Unaweza kujichukulia poa una biashara yako inakuingizia visenti kadhaa lakini jua kwamba wahalifu wapo bize kujaribu kubuni mbinu za kukupiga wapate chao bila kuvuja jasho.
Nakumbuka kuna kipindi kulijengwa frem mpya mahala, nikaona ile sehemu kwa jinsi ilivyochanganya nichukue frem, niliweka duka kama min market, kalikuwa kaduka kanavutia, binti wa kazi nae alikuwa anajituma.
Siku ya siku natumiwa picha whatsapp na kijana wa binti wa dukani kuna tundu kubwa sana limetobolewa ukutani pamoja na majirani wawili, duka limesafishwa lote wameacha viti.
Nakumbuka kuna kipindi kulijengwa frem mpya mahala, nikaona ile sehemu kwa jinsi ilivyochanganya nichukue frem, niliweka duka kama min market, kalikuwa kaduka kanavutia, binti wa kazi nae alikuwa anajituma.
Siku ya siku natumiwa picha whatsapp na kijana wa binti wa dukani kuna tundu kubwa sana limetobolewa ukutani pamoja na majirani wawili, duka limesafishwa lote wameacha viti.