Pre GE2025 Lema: Ukiona mtu anataka kununua uongozi ambao hauna mshahara jua kuna mshahara analipwa kwaajili ya uongozi huo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Nov 17, 2023
1,857
4,866
Wakuu,

Lema anazidi kutema cheche kwenye mkutano wake na waandishi wa habari leo Januari 14, 2025, asema ukiona mtu anataka kununua uongozi akiwa mwenyekiti wa CHADEMA au kiongozi mwingine, kwa uongozi ambao hauna mshahara jua kuna mshahara analipwa kwaajili ya uongozi huo.

Pia soma: Pre GE2025 - Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA

Aongeza kuwa kwenye upande wa upinzani ni kazi yenye hatari nyingi kwani unakuwa na maadui na watu wengi ikiwemo Rais, wabungem Usalama wa Taifa, Vyombo vya Usalama, nk, sasa mtu anatoaje hela kununua uadui na watu hawa?

Asema na wajumbe wakikubali hili basi kuna msingi wa CCM kuendelea kuwa madarakani. Asema tofauti yao na CCM isiwe rangi ya nguo bali matendo.
 
Wakuu,

Lema anazidi kutema cheche kwenye mkutano wake na waandishi wa habari leo Januari 14, 2025, asema ukiona mtu anataka kununua uongozi akiwa mwenyekiti wa CHADEMA au kiongozi mwingine, kwa uongozi ambao hauna mshahara jua kuna mshahara analipwa kwaajili ya uongozi huo.

Aongeza kuwa kwenye upande wa upinzani ni kazi yenye hatari nyingi kwani unakuwa na maadui na watu wengi ikiwemo Rais, wabungem Usalama wa Taifa, Vyombo vya Usalama, nk, sasa mtu anatoaje hela kununua uadui na watu hawa?

Asema na wajumbe wakikubali hili basi kuna msingi wa CCM kuendelea kuwa madarakani. Asema tofauti yao na CCM isiwe rangi ya nguo bali matendo.
cheche atazitoa wapi ndugu yetu huyo mpiga vizinga mtaani aliekataliwa kwao na wanachadema Arusha my Lady?🐒
 
Back
Top Bottom