Leicester City ndiye bingwa!!

WENZIO TULIJUA TOKA LIGI ILIPOKUWA INAANZA NGOJA NKACHUKUE MPUNGA WANGU NILIMBETIA KING POWER KAMA ANABEBA NDOO.
 
Hongera Chama Jipya Kwenye Ushindani
Manchester United
Manchester City
Arsenal
Chelsea
Liverpool

Tupa Kule Mbali

Hongera Leicester City Football Club
 
me bado sielewi..mwanzon kabisa mwa msimu alex ferguson alinukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari vya pale uk akitoa maoni yake na akasema ana uhakika leicester watakua mabingwa wa msimu huu na leo limetimia hilo..je kuna uhusiano gani hapo au bingwa huwa anaandaliwa mapema?
 
Baada ya Spurs kwenda sare ya 2-2 na Chelsea ugenini,Klabu ya Leicester City imetwaa ubingwa wa soka wa Uingereza. Kwa michezo miwili iliyobaki kwa Leicester na Spurs,Spurs hawataweza kufikia alama za LC.

Pongezi kwa Meneja Ranieri na kikosi chake chote cha Leicester City!
 
hongera sana kwa raniel na kikosi chake. ingependeza zaidi kama ndoo atapewa pale stamford bridge wakiwafunga Chelsea mbele ya abramovich ili wauone ubora wa Raniel
 
Hivi bado mechi 2 ama 3?niweke sawa hapo maana jumla ya timu zipo 20 na kila timu inatakiwa icheze mechi ngapi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…