Pre GE2025 Lissu: Makamu mwenyekiti wa CHADEMA ni ‘heartbeat away’ kuwa Mwenyekiti. Awashangaa wanaosema hafai kuongoza hata Mtaa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,513
3,771
Akihojiwa na BBC Swahili, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewashangaa wanaodai kuwa hafai kuongoza hata Mtaa wakati kitambo kidogo alifaa hadi kuwa Rais (Akapewa dhamana ya kugombea Urais) na pia amefaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA

Amesema “Huyu Lissu ambaye hafai kabisa kuwa Mwenyekiti alikuwa anafaa kuwa Rais, in fact alikuwa anafaa kuwa Makamu wa Mwenyekiti. Ukiwa Makamu Mwenyekiti, Mungu akifanya mapenzi yake na tukasema Bwana Ahimidiwe, Makamu ndio anakuwa Mwenyekiti”

Amesema kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ‘is a heartbeat away’ kuwa Mwenyekiti, kuwa Moyo wa Mwenyekiti ukizima kwa mapenzi ya Mungu, Makamu Mwenyekiti ndio anakuwa Mwenyekiti.

Ameongeza kuwa mtu anayesema ‘hufai kabisa’ kama ingekuwa mazingira mengine ungemuuliza ‘wewe kichwa chako kipo sawa?’ Ila kwa sababu ni mazingira ya Uchaguzi unaelewa.
 
Wajumbe watamlamba kichwa mapema sana, TL ana sapoti ya wapiga ramli mitandaoni na mtaani ambao sio wapiga kura
 
Lakini museveni wa machame nae duh, hata haibu hamna?
 
Akihojiwa na BBC Swahili, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewashangaa wanaodai kuwa hafai kuongoza hata Mtaa wakati kitambo kidogo alifaa hadi kuwa Rais (Akapewa dhamana ya kugombea Urais) na pia amefaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA

Amesema “Huyu Lissu ambaye hafai kabisa kuwa Mwenyekiti alikuwa anafaa kuwa Rais, in fact alikuwa anafaa kuwa Makamu wa Mwenyekiti. Ukiwa Makamu Mwenyekiti, Mungu akifanya mapenzi yake na tukasema Bwana Ahimidiwe, Makamu ndio anakuwa Mwenyekiti”

Amesema kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ‘is a heartbeat away’ kuwa Mwenyekiti, kuwa Moyo wa Mwenyekiti ukizima kwa mapenzi ya Mungu, Makamu Mwenyekiti ndio anakuwa Mwenyekiti.

Ameongeza kuwa mtu anayesema ‘hufai kabisa’ kama ingekuwa mazingira mengine ungemuuliza ‘wewe kichwa chako kipo sawa?’ Ila kwa sababu ni mazingira ya Uchaguzi unaelewa.
Lissu anakubalika
 
Akihojiwa na BBC Swahili, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewashangaa wanaodai kuwa hafai kuongoza hata Mtaa wakati kitambo kidogo alifaa hadi kuwa Rais (Akapewa dhamana ya kugombea Urais) na pia amefaa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA

Amesema “Huyu Lissu ambaye hafai kabisa kuwa Mwenyekiti alikuwa anafaa kuwa Rais, in fact alikuwa anafaa kuwa Makamu wa Mwenyekiti. Ukiwa Makamu Mwenyekiti, Mungu akifanya mapenzi yake na tukasema Bwana Ahimidiwe, Makamu ndio anakuwa Mwenyekiti”

Amesema kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA ‘is a heartbeat away’ kuwa Mwenyekiti, kuwa Moyo wa Mwenyekiti ukizima kwa mapenzi ya Mungu, Makamu Mwenyekiti ndio anakuwa Mwenyekiti.

Ameongeza kuwa mtu anayesema ‘hufai kabisa’ kama ingekuwa mazingira mengine ungemuuliza ‘wewe kichwa chako kipo sawa?’ Ila kwa sababu ni mazingira ya Uchaguzi unaelewa.

..Lissu is smart.

..Lissu is a quick thinker.

..kila dongo wanalomrushia analipangua kisomi.
 
Wajumbe watamlamba kichwa mapema sana, TL ana sapoti ya wapiga ramli mitandaoni na mtaani ambao sio wapiga kura
Akili hizo mnazitoa wapi? Tumeona Mbeya, Katavi, Songwe na Mara wajumbe wote wenye hadhi ya kupiga kura wakitoka na kusema watampigia kura Lissu. Hayo mawazo ya Lissu anawajumbe wa twitter tuu mnayatoa wapi? Wapiga kura wangapi wameweka wazi kuwa watampigia kura Mbowe ukiachana na Machawa wake kama Ntobi na Yericko Nyerere ? Inshort, huhitaji kuwa na PhD kujua kuwa bwana Mbowe kashikwa Pabaya.
 
Mi nimesema hafai kabisa, kwasababu anaropoka sana, juzi alituaminisha kwamba TIGO au YAS-Tanzania, walitoa mawasiliano yake na wao ndio walisababisha akapigwa risasi katika jaribio la kumuua, Akkasema yeye kwamba amesoma kwenye gazeti la the Guardian huko uingereza kwamba kuna kesi moja ya waliokuwa wafanya kazi wa Tigo anaendelea kuhojiwa na mengi yangezungumzwa kuhusu TIgo kuhusika moja kwa moja na mpango wa yeye kupigwa risasi, akasema kamuachia kazi ya kufuatilia taarifa zaidi wakili wake anayeitwa Amstardam.

Yani Mwanasheria msomi, anaamini habari za magazeti, na kule London hakujua kesi inahusu nini, ushahidi utaotolewa utamsaidia kiasi gani, Yeye tayari akaita press kaongea meengi, mara Magufuli na Makonda na wengine hatowataja wanahusika katika jaribio la kutaka kumuua. Kwamba ataishitaki Tigo huko Duniani watamlipa mapesa mengi tu, na akaenda mbali kusema ataweka zuio la ndege za Serikali ya Tanzania, akikumbushia yule mkulima aliyekuwa akiidai Tanzania pesa zake alivyo wasumbua AirTanzania na serikali ya JMT.

Huyu Mtu anafaa vipi kuw amwenyekiti, atakuwa akisoma magazeti ya udaku anawaita waandishi anaongea nao, atakuwa akisikia story vijiweni anaita waandishi anaongea nao, atakuwa mwenyekiti wa hovyo sana yeye na hao wanaomshauri, wanaomfanya Zitto na kian Dr.Slaa wanakesha usiku kucha kuwasikiliza porojo zao.

Huyo mtu anafaa wapi, hata katani wanaweza wasimkubali.
 
Back
Top Bottom