati huu.
Soma, Pia
- Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
- Ushindi wa Lissu unamaanisha nini kwa Watanzania? Tunapata picha gani Uchaguzi Mkuu 2025? Samia atapumua? Ukabila kuisha?
Uyu mama wa Taifa yuko vizuri pamoja na uzee , kuna mkutano mmoja alifanya mwenda zake pale mwanza ,mama yetu alitaja ,kwamba ameletwa kuongozea vichwa
 
Wakuu

Madaraka Nyerere, mtoto wa aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, ameandika kuhusu mazungumzo aliyofanya na Mama Maria Nyerere (ambaye ni Mama yake) kuhusu mwenendo wa Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA uliomalizika hivi karibuni na Tundu Lissu kuibuka mshindi wa Uenyekiti akimbwaga Freeman Mbowe. Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mitandao ya kijamii, akisema:

Mama Maria: Nashukuru uchaguzi wa CHADEMA umeenda vizuri.
Mimi: Nikiulizwa niseme hayo?
Mama Maria: Hayo ni mawazo yangu binafsi. Subiri uulizwe, siyo unaanza wewe, kama vile mimi mganga wako wa kienyeji."

Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%

Madaraka aliendelea kusema kwamba ingawa hakuwa ameulizwa rasmi, aliona ni muhimu kushiriki maoni hayo kwa sababu ni ya manufaa na muhimu kwa wakati huu.
Soma, Pia
- Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi
- Ushindi wa Lissu unamaanisha nini kwa Watanzania? Tunapata picha gani Uchaguzi Mkuu 2025? Samia atapumua? Ukabila kuisha?
Maria Nyerere ni CHADEMA damu damu
 
Back
Top Bottom