LGE2024 Lindi: Katibu Tawala Mkoa (RAS) ahamasisha wananchi kujitokeza kwenda kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,413
3,653
Wakuu,

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary anawahamasisha wananchi kujitokeza kwenda kupiga kura kuchagua viongozi wanaowahitaji.

Bi Zuwena ametoa wito huo leo Novemba 27, 2024 mara baada ya kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa.

 
Andika hapo COMEDY ZENU TUMEZICHOKA
1732461538451.jpg
 
Back
Top Bottom