Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,338
- 77,215
MPINA anaanzia pale alipoishia Bungeni, Sasa anawakumbusha Serikali, katika kujitetea waliahidi IGA yenyewe italetwa Bungeni kabla ya Utekelezaji, kwanini wapi kimya??.
Hata Ahadi yao wenyewe wameivunja??
Mzee Wassira Sasa hapa utamtetea nani?.
Hata Ahadi yao wenyewe wameivunja??
Mzee Wassira Sasa hapa utamtetea nani?.