Lisu hajui katiba ya Chadema katiba haitoi ukomo wa kiongozi na yeye kama kiongozi alipitisha kwenye vikao akiwa mmojawapo wajumbe
Sasa anaposema ohh Mbowe kakaa sana atoke ana maana gani? Kwa kipengele kipi cha katiba ya Chadema ? Anaropoka tu bila ushahidi wa kikatiba huku katoa mimacho 8tadhani anasema kweli kunbe anakazia uongo wake
Binafsi nilishamjua Lisu nikiona kuna mahali anaongea kwa jaziba na kutoa mimacho sana najua hapo ndipo uongo wake umelalia na kujita pointinza uongo zinakuwa hapo
Msingi wa Uchaguzi wa Chadema ni katiba ya Chadema sio mihemko ya Lisu
Sasa anaposema ohh Mbowe kakaa sana atoke ana maana gani? Kwa kipengele kipi cha katiba ya Chadema ? Anaropoka tu bila ushahidi wa kikatiba huku katoa mimacho 8tadhani anasema kweli kunbe anakazia uongo wake
Binafsi nilishamjua Lisu nikiona kuna mahali anaongea kwa jaziba na kutoa mimacho sana najua hapo ndipo uongo wake umelalia na kujita pointinza uongo zinakuwa hapo
Msingi wa Uchaguzi wa Chadema ni katiba ya Chadema sio mihemko ya Lisu