LATRA kujadili maoni ya kupandisha nauli za mabasi ya mwendokasi

Wild Flower

JF-Expert Member
Jul 20, 2023
294
639
image_2024-06-27_08-37-16.png


Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imepokea maombi ya kurejea nauli za mabasi yanayotoa huduma ya usafiri wa haraka kutoka kwa UDART ambayo inatoa huduma za mpito za usafiri wa Mabasi ya Haraka katika Jiji la Dar es Salaam

Mapendekezo ya Nauli yaliyotolewa ni kama ifuatavyo, Nauli ya Njia Kuu - Tsh. 1,000, Abiria wa Njia Lishi (Feeder Route) Tsh. 600, Njia ya Kimara - Kibaha Tsh. 1,200 na Nauli za Wanafunzi Tsh. 200

Mkutano huo utafanyika tarehe 03 Julai 2024 katika Ukumbi wa mikutano Arnaoutouglou, Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3.30 asubuhi. Kutokana na umuhimu wa mkutano huo, LATRA inawaalika wadau wa sekta ya barabara na wananchi kwa ujumla kushiriki bila kukosa katika mkutano huo muhimu.

Pia Soma
 
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imepokea maombi ya kurejea nauli za mabasi yanayotoa huduma ya usafiri wa haraka kutoka kwa UDART ambayo inatoa huduma za mpito za usafiri wa Mabasi ya Haraka katika Jiji la Dar es Salaam

Mapendekezo ya Nauli yaliyotolewa ni kama ifuatavyo, Nauli ya Njia Kuu - Tsh. 1,000, Abiria wa Njia Lishi (Feeder Route) Tsh. 600, Njia ya Kimara - Kibaha Tsh. 1,200 na Nauli za Wanafunzi Tsh. 200

Mkutano huo utafanyika tarehe 03 Julai 2024 katika Ukumbi wa mikutano Arnaoutouglou, Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3.30 asubuhi. Kutokana na umuhimu wa mkutano huo, LATRA inawaalika wadau wa sekta ya barabara na wananchi kwa ujumla kushiriki bila kukosa katika mkutano huo muhimu.
Huo mradi umeshindwa kujiendesha nauli sio tatizo ufanisi wao ndo shida atawakiweka nauli iwe 2000 watashindwa tu, mpaka pale watajapo ondoa wizi ufisadi na kupeana fadhira.
 
Mradi huo wawape sekta binafsi tu,mradi umewashinda,watu wakitaka kuagiza magari ya kutumia umeme,kodi mmeweka juu
 
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imepokea maombi ya kurejea nauli za mabasi yanayotoa huduma ya usafiri wa haraka kutoka kwa UDART ambayo inatoa huduma za mpito za usafiri wa Mabasi ya Haraka katika Jiji la Dar es Salaam

Mapendekezo ya Nauli yaliyotolewa ni kama ifuatavyo, Nauli ya Njia Kuu - Tsh. 1,000, Abiria wa Njia Lishi (Feeder Route) Tsh. 600, Njia ya Kimara - Kibaha Tsh. 1,200 na Nauli za Wanafunzi Tsh. 200

Mkutano huo utafanyika tarehe 03 Julai 2024 katika Ukumbi wa mikutano Arnaoutouglou, Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3.30 asubuhi. Kutokana na umuhimu wa mkutano huo, LATRA inawaalika wadau wa sekta ya barabara na wananchi kwa ujumla kushiriki bila kukosa katika mkutano huo muhimu.

Pia Soma
Tunaelekea kwenye ile Gen Z ya kenya.

Naulimza daldala magazine bado hazieleweki..na sasa mnakwenda Udart
 
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imepokea maombi ya kurejea nauli za mabasi yanayotoa huduma ya usafiri wa haraka kutoka kwa UDART ambayo inatoa huduma za mpito za usafiri wa Mabasi ya Haraka katika Jiji la Dar es Salaam

Mapendekezo ya Nauli yaliyotolewa ni kama ifuatavyo, Nauli ya Njia Kuu - Tsh. 1,000, Abiria wa Njia Lishi (Feeder Route) Tsh. 600, Njia ya Kimara - Kibaha Tsh. 1,200 na Nauli za Wanafunzi Tsh. 200

Mkutano huo utafanyika tarehe 03 Julai 2024 katika Ukumbi wa mikutano Arnaoutouglou, Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3.30 asubuhi. Kutokana na umuhimu wa mkutano huo, LATRA inawaalika wadau wa sekta ya barabara na wananchi kwa ujumla kushiriki bila kukosa katika mkutano huo muhimu.

Pia Soma
Wakipandisha nauli waruhusu daladala zifike mahali mwendokasi zinaishia ili tuwe na fair competition na abiria wachague usafiri wanaopenda kuliko mateso hayo yanayosababishwa na mabasi ya mwendokasi.


Vv
 
Tanzania ukiona unaitwa ujue tayari maamuzi hivyo wanakwenda kuhalalisha kwenye vyombo vya habari!!!Hizi bei zenyewe mabasi yako wapi??Je uendeshaji wake utakuwaje tofauti na mwanzo?
 
Hakuna usafiri wenye mateso kama huo,,,wanaongeza nauli hivi wanajua mateso wanayopata watu wanavyobanana hamna hewa,wengine mpaka wanazimia sikuambii adha ya kusubiria gari kituoni,,,hatari sana ntashangaa sana watu wataolipa 1000 kwa mateso ya mule bora upande zako daladala tu
 
Hawataki kujadili kuhusu chagamoto za huduma mbovu wanachoangalia ni mapato tu. Watu walioko serikali kwenye nafasi za maamuzi ni kama hawana akili kabisa. Magari hayafanyiwi service wala usafi. Gari hazibebi abiria kwa wakati, yote hayo hawayaoni wanachokiona wao ni kupandisha gharama ya nauli tu.
 
Nimeona sehemu hicho kikao wamekifuta. Yamkini wameona aibu au woga wa kusababisha hasira kwa wananchi wanaoweza kuleta tukio la Kenya.
 
Nichukue fursa hii kuwambia vijana ya kuwa huu ndo muda wa kujiandikisha daftari la wapiga kura kajiandikishe na kwenye uchaguzi 2025 tukachague viongozi sio kuchagua Chama wala mtu flani chagua kiongozi bora kwa manufaa ya watanzania vijana tukiamua tunaweza
 
Nimeona sehemu hicho kikao wamekifuta. Yamkini wameona aibu au woga wa kusababisha hasira kwa wananchi wanaoweza kuleta tukio la Kenya.
Hebu fikilia maisha yako palepale vitu vimepanda maradufu na nauli wanapandisha maradufu hata mwaka haujaisha wanataka wapandishe Tena mbona mishahara isipande iko palepale huu ni unyonyaji wa Hali ya juu kabisa kiukweli tutaingia kudai haki nchi inaanguka
 
Back
Top Bottom