Kwani hauungi mkono hoja mkuu...🙄😃😃😃🤒
Tatizo ajira mkuu....😜Mental health again
Siungi mkono hoja🤒Kwani hauungi mkono hoja mkuu...🙄
Sio tu katiba mpya ile katiba tulioipendekeza ya warioba, haki ya Maulana haipatikanindio tutegemee katiba mpya namna hii?
Si wanadanganyana😁Wameshindwa hata pigiana video call wamalize 😂😂😂😂yaishe
😂😂😂yaani wanadanganyana kizamani hapo ukute mmoja yuko zake kwene daladala sio shida zakeSi wanadanganyana😁
Km ambavyo nimewaza mie hapa.Mmmh tuliosoma Cuba majibu ya dada yanaonyesha anamsokota jamaa baadae amwambie baby nikwambie kitu....