Live music performance Bongo

kinshwi

Member
Aug 22, 2016
24
51
Mimi ni Mpenzi wa muziki na nikiwa na nafasi huwa nahudhuria events kadhaa ambazo top artists wa bongo wanaperforme, nimenotice jambo ambalo ni utaratibu ambao sielewi ulianzishwa na nani lakini wasanii karibu wote wameuiga, suala la kuperforme huku bodyguards na videographers wao wakizungukazunguka kwenye jukwaa, hawa watu husababisha unnecessary distractions na huharibu ladha ya performance ya msanii. Jukwaani panastahili kuwepo msanii, back ups , dancers( ikibidi) na wapiga vyombo.

Uwepo wa walinzi na wapiga picha tena wakitembea tembea haina artistic appeal ya aina yoyote.

Performances za wenzetu kama kina cold play, imagine dragons hata wanaija tu kina burna boy et al, ni mfano tosha. Wasanii wetu jifunzeni
 
Zote hizo sababu ya njaa tukale wapi kwa hio unajazajaza watu ili mradi na wao wale
 
Live music performances kwa bongo music flavour hakuna Tanzania.

Live performance wanaiweza watu wa gospel pekee Tanzania na kwa mbali watu wa Bagamoyo reggae na Zawose.
Bongo makelele tu!, Hebu angalia Live Za Wakongo kila chombo unakisikia, na hakuna Bodi bodi mshenzi anazu nguka, ni nidhamu tupu.
 
Live music performances kwa bongo music flavour hakuna Tanzania.

Live performance wanaiweza watu wa gospel pekee Tanzania na kwa mbali watu wa Bagamoyo reggae na Zawose.
Mkuu vipi kina Twanga Pepeta na FM Academia?
 
Unalipia kuangalia performance unaishia kuangalia ma bodigadi na makameramani ata msanii humuoni 😀
 
Back
Top Bottom