Maafa Kagera. Serikali mjiepushe na hii dhambi itawatafuna

Chillo97

JF-Expert Member
Jun 18, 2016
630
933
Wabari zenu wanajukwaa.
Nimekuwa nikifatilia kwa ukaribu maafa ya tetemeko yaliyotokea kagera ikiwa na ukaribu wa taarifa kwa waathirika wa janga hili.
siku za hivi karibuni nimesikia matamshi ya viongozi wa wilaya na mkoa wa kagera wakisema misaada inayotelewa. Kipaumbele kikubwa kitapewa kwa taasisi za serikali yaani shule..vituo vya afya na miundombinu mingine...kauli hizi ni za kusikitisha kwani misaada iliyotolewa ilitakiwa kugawiwa kwa waathilika wote kwa usawa. Na isitoshe serikali iliwahi kusema tetemeko la ardhi halikuletwa na serikali... hivyo nilitegemea serikali ijenge miundombinu yake kwa pesa zake yenyewe na michango ya wasamaria itolewa kwa wananchi walioathilika kwanza.
 
Wabari zenu wanajukwaa.
Nimekuwa nikifatilia kwa ukaribu maafa ya tetemeko yaliyotokea kagera ikiwa na ukaribu wa taarifa kwa waathirika wa janga hili.
siku za hivi karibuni nimesikia matamshi ya viongozi wa wilaya na mkoa wa kagera wakisema misaada inayotelewa. Kipaumbele kikubwa kitapewa kwa taasisi za serikali yaani shule..vituo vya afya na miundombinu mingine...kauli hizi ni za kusikitisha kwani misaada iliyotolewa ilitakiwa kugawiwa kwa waathilika wote kwa usawa. Na isitoshe serikali iliwahi kusema tetemeko la ardhi halikuletwa na serikali... hivyo nilitegemea serikali ijenge miundombinu yake kwa pesa zake yenyewe na michango ya wasamaria itolewa kwa wananchi walioathilika kwanza.
Hutaki tujenge shule na hospitali?kisa ni za serikali?
Huu ugonjwa mnaougua chadema ni wa hatari sana
 
Hujaelewa na akili zako za lumumba...nani kasema hataki kujengwa kwa hospital na shule??
"siku za hivi karibuni nimesikia matamshi ya viongozi wa wilaya na mkoa wa kagera wakisema misaada inayotelewa. Kipaumbele kikubwa kitapewa kwa taasisi za serikali yaani shule..vituo vya afya na miundombinu mingine...kauli hizi ni za kusikitisha"
Unasikitika kwa misaada kujengewa shule?Bavicha mnaumwa nini jamani?
 
"siku za hivi karibuni nimesikia matamshi ya viongozi wa wilaya na mkoa wa kagera wakisema misaada inayotelewa. Kipaumbele kikubwa kitapewa kwa taasisi za serikali yaani shule..vituo vya afya na miundombinu mingine...kauli hizi ni za kusikitisha"
Unasikitika kwa misaada kujengewa shule?Bavicha mnaumwa nini jamani?
Hujaelewa ...kumbuka waathitika wa hili janga si chadema pekee...hata sisiem wenzako wanalia...
 
Haya ndio majibu ya watu wa ufipa
Sasa wewe hutaki kuelewa unashupaa unadhani utaeleweshwa ..??


Nimesema hivi kwa misaada yote ambayo imetoka kwa wahisani kwa kuwa hawakuitoa kwa serikali tu bali kwa waathirika wote basi igawiwe kwa usawa..
Nadhani umeelewa.
 
Sasa wewe hutaki kuelewa unashupaa unadhani utaeleweshwa ..??


Nimesema hivi kwa misaada yote ambayo imetoka kwa wahisani kwa kuwa hawakuitoa kwa serikali tu bali kwa waathirika wote basi igawiwe kwa usawa..
Nadhani umeelewa.
Nimekuelewa ndio maana nimepata nguvu ya kukupinga.Kipaumbele ni miundombinu ya kijamii kama shule na hospitali kwanza,kwa hiyo usisikitike kamanda,kila mtu atapata kitakachopatikana
 
"siku za hivi karibuni nimesikia matamshi ya viongozi wa wilaya na mkoa wa kagera wakisema misaada inayotelewa. Kipaumbele kikubwa kitapewa kwa taasisi za serikali yaani shule..vituo vya afya na miundombinu mingine...kauli hizi ni za kusikitisha"
Unasikitika kwa misaada kujengewa shule?Bavicha mnaumwa nini jamani?
Unaumwa wewe kibwengo wa Lumumba FC sisi wasamalia wema wakati tunachangia ilikuwa ni kwa wananchi wote na si taasisi fulani na hata wahisani wengine wanatoa kwa ajili ya wahanga wote kama kujenga shule serikali si imesema imetenga bilioni 60
 
Nimekuelewa ndio maana nimepata nguvu ya kukupinga.Kipaumbele ni miundombinu ya kijamii kama shule na hospitali kwanza,kwa hiyo usisikitike kamanda,kila mtu atapata kitakachopatikana

Na mtu na watoto wake wanaolala nje hawana nguo/mashuka ya kujifunika wala unga wa ugali kwa sbb vyote vilifunikwa na udongo wa nyumba zilizobomolewa wasubiri hadi shule ijengwe siyo??

Hujamwelewa mleta mada wewe!!
 
Back
Top Bottom