Status
Not open for further replies.

mapessa

JF-Expert Member
Oct 9, 2014
655
1,161
Kwa Mara nyingine tena Mbowe na Tundu Lissu wameingia kwenye mzozo mwingine ikiwa ni siku moja tu tokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kutangaza ziara katika kanda ya Kaskazini ambayo ililengwa kuwa na mikutano zaidi ya 104 katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.
IMG_0002.jpeg

Ziara ambayo ilitangazwa itakuwa ni ya siku 21 katika majimbo 35 tayari imeshaingia dosari siku ya pili tu tokea kuanza kwa ziara Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu ameisusia ziara hiyo kwa madai kuwa Mwenyekiti amejipanga kwa bajeti kubwa ikiwa yeye ametoka kwenye ziara katika mkoa wa Singida bila ya kuwa na bajeti iweje Mbowe afanye kufuru.?

Siku ya jana baada ya kumalizika kwa mikutano ilibidi yeye na delegation yake ikiongozwa na Askofu Mwanamapinduzi wajigharamie Chakula na Malazi kitu ambacho Lissu alikipinga na hakikuwa katika ratiba yake.

Hali hiyo ilimlazimu Tundu Lissu achukue sehemu ya michango aliyochangiwa na wanaharakati pamoja na diaspora kununulia gari kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 2 kulipia malazi tu hali ambayo imemkasirisha Makamu Mwenyekiti na kupelekea kususia ziara hiyo kwa madai kuwa yeye hana pesa na alikwenda kwenye hiyo ziara kwa mualiko wa Mwenyekiti wake.

Tundu Lissu anasema kuwa Mbowe alipaswa kumuhudumia kama Kiongozi yeye pamoja na delegation yake lakini ilipofika jioni baada ya kumaliza mikutano kila mtu anashika njia yake kitu ambacho kimemfanya Tundu Lissu aingie mitini kuendelea na ziara.

Tunaposema Lissu na Mbowe hawapikiki tena chungu kimoja ni wazi sasa hivi imebakia kugawana magwanda tu na kila mmoja kushika njia yake.

Kwaheri Lissu.

---

JamiiCheck.com imefuatilia hoja hii na kuja na majibu. Soma hapa chini:

- SI KWELI - Tundu Lissu kaenda kutibiwa Ulaya
 
Inaweza kuwa uongo au ukweli Ila Kuna maswali ya kujiuliza.
Lissu kafanya ziara nyingi nyingine akiwa anapanda bodaboda lakini Mbowe anafanya ziara kwa kutumia gharama kubwa Cha kujiuliza chama kina bajeti ya viongozi wake au mwenyekiti ndiye pekee mwenye bajeti ya mikutabo.
 
Kwa Mara nyingine tena Mbowe na Tundu Lissu wameingia kwenye mzozo mwingine ikiwa ni siku moja tu tokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kutangaza ziara katika kanda ya Kaskazini ambayo ililengwa kuwa na mikutano zaidi ya 104 katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.

Ziara ambayo ilitangazwa itakuwa ni ya siku 21 katika majimbo 35 tayari imeshaingia dosari siku ya pili tu tokea kuanza kwa ziara Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu ameisusia ziara hiyo kwa madai kuwa Mwenyekiti amejipanga kwa bajeti kubwa ikiwa yeye ametoka kwenye ziara katika mkoa wa Singida bila ya kuwa na bajeti iweje Mbowe afanye kufuru.?

Siku ya jana baada ya kumalizika kwa mikutano ilibidi yeye na delegation yake ikiongozwa na Askofu Mwanamapinduzi wajigharamie Chakula na Malazi kitu ambacho Lissu alikipinga na hakikuwa katika ratiba yake.

Hali hiyo ilimlazimu Tundu Lissu achukue sehemu ya michango aliyochangiwa na wanaharakati pamoja na diaspora kununulia gari kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 2 kulipia malazi tu hali ambayo imemkasirisha Makamu Mwenyekiti na kupelekea kususia ziara hiyo kwa madai kuwa yeye hana pesa na alikwenda kwenye hiyo ziara kwa mualiko wa Mwenyekiti wake.

Tundu Lissu anasema kuwa Mbowe alipaswa kumuhudumia kama Kiongozi yeye pamoja na delegation yake lakini ilipofika jioni baada ya kumaliza mikutano kila mtu anashika njia yake kitu ambacho kimemfanya Tundu Lissu aingie mitini kuendelea na ziara.

Tunaposema Lissu na Mbowe hawapikiki tena chungu kimoja ni wazi sasa hivi imebakia kugawana magwanda tu na kila mmoja kushika njia yake.

Kwaheri Lissu.
Mna propaganda za kipumbavu mno, mna akili za kipumbavu, mnatia kinyaa. Nyie ni wajinga wakutupwa
 
Lissu ni ngumu sana kuelewana naye,ni mtata by nature,nasikia hata mkewe siku hizi hawaelewani,pia kaka yake tumbo moja hawapatani kabisa,sijui huyu mtu ana shida gani kwa bichwa lake
 
Kwa Mara nyingine tena Mbowe na Tundu Lissu wameingia kwenye mzozo mwingine ikiwa ni siku moja tu tokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kutangaza ziara katika kanda ya Kaskazini ambayo ililengwa kuwa na mikutano zaidi ya 104 katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.

Ziara ambayo ilitangazwa itakuwa ni ya siku 21 katika majimbo 35 tayari imeshaingia dosari siku ya pili tu tokea kuanza kwa ziara Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu ameisusia ziara hiyo kwa madai kuwa Mwenyekiti amejipanga kwa bajeti kubwa ikiwa yeye ametoka kwenye ziara katika mkoa wa Singida bila ya kuwa na bajeti iweje Mbowe afanye kufuru.?

Siku ya jana baada ya kumalizika kwa mikutano ilibidi yeye na delegation yake ikiongozwa na Askofu Mwanamapinduzi wajigharamie Chakula na Malazi kitu ambacho Lissu alikipinga na hakikuwa katika ratiba yake.

Hali hiyo ilimlazimu Tundu Lissu achukue sehemu ya michango aliyochangiwa na wanaharakati pamoja na diaspora kununulia gari kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 2 kulipia malazi tu hali ambayo imemkasirisha Makamu Mwenyekiti na kupelekea kususia ziara hiyo kwa madai kuwa yeye hana pesa na alikwenda kwenye hiyo ziara kwa mualiko wa Mwenyekiti wake.

Tundu Lissu anasema kuwa Mbowe alipaswa kumuhudumia kama Kiongozi yeye pamoja na delegation yake lakini ilipofika jioni baada ya kumaliza mikutano kila mtu anashika njia yake kitu ambacho kimemfanya Tundu Lissu aingie mitini kuendelea na ziara.

Tunaposema Lissu na Mbowe hawapikiki tena chungu kimoja ni wazi sasa hivi imebakia kugawana magwanda tu na kila mmoja kushika njia yake.

Kwaheri Lissu.
Ukiwa na akiki ndogo kama ulivyo wewe, hata uwezo wa kutengeneza uwongo unakuwa huna, kiasi cha kila mmoja kugundua kiurahisi kuwa huu ni uwongo uliotengenezwa na punguani.

Haya, kafanye sherehe ndogo nyumbani kwako, waalike na wajinga, waambie kuwa Lisu na Mbowe wamegombana, tena ikiwezekana waambie kuwa wamepigana hadi kuumizana.
 
Kwa Mara nyingine tena Mbowe na Tundu Lissu wameingia kwenye mzozo mwingine ikiwa ni siku moja tu tokea Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kutangaza ziara katika kanda ya Kaskazini ambayo ililengwa kuwa na mikutano zaidi ya 104 katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.

Ziara ambayo ilitangazwa itakuwa ni ya siku 21 katika majimbo 35 tayari imeshaingia dosari siku ya pili tu tokea kuanza kwa ziara Makamu Mwenyekiti Tundu Lisu ameisusia ziara hiyo kwa madai kuwa Mwenyekiti amejipanga kwa bajeti kubwa ikiwa yeye ametoka kwenye ziara katika mkoa wa Singida bila ya kuwa na bajeti iweje Mbowe afanye kufuru.?

Siku ya jana baada ya kumalizika kwa mikutano ilibidi yeye na delegation yake ikiongozwa na Askofu Mwanamapinduzi wajigharamie Chakula na Malazi kitu ambacho Lissu alikipinga na hakikuwa katika ratiba yake.

Hali hiyo ilimlazimu Tundu Lissu achukue sehemu ya michango aliyochangiwa na wanaharakati pamoja na diaspora kununulia gari kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 2 kulipia malazi tu hali ambayo imemkasirisha Makamu Mwenyekiti na kupelekea kususia ziara hiyo kwa madai kuwa yeye hana pesa na alikwenda kwenye hiyo ziara kwa mualiko wa Mwenyekiti wake.

Tundu Lissu anasema kuwa Mbowe alipaswa kumuhudumia kama Kiongozi yeye pamoja na delegation yake lakini ilipofika jioni baada ya kumaliza mikutano kila mtu anashika njia yake kitu ambacho kimemfanya Tundu Lissu aingie mitini kuendelea na ziara.

Tunaposema Lissu na Mbowe hawapikiki tena

Wewe umenuaje mambo ya ndani. Wambea wa CCM 🤣
kimoja ni wazi sasa hivi imebakia kugawana magwanda tu na kila mmoja kushika njia yake.

Kwaheri Lissu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom