Kuelekea 2025 Maandamano ya CHADEMA: Mbona Jeshi la Polisi halijajibu maswali ya msingi waliiyoulizwa na CHADEMA, badala yake wanaendeleza vitisho vyao?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,827
31,004
Nimeisikia taarifa iliyotolewa na msemaji wa Jeshi la Polisi, afande ACP Misime, ambayo alidai kuwa maandamano ya CHADEMAni ni haramu, Kwa hivyo wameyapiga marufuku.

Lakini katika taarifa hiyo ya Afande Misime, hajaongelea kabisa, madai ya CHADEMA waliyoyatoa katika taarifa yao ya kuitisha maadamano hayo.

Kwanza ni muhimu ikafahamika kuwa katika nchi inayoendeshwa Kwa njia ya kidemokrasia na Kwa mujibu wa Katiba yetu ya nchi, maadamano ya amani yanaruhusiwa na wajibu pekee wa Jeshi la Polisi ni kuyapa ulinzi Hadi mwisho wa maandamano hayo.

Pili, CHADEMA wamedai kuwa wanaipa serikali hii Hadi tarehe 21 mwezi huu, watoe taarifa ya walipo viongozi wao waliotekwa na watu wanaodaiwa kuwa hawajulikani na wakaendelea kueleza kuwa iwapo serikali hii haitakuwa imetoa majibu hayo ifikapo hiyo tarehe 21 mwezi huu, ndipo wao CHADEMA wataitisha maandamano hayo ifikapo tarehe 23 mwezi huu.

Niwakumbushe pia wajibu namba Moja wa Jeshi la Polisi nchini kwetu ni kuwalinda raia na Mali zao.

Soma Pia: Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Sasa niwaulize swali dogo tu Jeshi letu la Polisi, kama wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao na Chama Cha CHADEMA kinadai kuwa Kuna viongozi wao wametekwa na hawajukikani walipo na ndiyo kinataka nyinyi Jeshi la Polisi muwaeleze wako wapi hao viongozi wao, hivi kosa la Chadema liko wapi hapo??

Jeshi i letu la Polisi, achaneni na utendaji kazi usiozingatia sheria zenu za PGO na Katiba ya nchi na badala yake, tekelezeni wajibu wenu Kwa weledi na Kwa kuzingatia Sheria za nchi hii

Mungu ibariki Tanzania
 
Nimeisikia taarifa iliyotolewa na msemaji wa Jeshi la Polisi, afande ACP Misime, ambayo alidai kuwa maandamano ya Chadema ni haramu, Kwa hivyo wameyapiga marufuku.

Lakini katika taarifa hiyo ya Afande Misime, hajaongelea kabisa, madai ya Chadema waliyoyatoa katika taarifa yao ya kuitisha maadamano hayo.

Kwanza ni muhimu ikafahamika kuwa katika nchi inayoendeshwa Kwa njia ya kidemokrasia, maadamano ya amani yanaruhusiwa na wajibu pekee wa Jeshi la Polisi ni kuyapa ulinzi Hadi mwisho wa maandamano hayo.

Pili, Chadema wamedai kuwa wanaipa serikali hii Hadi tarehe 21 mwezi huu, watoe taarifa ya walipo viongozi wao waliotekwa na watu wanaodaiwa kuwa hawajukikani na wakaendelea kueleza kuwa iwapo serikali hii haitakuwa imetoa majibu hayo ifikapo hiyo tarehe 21 mwezi huu, ndipo wao Chadema wataitisha maandamano hayo ifikapo tarehe 23 mwezi huu.

Niwakumbushe pia wajibu namba Moja wa Jeshi la Polisi nchini kwetu ni kuwalinda raia na Mali zao.

Sasa niwaulize swali dogo tu Jeshi letu la Polisi, kama wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao na Chama Cha Chadema kinadai kuwa Kuna viongozi wao wametekwa na hawajukikani walipo.

Hivi chama Cha Chadema, kosa lao liko wapi, kama wanawadai viongozi wao Kwa nija ya maandamano ya amani, ambapo ni Kwa mujibu wa Katiba yetu ya nchi??

Jeshi i letu la Polisi, achaneni na utendaji kazi usiozingatia sheria zenu za PGO na Katiba ya nchi na badala yake, tekekezeni wajibu wenu Kwa weledi na Kwa kuzingatia Sheria za nchi hii

Mungu ibariki Tanzania
Bado tupo enzi za Magufuli. Hakuna demokrasia.
 
Kauli ya Hangaya wakati akiagiza uchunguzi ufanyike kuhusiana na kifo cha Kibao, inataja demokrasia n.k....alikuwa anamaanisha nini?

Au ndo mpaka Nchimbi aseme?
 
Nimeisikia taarifa iliyotolewa na msemaji wa Jeshi la Polisi, afande ACP Misime, ambayo alidai kuwa maandamano ya CHADEMAni haramu, Kwa hivyo wameyapiga marufuku.

Lakini katika taarifa hiyo ya Afande Misime, hajaongelea kabisa, madai ya CHADEMA waliyoyatoa katika taarifa yao ya kuitisha maadamano hayo.

Kwanza ni muhimu ikafahamika kuwa katika nchi inayoendeshwa Kwa njia ya kidemokrasia, maadamano ya amani yanaruhusiwa na wajibu pekee wa Jeshi la Polisi ni kuyapa ulinzi Hadi mwisho wa maandamano hayo.

Pili, CHADEMA wamedai kuwa wanaipa serikali hii Hadi tarehe 21 mwezi huu, watoe taarifa ya walipo viongozi wao waliotekwa na watu wanaodaiwa kuwa hawajulikani na wakaendelea kueleza kuwa iwapo serikali hii haitakuwa imetoa majibu hayo ifikapo hiyo tarehe 21 mwezi huu, ndipo wao CHADEMA wataitisha maandamano hayo ifikapo tarehe 23 mwezi huu.

Niwakumbushe pia wajibu namba Moja wa Jeshi la Polisi nchini kwetu ni kuwalinda raia na Mali zao.

Soma Pia: Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Sasa niwaulize swali dogo tu Jeshi letu la Polisi, kama wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao na Chama Cha CHADEMA kinadai kuwa Kuna viongozi wao wametekwa na hawajukikani walipo na ndiyo kinataka nyinyi Jeshi la Polisi muwaeleze wako wapi hao viongozi wao, hivi kosa la Chadema liko wapi hapo??

Jeshi i letu la Polisi, achaneni na utendaji kazi usiozingatia sheria zenu za PGO na Katiba ya nchi na badala yake, tekelezeni wajibu wenu Kwa weledi na Kwa kuzingatia Sheria za nchi hii

Mungu ibariki Tanzania
Kwa mujibu wa Kigogo na Ex Mayor muhusika wa utekaji na mauaji anayejiita mwenyekiti wa RCO's nchini ni untouchable hivyo hakuna wa kumfunga paka kengele.
Misime hata ukimuangalia body language wakati anasoma tamko kwa taabu anajisikia fedheha afanyaje yupo kati ya Awadh na Chairman RCO .
Sielewi Masauni na IGP wanafanya nini ofisini mpaka leo
 
Bado tupo enzi za Magufuli. Hakuna demokrasia.
Unajua tafisiri halisi ya neno Demokrasi na lilikoanzia?mnabebaga tu kila neno la ulaya na kutaka kulifanya liwe lenu,nyie mnadhani kila mwananchi anawaza siasa?kwamba kuandamana siyo taharuki kwa wengine wasio na mlengo wa siasa

Siwatetei wale lakini nchi lazima itawalike,siyo kuamka tu kwenye hamna kwa faida za kisiasa za viongozi wa juu wa siasa na nyie wafie chama mnakurupuka tu
 
Kwa mujibu wa Kigogo na Ex Mayor muhusika wa utekaji na mauaji anayejiita mwenyekiti wa RCO's nchini ni untouchable hivyo hakuna wa kumfunga paka kengele.
Misime hata ukimuangalia body language wakati anasoma tamko kwa taabu anajisikia fedheha afanyaje yupo kati ya Awadh na Chairman RCO .
Sielewi Masauni na IGP wanafanya nini ofisini mpaka leo
Kwa hiyo kama nchi yetu, inakubali wawepo hao "untouchables" basi hii nchi, inakokwenda kubaya sana 😳
 
Nimeisikia taarifa iliyotolewa na msemaji wa Jeshi la Polisi, afande ACP Misime, ambayo alidai kuwa maandamano ya CHADEMAni haramu, Kwa hivyo wameyapiga marufuku.

Lakini katika taarifa hiyo ya Afande Misime, hajaongelea kabisa, madai ya CHADEMA waliyoyatoa katika taarifa yao ya kuitisha maadamano hayo.

Kwanza ni muhimu ikafahamika kuwa katika nchi inayoendeshwa Kwa njia ya kidemokrasia, maadamano ya amani yanaruhusiwa na wajibu pekee wa Jeshi la Polisi ni kuyapa ulinzi Hadi mwisho wa maandamano hayo.

Pili, CHADEMA wamedai kuwa wanaipa serikali hii Hadi tarehe 21 mwezi huu, watoe taarifa ya walipo viongozi wao waliotekwa na watu wanaodaiwa kuwa hawajulikani na wakaendelea kueleza kuwa iwapo serikali hii haitakuwa imetoa majibu hayo ifikapo hiyo tarehe 21 mwezi huu, ndipo wao CHADEMA wataitisha maandamano hayo ifikapo tarehe 23 mwezi huu.

Niwakumbushe pia wajibu namba Moja wa Jeshi la Polisi nchini kwetu ni kuwalinda raia na Mali zao.

Soma Pia: Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Sasa niwaulize swali dogo tu Jeshi letu la Polisi, kama wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao na Chama Cha CHADEMA kinadai kuwa Kuna viongozi wao wametekwa na hawajukikani walipo na ndiyo kinataka nyinyi Jeshi la Polisi muwaeleze wako wapi hao viongozi wao, hivi kosa la Chadema liko wapi hapo??

Jeshi i letu la Polisi, achaneni na utendaji kazi usiozingatia sheria zenu za PGO na Katiba ya nchi na badala yake, tekelezeni wajibu wenu Kwa weledi na Kwa kuzingatia Sheria za nchi hii

Mungu ibariki Tanzania
Jeshi la polisi linalinda ccm na viongozi wake nyie raia mnatakiwa kutishwa na kulazimishwa kuipenda ccm.
 
Unajua tafisiri halisi ya neno Demokrasi na lilikoanzia?mnabebaga tu kila neno la ulaya na kutaka kulifanya liwe lenu,nyie mnadhani kila mwananchi anawaza siasa?kwamba kuandamana siyo taharuki kwa wengine wasio na mlengo wa siasa

Siwatetei wale lakini nchi lazima itawalike,siyo kuamka tu kwenye hamna kwa faida za kisiasa za viongozi wa juu wa siasa na nyie wafie chama mnakurupuka tu
Wewe ni mmoja kati ya watanzania typical kabisa wale wenye akili za waswahili walioridhika na shida na taabu zao na wala hawaoni wala hawajali lolote, Serengeti ikiuzwa sawa, bandari ikibinafsishwa sawa, mikataba mibovu sawa, nyie akina yakhe kila kitu sawa tu.
 
Unajua tafisiri halisi ya neno Demokrasi na lilikoanzia?mnabebaga tu kila neno la ulaya na kutaka kulifanya liwe lenu,nyie mnadhani kila mwananchi anawaza siasa?kwamba kuandamana siyo taharuki kwa wengine wasio na mlengo wa siasa

Siwatetei wale lakini nchi lazima itawalike,siyo kuamka tu kwenye hamna kwa faida za kisiasa za viongozi wa juu wa siasa na nyie wafie chama mnakurupuka tu
Kwa hiyo kwako wewe hata kama kunatokea utekaji kama ambavyo unavyotokea hivi sasa, wananchi unatutaka tusihoji!

Inawezekana kabisa, wewe UKAWA ni miongoni ya hivyo vikundi, vinavyofanya vitendo vya kihuni vya kuwateka raia wasio na hatia na baadaye kuwaua na kuwatupa vichakani!
 
Chadema imetoa "condition" kama Jeshi la Polisi haliyataki hayo maandamano yawepo, ifikapo tarehe 21 mwezi huu, iturejeshee hao akina Soka, la sivyo maandamano yapo pale pale tarehe 23 mwezi huu
 
Nimeisikia taarifa iliyotolewa na msemaji wa Jeshi la Polisi, afande ACP Misime, ambayo alidai kuwa maandamano ya CHADEMAni haramu, Kwa hivyo wameyapiga marufuku.

Lakini katika taarifa hiyo ya Afande Misime, hajaongelea kabisa, madai ya CHADEMA waliyoyatoa katika taarifa yao ya kuitisha maadamano hayo.

Kwanza ni muhimu ikafahamika kuwa katika nchi inayoendeshwa Kwa njia ya kidemokrasia, maadamano ya amani yanaruhusiwa na wajibu pekee wa Jeshi la Polisi ni kuyapa ulinzi Hadi mwisho wa maandamano hayo.

Pili, CHADEMA wamedai kuwa wanaipa serikali hii Hadi tarehe 21 mwezi huu, watoe taarifa ya walipo viongozi wao waliotekwa na watu wanaodaiwa kuwa hawajulikani na wakaendelea kueleza kuwa iwapo serikali hii haitakuwa imetoa majibu hayo ifikapo hiyo tarehe 21 mwezi huu, ndipo wao CHADEMA wataitisha maandamano hayo ifikapo tarehe 23 mwezi huu.

Niwakumbushe pia wajibu namba Moja wa Jeshi la Polisi nchini kwetu ni kuwalinda raia na Mali zao.

Soma Pia: Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu

Sasa niwaulize swali dogo tu Jeshi letu la Polisi, kama wajibu wenu namba Moja ni kuwalinda raia na Mali zao na Chama Cha CHADEMA kinadai kuwa Kuna viongozi wao wametekwa na hawajukikani walipo na ndiyo kinataka nyinyi Jeshi la Polisi muwaeleze wako wapi hao viongozi wao, hivi kosa la Chadema liko wapi hapo??

Jeshi i letu la Polisi, achaneni na utendaji kazi usiozingatia sheria zenu za PGO na Katiba ya nchi na badala yake, tekelezeni wajibu wenu Kwa weledi na Kwa kuzingatia Sheria za nchi hii

Mungu ibariki Tanzania
Weledi wao ni vitisho na mabavu,na sii katika kutekeleza majukumu yao ya msingi.
 
Back
Top Bottom