Hahaha na wengi wanaliwa kuliko kula ๐Sio kama, Ndoa ni kamari ๐น๐น
Nitarudi mkuu ila sio kwa sasaMkuu acha uoga ingia vitani tena, wengi tuligonga miamba na tukarudi tena huo ndo wanaume alijari.
Tafuta 'low demanding woman' japo nao wana matatizo yao mengi sanaa ila kuna kua na unafu kuliko high demanding woman, tena jitahidi upate virgin girl asio kua na nasty past history.Nitarudi mkuu ila sio kwa sasa
Cc: Adamu wa Eden and Samson wa DelilaI will never get married, not even in a Dream - 50 Cent
โWomen are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.
Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I donโt want stories tomorrow.
How many women have you seen make men great?
Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.
Iโll have my kids, take care of them and move.
Hahaha sawa kiongozi ushauri mzuri huu.Tafuta 'low demanding woman' japo nao wana matatizo yao mengi sanaa ila kuna kua na unafu kuliko high demanding woman, tena jitahidi upate virgin girl asio kua na nasty past history.
Mkuu chukua huo ushauri mabikira wapo wengi, mimi nilipata moja baada ya kuteseka na makunguru sijutii tena angalau nina matumaini kwa huyu ntavuka sasa, sioni changamoto zake bado.Hahaha sawa kiongozi ushauri mzuri huu.
Shida ipo hasa pale inatokea baadhi wanaona kama ndio tiketi ya kuyapatia maisha.I will never get married, not even in a Dream - 50 Cent
โWomen are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.
Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I donโt want stories tomorrow.
How many women have you seen make men great?
Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.
Iโll have my kids, take care of them and move.
Yani ndio nimeshapata kibao kimoja hapa nipo chali nasoma uzi wko kijana,,askudanganye mtu ndo ni tamu ukipata mwanamke mwenye akili na anaejitambua ila ukijichagulia makurumbembe lazima nyota ya jiwe uioneI will never get married, not even in a Dream - 50 Cent
โWomen are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.
Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I donโt want stories tomorrow.
How many women have you seen make men great?
Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.
Iโll have my kids, take care of them and move.
Hahaha kwamba ndoa ni sawa na umeibetia Yanga kujaza uwanja bila mashabiki kutangaziwa kuna supu?Sio kama, Ndoa ni kamari ๐น๐น
Kwanini mkuu. Kwani mbususu daily hutaki?Huwezi kuwa na akili halafu ukaoa.
Lazima uwe lizezeta fulani ndo uishi na mtu kwenye gereza la milele.
Ndoa ni zaidi ya mbususu.Kwanini mkuu. Kwani mbususu daily hutaki?
Daah kafilisiwa na SHANGINGI๐๐๐Ndoa ni zaidi ya mbususu.
Tunajua mambo mabaya yaliyowakuta wanandoa ni zaidi ya MAJANGA.
Kuna dingi mmoja anavaa chupi kichwani siku hizi baada ya kufilisiwa na SHANGINGI.
Shangingi halina huruma limekomba majumba yote tena kupitia Mahakama.Daah kafilisiwa na SHANGINGI๐๐๐
mama ako akisoma hii comment lazima apate kiweweMtu sahihi ndiyo nani tena huyo ....kwanza ni upumbavu kupata mashauri kutoka kwa akili duni ya mwanamke
lakini mbususu si alipata?Ndoa ni zaidi ya mbususu.
Tunajua mambo mabaya yaliyowakuta wanandoa ni zaidi ya MAJANGA.
Kuna dingi mmoja anavaa chupi kichwani siku hizi baada ya kufilisiwa na SHANGINGI.
Mama mwenye viji akili upata kiwewe anapo msikia mtoto wake akisema mzazi ni mungu wa pili ...tatizo lenu nyinyi na wazazi wenu akili zenu zimepinduka zimekuwa anithi hivyo amuwezi kupambanua mambo ....mama mwenye akili angempongeza mwanaye kwa kutamka haya ninayo yatamka na kumshukuru mungu kwa kumpata mtoto sahihi siyo wale watoto wapumbavu wanaothani kuwa mzazi ni lazima hawe na akili kuliko mwanawe....mama ako akisoma hii comment lazima apate kiwewe
Ni sawa na kuibetia Simba kua ina kikosi makini, kumbe kikundi cha wahuni tu ๐๐๐Hahaha kwamba ndoa ni sawa na umeibetia Yanga kujaza uwanja bila mashabiki kutangaziwa kuna supu?
Hawa ni baadhi ya matajiri wasiotaka kabisa kusikia mambo ya kuoaI will never get married, not even in a Dream - 50 Cent
โWomen are never with you 100%, 90% of them are with you because of what they stand to gain reasons I will never get married.
Here before I kiss you, I even sign a form to show that you accepted it cus I donโt want stories tomorrow.
How many women have you seen make men great?
Many women even think a man without cash does not have a right to get horny.
Iโll have my kids, take care of them and move.
Kwa mara ya kwanza leo umeandika kitu cha maana.Tatizo black Americans na waafrika wengi ulaya walipaparika sana kuoa wazungu,mwisho wa siku ni kupigwa matukio na kufilisiwa.
Kataa ndoa wa bongo wengi walikurupuka kuoa tako na muonekano wa nje huku tabia akijipa moyo watarekebishana ndoani