bahatibahati
Member
- Jul 4, 2023
- 44
- 84
Hivi ndivyo tunavyotakiwa kusema, kwani kuna mtumishi mmoja ametoka kusherehekea Mei Mosi napa Arusha ana huzuni kubwa kwani hakuna hata tarajio Moja lililosemwa kama motisha kwa wafanyakazi.
Tunajiuliza serikali inaposema mtikisiko wa uchumi, kwani nchi nyengine kama Zanzibar zinazojali maslahi Bora ya Watumishi hakuna mtikisiko?
Wafanyakazi kwakweli hamuwatendei haki.
Tunajiuliza serikali inaposema mtikisiko wa uchumi, kwani nchi nyengine kama Zanzibar zinazojali maslahi Bora ya Watumishi hakuna mtikisiko?
Wafanyakazi kwakweli hamuwatendei haki.