kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,000
- 24,168
Hili kundi ndio lilikua na timu mbovu kupitiliza lakini hapa yanga ndio alikuwa mbovu kuliko wote alifungiwa hapa hapa kwao.....Tp mazembe out...Mc Alger out....yanga out na Al hilal ibenge ngungu yanga out...Hslafu bado wanasema ....rank zimetoka msije sema hamjapewa taarifa kila mmoja akague timu yake ipo nafasi ya ngapi andike hapa tufahamiane....