M23 yazitaka taasisi za kiserikali kuendelea kutoa huduma

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Jan 31, 2025
376
639
Jeshi la M23(siliiti kundi tena, kwa walivyofanya, wana hadhi ya kuitwa wanajeshi), huko Kivu kusini, limezitaka taasisi zote za kiserikali kuendelea kutoa huduma kama kawaida.
Kuna taasisi ambazo, wafanyakazi walikimbia na kwenda mikoa au nchi jirani, wengine wakienda Kinshasa jijini. Baada tu ya kufika Bukavu, wafanyakazi wa ofisi za uhamiaji upande wa Congo walikuwa wameshakimbia na kuacha ofisi. Japo huduma zilikuwa hazitolewi, lakinin wenye hati za kusafiria, hawakuzuwiliwa kuingia nchini Rwanda au kupokelewa watokapo Rwanda, japo upande huo walikuwa hawagongewi mhuri ikiwa wanatoka au wanaingia.
AFC/M23 imejitahidi kuhakikisha raia wanapata huduma haraka iwezekanavyo,katika nyanja mbali mbali. Watoa huduma wengi, mjini Bukavu, baada ya kuona hali ilivyokuwa Goma, hawakuwa na wasiwasi, na walipoitwa, waliokuwa karibu wote walirejea maofisini kwao.

Kasoro Benki tu,ambapo badhi ya viongozi wanajadiliana uwezekano wa kutoa huduma hiyo. Pia, tofauti na mji wa Goma, serikali ilipokuwa imekata huduma za maji na umeme, Bukavu haikuwa hivo. Pia huduma za mtandao ziliendelea, kasoro tu mitandao ya kijamii.

Mpaka sasa, watoa huduma wote walishaahidiwa kupokea mishahara yao kama kawaida, huku wa kwanza kupewa stahiki zao, wakiwa wanajeshi waliokuwa wakipigana upande wa serikali. Kwa sasa, watakuwa wakilipwa mishahara yao kila mwezi,kama waajiliwa wote.

Taarifa ambazo pia binafsi sijadhibitisha, ni kwamba punde tu watakapokamilisha zoezi lao, mishahara yao itarekebishwa, na familia zao kupewa vipaumbele katika mambo mbali mbali, yakiwemo huduma za afya, shule na maisha ya kawaida.
 
Jeshi la M23(siliiti kundi tena, kwa walivyofanya, wana hadhi ya kuitwa wanajeshi), huko Kivu kusini, limezitaka taasisi zote za kiserikali kuendelea kutoa huduma kama kawaida.
Kuna taasisi ambazo, wafanyakazi walikimbia na kwenda mikoa au nchi jirani, wengine wakienda Kinshasa jijini. Baada tu ya kufika Bukavu, wafanyakazi wa ofisi za uhamiaji upande wa Congo walikuwa wameshakimbia na kuacha ofisi. Japo huduma zilikuwa hazitolewi, lakinin wenye hati za kusafiria, hawakuzuwiliwa kuingia nchini Rwanda au kupokelewa watokapo Rwanda, japo upande huo walikuwa hawagongewi mhuri ikiwa wanatoka au wanaingia.
AFC/M23 imejitahidi kuhakikisha raia wanapata huduma haraka iwezekanavyo,katika nyanja mbali mbali. Watoa huduma wengi, mjini Bukavu, baada ya kuona hali ilivyokuwa Goma, hawakuwa na wasiwasi, na walipoitwa, waliokuwa karibu wote walirejea maofisini kwao.

Kasoro Benki tu,ambapo badhi ya viongozi wanajadiliana uwezekano wa kutoa huduma hiyo. Pia, tofauti na mji wa Goma, serikali ilipokuwa imekata huduma za maji na umeme, Bukavu haikuwa hivo. Pia huduma za mtandao ziliendelea, kasoro tu mitandao ya kijamii.

Mpaka sasa, watoa huduma wote walishaahidiwa kupokea mishahara yao kama kawaida, huku wa kwanza kupewa stahiki zao, wakiwa wanajeshi waliokuwa wakipigana upande wa serikali. Kwa sasa, watakuwa wakilipwa mishahara yao kila mwezi,kama waajiliwa wote.

Taarifa ambazo pia binafsi sijadhibitisha, ni kwamba punde tu watakapokamilisha zoezi lao, mishahara yao itarekebishwa, na familia zao kupewa vipaumbele katika mambo mbali mbali, yakiwemo huduma za afya, shule na maisha ya kawaida.
m23 anatowa wap pesa zote hizo ? ilihali bado m23 wapo vitani , hata Rwanda haez hii. Waafrika hatupend umiza kichwa , hawa watu wa Goma na Bukavu watakuja lia huko mbeleni , hz siasa wanachezewa
 
Jeshi la M23(siliiti kundi tena, kwa walivyofanya, wana hadhi ya kuitwa wanajeshi), huko Kivu kusini, limezitaka taasisi zote za kiserikali kuendelea kutoa huduma kama kawaida.
Kuna taasisi ambazo, wafanyakazi walikimbia na kwenda mikoa au nchi jirani, wengine wakienda Kinshasa jijini. Baada tu ya kufika Bukavu, wafanyakazi wa ofisi za uhamiaji upande wa Congo walikuwa wameshakimbia na kuacha ofisi. Japo huduma zilikuwa hazitolewi, lakinin wenye hati za kusafiria, hawakuzuwiliwa kuingia nchini Rwanda au kupokelewa watokapo Rwanda, japo upande huo walikuwa hawagongewi mhuri ikiwa wanatoka au wanaingia.
AFC/M23 imejitahidi kuhakikisha raia wanapata huduma haraka iwezekanavyo,katika nyanja mbali mbali. Watoa huduma wengi, mjini Bukavu, baada ya kuona hali ilivyokuwa Goma, hawakuwa na wasiwasi, na walipoitwa, waliokuwa karibu wote walirejea maofisini kwao.

Kasoro Benki tu,ambapo badhi ya viongozi wanajadiliana uwezekano wa kutoa huduma hiyo. Pia, tofauti na mji wa Goma, serikali ilipokuwa imekata huduma za maji na umeme, Bukavu haikuwa hivo. Pia huduma za mtandao ziliendelea, kasoro tu mitandao ya kijamii.

Mpaka sasa, watoa huduma wote walishaahidiwa kupokea mishahara yao kama kawaida, huku wa kwanza kupewa stahiki zao, wakiwa wanajeshi waliokuwa wakipigana upande wa serikali. Kwa sasa, watakuwa wakilipwa mishahara yao kila mwezi,kama waajiliwa wote.

Taarifa ambazo pia binafsi sijadhibitisha, ni kwamba punde tu watakapokamilisha zoezi lao, mishahara yao itarekebishwa, na familia zao kupewa vipaumbele katika mambo mbali mbali, yakiwemo huduma za afya, shule na maisha ya kawaida.
m23 anatowa wap pesa zote hizo ? ilihali bado m23 wapo vitani , hata Rwanda haez hii. Waafrika hatupend umiza kichwa , hawa watu wa Goma na Bukavu watakuja lia huko mbeleni , hz siasa wanachezewa
Kwa utajiri uliopo kwenye maeneo hayo ya Kivu, M23 wanaweza kabisa kulipa mishahara hiyo.

Kumbuka: Takribani 80% ya rasilimali zote kabisa za madini yaliyopo kwenye nchi hiyo ya DRC yanapatikana kwenye hayo majimbo ya Kivu.
 
m23 anatowa wap pesa zote hizo ? ilihali bado m23 wapo vitani , hata Rwanda haez hii. Waafrika hatupend umiza kichwa , hawa watu wa Goma na Bukavu watakuja lia huko mbeleni , hz siasa wanachezewa
Nadhani kuna mtu kakujibu. Japo mengine hayatuhusu, Congo ilishindwaje kujiendesha au kulipa watu,hasa wanajeshi!? Kwa hiyo, unaona Kivu kaskazini na Kivu kusini watu ni wengi eh!?

Ukiachanana mshahara kulipwa, hata wasipokupa. Unadhani hiyo nafasi itakosa mtu wa kufanya hizo kazi!?

Mpaka askali wanaamua wajiunge, raia unadhani itakuwaje!!! Wafadhili wa nje wa M23 unawajua!? Na wezi humo humo. Maana M23 lazima iweke chakula mezani. Uliwahi sikia wakiitaka kuachia maeneo safari hii!? Jibu hapo umepata sasa
 
M23 wamesema Ofisi za forodha mipakani sasa kufanya kazi hadi saa 12 jioni badala ya saa tisa za awali.
 
Jeshi la M23(siliiti kundi tena, kwa walivyofanya, wana hadhi ya kuitwa wanajeshi), huko Kivu kusini, limezitaka taasisi zote za kiserikali kuendelea kutoa huduma kama kawaida.
Kuna taasisi ambazo, wafanyakazi walikimbia na kwenda mikoa au nchi jirani, wengine wakienda Kinshasa jijini. Baada tu ya kufika Bukavu, wafanyakazi wa ofisi za uhamiaji upande wa Congo walikuwa wameshakimbia na kuacha ofisi. Japo huduma zilikuwa hazitolewi, lakinin wenye hati za kusafiria, hawakuzuwiliwa kuingia nchini Rwanda au kupokelewa watokapo Rwanda, japo upande huo walikuwa hawagongewi mhuri ikiwa wanatoka au wanaingia.
AFC/M23 imejitahidi kuhakikisha raia wanapata huduma haraka iwezekanavyo,katika nyanja mbali mbali. Watoa huduma wengi, mjini Bukavu, baada ya kuona hali ilivyokuwa Goma, hawakuwa na wasiwasi, na walipoitwa, waliokuwa karibu wote walirejea maofisini kwao.

Kasoro Benki tu,ambapo badhi ya viongozi wanajadiliana uwezekano wa kutoa huduma hiyo. Pia, tofauti na mji wa Goma, serikali ilipokuwa imekata huduma za maji na umeme, Bukavu haikuwa hivo. Pia huduma za mtandao ziliendelea, kasoro tu mitandao ya kijamii.

Mpaka sasa, watoa huduma wote walishaahidiwa kupokea mishahara yao kama kawaida, huku wa kwanza kupewa stahiki zao, wakiwa wanajeshi waliokuwa wakipigana upande wa serikali. Kwa sasa, watakuwa wakilipwa mishahara yao kila mwezi,kama waajiliwa wote.

Taarifa ambazo pia binafsi sijadhibitisha, ni kwamba punde tu watakapokamilisha zoezi lao, mishahara yao itarekebishwa, na familia zao kupewa vipaumbele katika mambo mbali mbali, yakiwemo huduma za afya, shule na maisha ya kawaida.
Wewe jamaa ndiye 'mouth piece ' wa M23 humu jamvini.
 
Naona kazi yako kutuletea nyuzi za habari nzuri za M23, mmetumwa na Kagame kufanya PR na Informatiom warfare?
 
m23 anatowa wap pesa zote hizo ? ilihali bado m23 wapo vitani , hata Rwanda haez hii. Waafrika hatupend umiza kichwa , hawa watu wa Goma na Bukavu watakuja lia huko mbeleni , hz siasa wanachezewa
Hawajawahi kulia na wala hawatakuja kulia, M23 ni revolutionaries. Kinachowaliza day in day out ni serikali ya inayoongozwa kutokea Kinshasa.
 
Mkuu hii ya 🇺🇸 kuwataka raia wake kuwa vigilant na pass zao ready kwa madai ya kwamba DR na burundi wanaweza vamia kigali iko vipi?
 
Kwa utajiri uliopo kwenye maeneo hayo ya Kivu, M23 wanaweza kabisa kulipa mishahara hiyo.

Kumbuka: Takribani 80% ya rasilimali zote kabisa za madini yaliyopo kwenye nchi hiyo ya DRC yanapatikana kwenye hayo majimbo ya Kivu.
Kuna mji sijui jiji la mbujimbayi waga unalindwa kuliko hata kinshasa.. the gold capital of the world.. m23 wakifika hapo kitawaka hatari.
 
Mimi nilikuwa naongelea Rusizi Border
Rusizi I, Rusizi II, na Petite barriere(mpaka mdogo wa Goma) ndo inayofunga saa kumi na mbili. Kamanyora na Uvira,kesho au kesho kutwa pia kutakaa sawa. Sema tu hapo mahusiano na Burundi, ??????????????????????
 
Back
Top Bottom