Dalali mbeya jiji
Member
- Mar 18, 2025
- 63
- 32
Ilikuwa zamani sana saiv bure kabisa uwe namsingi basi ukiuziwa ww ni bwegeKumbe zinabei hivi na mimi nimeweka kabatini ,mwenye 500k dodoma aje
500000Kumbe zinabei hivi na mimi nimeweka kabatini ,mwenye 500k dodoma aje
500000
😅😅si na mimi nimeshangaa bei nikashtuka kumbe nimekaa na hazina kabatiniIlikuwa zamani sana saiv bure kabisa uwe namsingi basi ukiuziwa ww ni bwege
Inategemea na mtu anae uza. Tatizo ni upatikanaj wake ndio tatizo. Kuna jamaa aliuza zake kwa 800,000/=Kumbe zinabei hivi na mimi nimeweka kabatini ,mwenye 500k dodoma aje
Mhhh noma.Inategemea na mtu anae uza. Tatizo ni upatikanaj wake ndio tatizo. Kuna jamaa aliuza zake kwa 800,000/=