Kwanini wananchi tuzuiliwe kwa saa mbili wakati msafara wa viongozi tunaowapisha haupo karibu?

engijape

Senior Member
Nov 8, 2014
181
100
Nipo natokea Arusha kuelekea mikoani. Tumesimama Minjingu kama Lisaa tukipisha Msafara na huo msafara mpaka sasa haujapita.

Busara zitumike kuona namna bora ya kusimamisha wananchi wanaosafori kiwahi majukumu mengine ya kitaifa.

Tunawheshimu viongozi wetu ila ni vyema taarifa ya msafara unapotolewa isitoleww kwa kuyazuia magari masaa mawili.

Hakuna sababu ya kufanya hivyo kwani sidhani pia kama ni amri ya viongozi wetu hao. Ni utaratibu unaoweza kuwekwa na polisi wetu.
 
Nipo natokea Arusha kuelekea mikoani. Tumesimama Minjingu kama Lisaa tukipisha Msafara na huo msafara mpaka sasa haujapita.

Busara zitumike kuona namna bora ya kusimamisha wananchi wanaosafori kiwahi majukumu mengine ya kitaifa.

Tunawheshimu viongozi wetu ila ni vyema taarifa ya msafara unapotolewa isitoleww kwa kuyazuia magari masaa mawili.

Hakuna sababu ya kufanya hivyo kwani sidhani pia kama ni amri ya viongozi wetu hao. Ni utaratibu unaoweza kuwekwa na polisi wetu.
sawa
 
Nipo natokea Arusha kuelekea mikoani. Tumesimama Minjingu kama Lisaa tukipisha Msafara na huo msafara mpaka sasa haujapita.

Busara zitumike kuona namna bora ya kusimamisha wananchi wanaosafori kiwahi majukumu mengine ya kitaifa.

Tunawheshimu viongozi wetu ila ni vyema taarifa ya msafara unapotolewa isitoleww kwa kuyazuia magari masaa mawili.

Hakuna sababu ya kufanya hivyo kwani sidhani pia kama ni amri ya viongozi wetu hao. Ni utaratibu unaoweza kuwekwa na polisi wetu.
Ni mambo ya kishamba sana, yalishaoigiwa kelele sana. Developing countries hawafanyi ujinga huu wa kusubirishana masaa eti kisa kiongoz
 
Wewe ndugu ni muongo sana. Nipo hapa Minjingu na Mzee Mpango alipita dakika 15 tu baada ya polisi kutuzuia. Acha uzandiki usio na maana. Unapata nini kuueleza umma uongo!?
 
Back
Top Bottom