Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,520
- 8,004
😂😂😂Wadau hamjamboni nyote?
Bahari nzuri ya kupendeza ya galilaya imefanana na bara la Afrika
Maji yake Yana baraka kubwa sana
Mungu ibariki IsraelView attachment 3234770
Hivi ziwa Tanganyika na Victoria yaliandikwa kwenye biblia kitabu gani? Mbona tunasoma mambo ya wazungu tu hao?Wadau hamjamboni nyote?
Kutemewa mate na mbarikiwa ni baraka ati!😂😂😂
Ujinga ni mzigo.
Huko Israel watu kama wewe huwa mnatemewa mate na hao wabarikiwa.
Mambo ya Waarabu yanawapumbaza mpaka wanajiripua na kujifunika gubigubi nyuso utafikiri maninjaHivi ziwa Tanganyika na Victoria yaliandikwa kwenye biblia kitabu gani? Mbona tunasoma mambo ya wazungu tu hao?
Ungese Huu sasaKutemewa mate na mbarikiwa ni baraka ati!
Mbona kama ziwa .Wadau hamjamboni nyote?
Bahari nzuri ya kupendeza ya galilaya imefanana na bara la Afrika
Maji yake Yana baraka kubwa sana
Mungu ibariki IsraelView attachment 3234770
Wewe kondoo hii sio bahari ni ziwa....bahari haiwezi kuzungukwa na ardhi pande zoteWadau hamjamboni nyote?
Bahari nzuri ya kupendeza ya galilaya imefanana na bara la Afrika
Maji yake Yana baraka kubwa sana
Mungu ibariki IsraelView attachment 3234770
Hapakuwepo na watu maeneo haya zama hizo zaidi ya wanyama na mitiHivi ziwa Tanganyika na Victoria yaliandikwa kwenye biblia kitabu gani? Mbona tunasoma mambo ya wazungu tu hao?
Hayo uliyotaja ni mkusanyiko tu wa maji yasiyo na baraka za kimbingu.Hivi ziwa Tanganyika na Victoria yaliandikwa kwenye biblia kitabu gani? Mbona tunasoma mambo ya wazungu tu hao?
Kwa mujibu wa chanzo kipi?Wewe kondoo hii sio bahari ni ziwa....bahari haiwezi kuzungukwa na ardhi pande zote
Ukipigwa Dushe na Mbarikiwa nawe utabarikiwa?Kutemewa mate na mbarikiwa ni baraka ati!
wao ndyo AUTHORS wa kilakitu (UONGO NA UKWELI), we si unasoma vitabu vyepesi vya SHIGONGOHivi ziwa Tanganyika na Victoria yaliandikwa kwenye biblia kitabu gani? Mbona tunasoma mambo ya wazungu tu hao?
Imefanana na bara la afrika???Bhangi mbaya