Machi 8 tunaadhimisha Siku ya Wanawake au Siku ya Samia? Picha zake kutapakaa kwenye vitenge vya maadhimisho ni ili iwe nini?

Cute Wife

JF-Expert Member
Nov 17, 2023
1,664
4,568
Wakuu,

Hii ni kali. Yaani kila kitu sasa hivi ni Samia, Samia, Samia! Kwani kampeni zimeanza wengine hatuna taarifa?

Msajili wa Vyama vya Siasa ni zaidi ya 0. Kuna maana gani ya kuwa hapo ofisini kama msumeno wako unakata sehemu moja tu wengine haufiki?

Yaani utafikiri ndio tunasherekea birthday ya Samia, kujaza sura Samia halafu mseme ni Siku ya Wanawake huo ni uzindiki. Yaani mnafosi mtu akubalike mpaka mnaboa. Hata haistui zaidi ya kuonekana wajinga tu.

Halafu ikifika muda wa kutoa tathimi za uchaguzi utaona wale chuchunge wakisema uchaguzi ulikuwa wa huru na haki. Unakuaje wa haki wakati rafu zimeanza mapema hivi?

Sasa hiki ni nini?🤦‍♀️🤮🚮🚮

Screenshot_20250203_210341_Instagram.jpg
Screenshot_20250203_210333_Instagram.jpg
 
Wakuu,

Hii ni kali. Yaani kila kitu sasa hivi ni Samia, Samia, Samia! Kwani kampeni zimeanza wengine hatuna taarifa?

Msajili wa Vyama vya Siasa ni zaidi ya 0. Kuna maana gani ya kuwa hapo ofisini kama msumeno wako unakata sehemu moja tu wengine haufiki?

Yaani utafikiri ndio tunasherekea birthday ya Samia, kujaza sura Samia halafu mseme ni Siku ya Wanawake huo ni uzindiki. Yaani mnafosi mtu akubalike mpaka mnaboa. Hata haistui zaidi ya kuonekana wajinga tu.

Halafu ikifika muda wa kutoa tathimi za uchaguzi utaona wale chuchunge wakisema uchaguzi ulikuwa wa huru na haki. Unakuaje wa haki wakati rafu zimeanza mapema hivi?
Kwa hali ilivyo hata wanaume watalazimishwa kwenda huko
 
Rais Samia ni Mpango wa Mungu Mwenyewe na ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.
Umeacha kazi ya Ukonda wa Hiace ha kutoka Vwawa kuja hapa Stend kuu Mbeya?

We hata ulambe vipo matako ya Abdul pamoja na kumuimba Mama abdul huambulii chochote. We endelea na kazi yako ya ukondakta. Kuna siku nilikuona unaandika hizi nyuzi zako hapa stendi ya mjini Mbeya ukiwa kwenye Hiace ukisubiri abiria wa kwemda Vwawa.
 
Back
Top Bottom