Hao bodi ya ligi na TFF wamekurupuka, hapo Mapinduzi Cup wachezaji wangapi wanaenda na kwa muda gani? Mbungi ingepigwa kasoro timu zenye wachezaji zaidi ya 3.Wakuu ligi kuu Tanzania bara imesimamishwa hadi mwezi wa 3 na bodi ya ligi, sababu ikiwa ni kupitisha Mapinduzi Cup na CHAN.
Naona kwa sisi wadau wanaopenda ligi kuu hawajatutendea haki.
Yaani inauma ujue.Daah yani niko hapa nawaza makolo watakua wanaongoza ligi mpaka mwezi March. Shenzi kabisa
Yaani ukishasema watatu ,kumbuka utaleta viporo TU ni lazima ambavyo nao ni lazima wawasubiri wengine ligi iiishe pamojaHao bodi ya ligi na TFF wamekurupuka, hapo Mapinduzi Cup wachezaji wangapi wanaenda na kwa muda gani? Mbungi ingepigwa kasoro timu zenye wachezaji zaidi ya 3.
Timu ikitolewa wanarudi tunaendelea. Sijawahi ona au kusikia popote duniani ligi inasimama miezi 2 kwa sababu za kijinga hiviYaani ukishasema watatu ,kumbuka utaleta viporo TU ni lazima ambavyo nao ni lazima wawasubiri wengine ligi iiishe pamoja
Ndiyo ukome.Simba kama Thimba.Daah yani niko hapa nawaza makolo watakua wanaongoza ligi mpaka mwezi March. Shenzi kabisa
Karibia kikosi kizima cha Azam wachezaji wa TZ na Zanzibar kimeendaHao bodi ya ligi na TFF wamekurupuka, hapo Mapinduzi Cup wachezaji wangapi wanaenda na kwa muda gani? Mbungi ingepigwa kasoro timu zenye wachezaji zaidi ya 3.
Mkuu ni swala la muda tu. Kwa timu yenu ilivyo labda mfanye usajili ila kama itaendelea hii nauhakika ni bodi wamewasaidia tu mnaketi hapo kwa muda wote huo kwa sababu ya ratibaNdiyo ukome.Simba kama Thimba.
Tutawashangaza hivyohivyo muheshimiwa. Mwaka huu mtasema yote.Mkuu ni swala la muda tu. Kwa timu yenu ilivyo labda mfanye usajili ila kama itaendelea hii nauhakika ni bodi wamewasaidia tu mnaketi hapo kwa muda wote huo kwa sababu ya ratiba
Muda utasema nyie hamna timu ya ubingwa kabisaTutawashangaza hivyohivyo muheshimiwa. Mwaka huu mtasema yote.
Sisi kazi yetu kuwaumiza roho tu.Penati kama zote hadi mtoe milio.Mtakoma!Muda utasema nyie hamna timu ya ubingwa kabisa
Kuna pande 2 hapa wakwanza nzuri maana unawasaidia watu wa mbali kama kagera Sugar anasafiri mpk labdah Namungo bila shida anacheza anarudi taratibu bila kukimbizana ..wapili mbaya maana lazima ligi ifate tm fulan(Simba na Yanga),Hawa mabwana Hawa majamaa match fitness wanayo mda wrote maana hata ligi ikisimama ni kwasababu yao wapo kimataifa na miezi hii miwili wachezaji wao watacheza tu hivo fitness kwao inakuwa kubwa sana tofauti na timu nyingineTimu ikitolewa wanarudi tunaendelea. Sijawahi ona au kusikia popote duniani ligi inasimama miezi 2 kwa sababu za kijinga hivi
Hiyo Mapinduzi Cup kama mpaka fainali ni siki kama 12, hizo 19 za Januari zinafanya kazi gani?Karibia kikosi kizima cha Azam wachezaji wa TZ na Zanzibar kimeenda
Jipangeni iwe ivyo kweli. Otherwise kuna kilio kinakujaSisi kazi yetu kuwaumiza roho tu.Penati kama zote hadi mtoe milio.Mtakoma!