Mabinti wa mjini wanamaadili kuliko wa kijijini, kijijini hupoteza bikra zao wangali wadogo sana

mdukuzi

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
20,843
51,464
Kibao kimegeuka,kama ulitaka kuoa kijijini think twice.

Maisha ya vijiji vingi ni magumu sana,mabadiliko ya tabia ya nchi yamefanya mavuno shambani kutoeleweka , milo mitatu vijiji vingi ni ndoto,chai hawaijui,njaa haina ubaunsa matokeo yake mabinti wa vjijini wameuza bikra zao kwa gharama ndogo sana.

Niko Kigoma kasulu kuna binti ana miaka 20 ana watoto wawili mmoja ana miaka mitano,mwingine miaka miwili,jiulize huyu kaanza mapenzi lini?sio yeye tu ni jambo la kawaida kwa huku binti kubeba mimba na miaka 14 au 15 BAKWATA wasipuuzwe kutaka ndoa za utotoni.

Pili wazazi huku kuna kitu hawakielewi,mtoto hakifika miaka mitano haruhusiwi kulala nyumba moja na wazazi,familia nyingi utakuta vibanda vitatu,nyumba kubwa ya wazazi ,ndogo mbili za watoto wa kike na kiume pembeni,hii hupelekea vibinti kutoroka usiku kufuata wanaume.

Tatu mabinti wa vijijini huwa hawaangalii tofauti ya umri kati yao na mchumba anayekuja,ni rahisi kukuta binti wa miaka 17 kuolewa na mzee wa above 50 kitu ambacho ni kigumu kwa mjini

Vijijini kuna wasimbe(singo mazas) wengi kuliko mjini.maana wanaingia kwenye ndoa bila kuelewa misingi ya ndoa.

Ukioa binti wa kijijini,kaeni hukohuko usimlete mjini,wakifika town huwa wanaingiwa na kichaa ama wenge na kuwa mapepe kuliko wazawa,utagongewa mtaa mzima

Utaoa kijijini?oa at your own risk
 
Bado kijijini kuna wanawake bora zaidi, si hawa huku mjini wanaamini "what a man can do a woman can do better"
Wameharibika na kunyonyana na kuingiziana mavitu
 
Kibao kimegeuka,kama ulitaka kuoa kijijini think twice.

Maisha ya vijiji vingi ni magumu sana,mabadiliko ya tabia ya nchi yamefanya mavuno shambani kutoeleweka , milo mitatu vijiji vingi ni ndoto,chai hawaijui,njaa haina ubaunsa matokeo yake mabinti wa vjijini wameuza bikra zao kwa gharama ndogo sana.

Niko Kigoma kasulu kuna binti ana miaka 20 ana watoto wawili mmoja ana miaka mitano,mwingine miaka miwili,jiulize huyu kaanza mapenzi lini?sio yeye tu ni jambo la kawaida kwa huku binti kubeba mimba na miaka 14 au 15 BAKWATA wasipuuzwe kutaka ndoa za utotoni.

Pili wazazi huku kuna kitu hawakielewi,mtoto hakifika miaka mitano haruhusiwi kulala nyumba moja na wazazi,familia nyingi utakuta vibanda vitatu,nyumba kubwa ya wazazi ,ndogo mbili za watoto wa kike na kiume pembeni,hii hupelekea vibinti kutoroka usiku kufuata wanaume.

Tatu mabinti wa vijijini huwa hawaangalii tofauti ya umri kati yao na mchumba anayekuja,ni rahisi kukuta binti wa miaka 17 kuolewa na mzee wa above 50 kitu ambacho ni kigumu kwa mjini

Vijijini kuna wasimbe(singo mazas) wengi kuliko mjini.maana wanaingia kwenye ndoa bila kuelewa misingi ya ndoa.

Ukioa binti wa kijijini,kaeni hukohuko usimlete mjini,wakifika town huwa wanaingiwa na kichaa ama wenge na kuwa mapepe kuliko wazawa,utagongewa mtaa mzima

Utaoa kijijini?oa at your own risk
Hi inaletwa na umasikini iwe mjini au kijijini ila urban poverty inaumiza sana nakusababisha familia kusabaratika haraka kuliko rural poverty. Kwahiyo kijijini kuna unafuu kuliko mjini.
 
Hi inaletwa na umasikini iwe mjini au kijijini ila urban poverty inaumiza sana nakusababisha familia kusabaratika haraka kuliko rural poverty. Kwahiyo kijijini kuna unafuu kuliko mjini.
Nilikuwa na mtazamo kama wako ila baada ya kufika vijijini nimebadili mtazamo
 
Kibao kimegeuka,kama ulitaka kuoa kijijini think twice.

Maisha ya vijiji vingi ni magumu sana,mabadiliko ya tabia ya nchi yamefanya mavuno shambani kutoeleweka , milo mitatu vijiji vingi ni ndoto,chai hawaijui,njaa haina ubaunsa matokeo yake mabinti wa vjijini wameuza bikra zao kwa gharama ndogo sana.

Niko Kigoma kasulu kuna binti ana miaka 20 ana watoto wawili mmoja ana miaka mitano,mwingine miaka miwili,jiulize huyu kaanza mapenzi lini?sio yeye tu ni jambo la kawaida kwa huku binti kubeba mimba na miaka 14 au 15 BAKWATA wasipuuzwe kutaka ndoa za utotoni.

Pili wazazi huku kuna kitu hawakielewi,mtoto hakifika miaka mitano haruhusiwi kulala nyumba moja na wazazi,familia nyingi utakuta vibanda vitatu,nyumba kubwa ya wazazi ,ndogo mbili za watoto wa kike na kiume pembeni,hii hupelekea vibinti kutoroka usiku kufuata wanaume.

Tatu mabinti wa vijijini huwa hawaangalii tofauti ya umri kati yao na mchumba anayekuja,ni rahisi kukuta binti wa miaka 17 kuolewa na mzee wa above 50 kitu ambacho ni kigumu kwa mjini

Vijijini kuna wasimbe(singo mazas) wengi kuliko mjini.maana wanaingia kwenye ndoa bila kuelewa misingi ya ndoa.

Ukioa binti wa kijijini,kaeni hukohuko usimlete mjini,wakifika town huwa wanaingiwa na kichaa ama wenge na kuwa mapepe kuliko wazawa,utagongewa mtaa mzima

Utaoa kijijini?oa at your own risk
Hao wa mjin bikra wanapatikana wap mkuu?
 
Kibao kimegeuka,kama ulitaka kuoa kijijini think twice.

Maisha ya vijiji vingi ni magumu sana,mabadiliko ya tabia ya nchi yamefanya mavuno shambani kutoeleweka , milo mitatu vijiji vingi ni ndoto,chai hawaijui,njaa haina ubaunsa matokeo yake mabinti wa vjijini wameuza bikra zao kwa gharama ndogo sana.

Niko Kigoma kasulu kuna binti ana miaka 20 ana watoto wawili mmoja ana miaka mitano,mwingine miaka miwili,jiulize huyu kaanza mapenzi lini?sio yeye tu ni jambo la kawaida kwa huku binti kubeba mimba na miaka 14 au 15 BAKWATA wasipuuzwe kutaka ndoa za utotoni.

Pili wazazi huku kuna kitu hawakielewi,mtoto hakifika miaka mitano haruhusiwi kulala nyumba moja na wazazi,familia nyingi utakuta vibanda vitatu,nyumba kubwa ya wazazi ,ndogo mbili za watoto wa kike na kiume pembeni,hii hupelekea vibinti kutoroka usiku kufuata wanaume.

Tatu mabinti wa vijijini huwa hawaangalii tofauti ya umri kati yao na mchumba anayekuja,ni rahisi kukuta binti wa miaka 17 kuolewa na mzee wa above 50 kitu ambacho ni kigumu kwa mjini

Vijijini kuna wasimbe(singo mazas) wengi kuliko mjini.maana wanaingia kwenye ndoa bila kuelewa misingi ya ndoa.

Ukioa binti wa kijijini,kaeni hukohuko usimlete mjini,wakifika town huwa wanaingiwa na kichaa ama wenge na kuwa mapepe kuliko wazawa,utagongewa mtaa mzima

Utaoa kijijini?oa at your own risk
Uko sahihi ndugu yangu, maadili vijijini yameshuka sana ! Kuoa kijijini na kumleta mjini ni janga kubwa.
 
Back
Top Bottom