Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,472
- 52,528
Habari kutoka chanzo cha ndani GSM ni muda wowote kuanzia kesho Luis Miquissone atatambulishwa kama mchezaji mpya wa kigeni kwa klabu ya Yanga.
NB:
Yanga wanafanya mambo kwa pupa na itawatokea puani!
NB:
Yanga wanafanya mambo kwa pupa na itawatokea puani!