Pre GE2025 LHRC: Kukamatwa kwa John Heche sio sawa ni kinyume na haki za binadamu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Aug 29, 2022
1,117
2,165
Utaratibu wa ukamatwaji wa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. John Heche ni uvunjifu wa haki zabinadamu

Kituo cha sheria na haki za binadamu tumeona katika vyombo vya Habari suala linaendelea huko Kariakoo kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti John Heche tumeona namna ambavyo amekamatwa na polisi, na polisi ni wengi na wamekamtwa kwa namna Fulani ya udhalilishaji ambayo kwa muujibu wa haki za binadamu hata sheria si sawa.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

 
Utaratibu wa ukamatwaji wa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. John Heche ni uvunjifu wa haki zabinadamu

Kituo cha sheria na haki za binadamu tumeona katika vyombo vya Habari suala linaendelea huko Kariakoo kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti John Heche tumeona namna ambavyo amekamatwa na polisi, na polisi ni wengi na wamekamtwa kwa namna Fulani ya udhalilishaji ambayo kwa muujibu wa haki za binadamu hata sheria si sawa.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Mikutano kwenye maduka ya watu
 
Utaratibu wa ukamatwaji wa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. John Heche ni uvunjifu wa haki zabinadamu

Kituo cha sheria na haki za binadamu tumeona katika vyombo vya Habari suala linaendelea huko Kariakoo kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti John Heche tumeona namna ambavyo amekamatwa na polisi, na polisi ni wengi na wamekamtwa kwa namna Fulani ya udhalilishaji ambayo kwa muujibu wa haki za binadamu hata sheria si sawa.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Huyu dada mpumbavu sana, hivi hamjui heche vizuri!! Hakuna jitu la hovyo kama heche , kwanza hana ustaarabu, jeuri !ana lugha za kuudhi, na ana dharau vyombo vya dola, nyie ndio mnawatuma, waambieni pia waheshimu haki za binadamu wengine sio kujali haki zao wakati wao wanatumia kila lugha mbaya kuongelea serikali yetu. We wanaokulipa wamekuona nyamaza.
 
Huyu dada mpumbavu sana, hivi hamjui heche vizuri!! Hakuna jitu la hovyo kama heche , kwanza hana ustaarabu, jeuri !ana lugha za kuudhi, na ana dharau vyombo vya dola, nyie ndio mnawatuma, waambieni pia waheshimu haki za binadamu wengine sio kujali haki zao wakati wao wanatumia kila lugha mbaya kuongelea serikali yetu. We wanaokulipa wamekuona nyamaza.
Ameachiwa huru sasa haya ongea tena kibwengu
 
Utaratibu wa ukamatwaji wa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. John Heche ni uvunjifu wa haki zabinadamu

Kituo cha sheria na haki za binadamu tumeona katika vyombo vya Habari suala linaendelea huko Kariakoo kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti John Heche tumeona namna ambavyo amekamatwa na polisi, na polisi ni wengi na wamekamtwa kwa namna Fulani ya udhalilishaji ambayo kwa muujibu wa haki za binadamu hata sheria si sawa.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Hawa sijawahi waona wakitetea wananchi wa kawaida ni wanasiasa tu! Wanafanya hivyo ili misaada kutoka kwenye mabwana zao mabeberu walete pesa!
 
Utaratibu wa ukamatwaji wa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. John Heche ni uvunjifu wa haki zabinadamu

Kituo cha sheria na haki za binadamu tumeona katika vyombo vya Habari suala linaendelea huko Kariakoo kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti John Heche tumeona namna ambavyo amekamatwa na polisi, na polisi ni wengi na wamekamtwa kwa namna Fulani ya udhalilishaji ambayo kwa muujibu wa haki za binadamu hata sheria si sawa.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Yeye alitumia utaratibu
Utaratibu wa ukamatwaji wa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. John Heche ni uvunjifu wa haki zabinadamu

Kituo cha sheria na haki za binadamu tumeona katika vyombo vya Habari suala linaendelea huko Kariakoo kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti John Heche tumeona namna ambavyo amekamatwa na polisi, na polisi ni wengi na wamekamtwa kwa namna Fulani ya udhalilishaji ambayo kwa muujibu wa haki za binadamu hata sheria si sawa.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Ye alifuata utaratibu kwenda kufanya mkutano huko kariakoo? Au ndiyo ameenda kufanya uchochezi? Tena wamemkamata kistaarabu hao madanga ya LHRC yatulie. Akiendelea na kiherehere atavunjwa kiuno
 
Huyu dada mpumbavu sana, hivi hamjui heche vizuri!! Hakuna jitu la hovyo kama heche , kwanza hana ustaarabu, jeuri !ana lugha za kuudhi, na ana dharau vyombo vya dola, nyie ndio mnawatuma, waambieni pia waheshimu haki za binadamu wengine sio kujali haki zao wakati wao wanatumia kila lugha mbaya kuongelea serikali yetu. We wanaokulipa wamekuona nyamaza.
Heche hajaoneshwa mfano wacha aendelee kiburi cha kikurya kitazama mkunduni
 
Hawa sijawahi waona wakitetea wananchi wa kawaida ni wanasiasa tu! Wanafanya hivyo ili misaada kutoka kwenye mabwana zao mabeberu walete pesa!
Serekali yenyewe ina mabwana huko kwa mabeberu wanawaletea hela, itakuwa hao wasiokusanya kodi.
 
Utaratibu wa ukamatwaji wa makamu mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. John Heche ni uvunjifu wa haki zabinadamu

Kituo cha sheria na haki za binadamu tumeona katika vyombo vya Habari suala linaendelea huko Kariakoo kiongozi wa CHADEMA ambaye ni Makamu Mwenyekiti John Heche tumeona namna ambavyo amekamatwa na polisi, na polisi ni wengi na wamekamtwa kwa namna Fulani ya udhalilishaji ambayo kwa muujibu wa haki za binadamu hata sheria si sawa.

Soma Pia: John Heche akamatwa na Polisi Kariakoo

Hiki ni kituo cha sheria na hali za wanasiasa na si za binadamu.

Sijawahi kuona wakitetea wananchi wa kawaida wanaokandamizwa,sijawahi kuona wakipinga sheria kandamizi kama ya fao la kuacha kazi la mifuko ya jamii.leo wanakuja kutetea mwanasiasa amekuja kuleta mkutano kwenye maduka ya watu! Hivi si uchokozi huu kuletea wananchi vurugu?
Siwaelewi kabisa mpo kwa maslahi yenu na ya wanaowapa pesa.
 
Back
Top Bottom