Kwanini watu wanakataa Clam Vevo sio Bilionea?

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Jul 13, 2018
4,130
7,412
Mimi huwa nawashangaa sana , kuna vijana wanakunja mpunga huko Youtube tusiwachukulie poa. Mwaka uliopita Diamond kakunja zaidi ya bilion 6 youtube kwa nyimbo yake Diamond Platnumz earns over Sh6.8 billion on YouTube in 2024

Mitandao mbalimbali inaainisha Clam vevo kuwa miongoni mwa channel maarufu zaidi tanzania Top twenty

Estimation ya kipato chake lwa mwezi kulingana na CPM, ni dollar 14000 hadi dollar 44,0000
Kwa haraka haraka kipato chake kwa mwezi ni milion 37-mpaka .milion 100 sasa mtu kama huyo atakosaje bilion ?

NB watengeneza maudhui huko yutube tusiwachukulie poa hata kidogo kama google wanalipa Kwa CPM 1.9$ na mtu kwenye ka clip kamoja ana views 300k ndani ya siku chache tu hata wiki haipiti unadhani anakunja kiasi gani?

Ningekuwa najua kuigiza 🤣 ninhefungua channel leo

Screenshot_20250422-112545.png



Screenshot_20250422-112814.png
 
Mimi huwa nawashangaa sana , kuna vijana wanakunja mpunga huko Youtube tusiwachukulie poa. Mwaka uliopita Diamond kakunja zaidi ya bilion 6 youtube kwa nyimbo yake Diamond Platnumz earns over Sh6.8 billion on YouTube in 2024




Kwa haraka haraka kipato chake kwa mwezi ni milion 37-mpaka .milion 100 sasa mtu kama huyo atakosaje bilion ?

NB watengeneza maudhui huko yutube tusiwachukulie poa hata kidogo kama google wanalipa Kwa CPM 1.9$ na mtu kwenye ka clip kamoja ana views 300k ndani ya siku chache tu hata wiki haipiti unadhani anakunja kiasi gani?

Ningekuwa najua kuigiza 🤣 ninhefungua channel leo

View attachment 3311877


View attachment 3311878
Angekuwa na Tsh Bilioni 6 asingekuwa anahangaika na kununua magari used. Nenda kwa wenye hela huko Nigeria uone maisha wanayoishi.

Huyu Diamnond wenu hata mhawara aliowazalisha kutunza watoto tu mpaka wampeleke Mahakamani!! Huyo hafanani na Bilioni 6
 
Angekuwa na Tsh Bilioni 6 asingekuwa anahangaika na kununua magari used. Nenda kwa wenye hela huko Nigeria uone maisha wanayoishi.

Huyu Diamnond wenu hata mhawara aliowazalisha kutunza watoto tu mpaka wampeleke Mahakamani!! Huyo hafanani na Bilioni 6
Ninavyofikiria ni kua Chibu ana hela ya kawaida sio vile watu wanavyodhani....
anafanya bragging sana
 
Angekuwa na Tsh Bilioni 6 asingekuwa anahangaika na kununua magari used. Nenda kwa wenye hela huko Nigeria uone maisha wanayoishi.

Huyu Diamnond wenu hata mhawara aliowazalisha kutunza watoto tu mpaka wampeleke Mahakamani!! Huyo hafanani na Bilioni 6
acha kuchanganya mambo mkuu,kuwa na hela hakuhusiani na uwajibikaji kama huo unaousema hapa,,
 
Back
Top Bottom