Kwanini Wachaga na Wapare wanaogopwa na kubaguliwa?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
7,716
10,668
Mimi niwe muwazi tu Baba Mpare na Mama Mchaga na nimekulia Arusha hivyo pia ni Chuga boy-tough guys.

Nimefuatilia kwa miaka mingi sasa wachaga na wapare wanaogopwa sana kwenye uongozi. Nakumbuka wakati fulani mtu anakuja na kulalamika kwamba kuna professor wengi wachaga hiyo ilikuwa miaka ya 1990's pale UD.

Wahaya nao walikuwa hivyo lakini baada ya kushuka sana kiuchumi kwao na kwenye biashara sasa wahaya hawaogopwi tena. Yaani kila mali ukienda a una nyumba lakini ni kwasababu nyie ni wachaga.

Hata mimi kuna watu nikikutana nao na uchuga wangu na .5 ya uchaga wanafikiri ni mchaga wanasema umefanya hili au lile kwasababu ni mchaga! nawaambia mimi ni mpare wanasema ni haohao.

Je, niulize ni kitu gani kinafanya sisi kuogopeka kiasi kwamba kuna nafasi wachaga na wapare wananyimwa kwasababu ya makabila yao. Mfano inadaiwa Magufuli alikuwa anabagua waziwazi wizara ya fedha ambayo ilikuwa na wapare wengi na wachaga tena CPA waliletewe mizengwe mpaka wakaondoka

Niongezee tu ni bora wachague wanawake wa kichaga au kipare kuliko wanaume

Maswali

1. Je, sisi ni wezi na mafisadi sana kiasi ambacho tunaogopeka

2. Je, sisi ni wakabila na tunapendeleana sana

3. Je, ni uoga wa kufanikiwa tukipata fursa

4. Je, haya nayosema si kweli na ni fikra potofu

5. Ni 1, 2 na 3
 
Mimi niwe muwazi tu Baba Mpare na Mama Mchaga na nimekulia Arusha hivyo pia ni Chuga boy-tough guys.

Nimefuatilia kwa miaka mingi sasa wachaga na wapare wanaogopwa sana kwenye uongozi. Nakumbuka wakati fulani mtu anakuja na kulalamika kwamba kuna professor wengi wachaga hiyo ilikuwa miaka ya 1990's pale UD.

Wahaya nao walikuwa hivyo lakini baada ya kushuka sana kiuchumi kwao na kwenye biashara sasa wahaya hawaogopwi tena. Yaani kila mali ukienda a una nyumba lakini ni kwasababu nyie ni wachaga.

Hata mimi kuna watu nikikutana nao na uchuga wangu na .5 ya uchaga wanafikiri ni mchaga wanasema umefanya hili au lile kwasababu ni mchaga! nawaambia mimi ni mpare wanasema ni haohao.

Je, niulize ni kitu gani kinafanya sisi kuogopeka kiasi kwamba kuna nafasi wachaga na wapare wananyimwa kwasababu ya makabila yao. Mfano inadaiwa Magufuli alikuwa anabagua waziwazi wizara ya fedha ambayo ilikuwa na wapare wengi na wachaga tena CPA waliletewe mizengwe mpaka wakaondoka

Niongezee tu ni bora wachague wanawake wa kichaga au kipare kuliko wanaume

Maswali

1. Je, sisi ni wezi na mafisadi sana kiasi ambacho tunaogopeka

2. Je, sisi ni wakabila na tunapendeleana sana

3. Je, ni uoga wa kufanikiwa tukipata fursa

4. Je, haya nayosema si kweli na ni fikra potofu

5. Ni 1, 2 na 3
sidhani kama kuna mchaga halisi yeyote atakubali kuwekwa kundi moja na mpare. jaribu kutafuta kichwa cha habari kingine tafadhali. acha dharau kwa wachaga.n umeona wachaga tupoje hadi utuweke fungu moja na wapare? unatuonaje yaani?
 
Ni vile tu MUNGU ameamua awe upandee wa watu wa kaskazini na baada ya wao kujua MUNGU yupo upande wao hawakubwetekaa Bali walishukuru na kuingia front kupambania Hali Kwa Kila njia haijalishi n halali au n haramu Cha muhmu kwanza hyo pesa ikae hapo mfukoni 😄😄...
 
Ni vile tu MUNGU ameamua awe upandee wa watu wa kaskazini na baada ya wao kujua MUNGU yupo upande wao hawakubwetekaa Bali walishukuru na kuingia front kupambania Hali Kwa Kila njia haijalishi n halali au n haramu Cha muhmu kwanza hyo pesa ikae hapo mfukoni 😄😄...
mimi zaman nilikuwa na mawazo kama yako kwa sababu nilizaliwa kwenye mazingira yanayoaminisha hivyo. ila nilipoenda kusini nikakutana na wakinga, nilijicheka sana kuona nilifumbwa macho.
 
Ni vile tu MUNGU ameamua awe upandee wa watu wa kaskazini na baada ya wao kujua MUNGU yupo upande wao hawakubwetekaa Bali walishukuru na kuingia front kupambania Hali Kwa Kila njia haijalishi n halali au n haramu Cha muhmu kwanza hyo pesa ikae hapo mfukoni 😄😄...
mimi zaman nilikuwa na mawazo kama yako kwa sababu nilizaliwa kwenye mazingira yanayoaminisha hivyo. ila nilipoenda kusini nikakutana na wakinga, nilijicheka sana kuona nilifumbwa macho.
 
Nafikiri ile tamaduni ya wachaga (watu wa moshi) kutaka maendeleo kwa njia yoyote ikiwezekana kufanya uhalifu ikiwemo wizi au kuumiza wengine. Hii culture imeumiza wengine sana hivyo watu wanaona wachaga kama ni watu wabaya.
Mfano, umepata kazi ila kwa sababu utamaduni wenu ni kuhakikisha unamsogeza na mwenzio unajikuta kuna mtu mwenye sifa unamzuia hiyo inajenga chuki. Kingine ni wizi au nyie uwa mnaita ujanja hii kitu imechafua sana kabila la wachaga ukiona mali yoyote unatamani iwe yako hivyo unapigia hesabu ya kuchukua kwa namna yoyote.
By the way hata waasisi wa taifa waliweka mwiko tusijaribu kumpa urais mchaga ni mwiko ambao tukiuvunja hii Tanzania inaenda kuingia kwenye vurugu na unrest.
Mfano kuna wakati wa waziri silaha anafatilia migogoro ya ardhi 90% ya wanaolalamikiwa kufanya dhulma ni wachaga sasa utataka uone nini kusema awa watu hapana, ukinunua kiwanja na jirani akawa mchaga lazima akimege na mnaanza kesi ndio maana wengine mwiko kuolewa uchagani sababu inawezekana experience mbaya inawatisha mpk wazee
 
sidhani kama kuna mchaga halisi yeyote atakubali kuwekwa kundi moja na mpare. jaribu kutafuta kichwa cha habari kingine tafadhali. acha dharau kwa wachaga.n umeona wachaga tupoje hadi utuweke fungu moja na wapare? unatuonaje yaani?

Wachaga wanashindana hata na wachaga wenzao mara mhuru, wamarangu, wamachame.......... Mimi hapa nimeweka kwa muonekano wa watu wengine. Kwa Wanzania wa kawaida ukiwa Mpare na Mchaga kwao ni kitu kimoja tofauti ni idadi tu.

Si kweli kujaribu kuwashusha wapare sio waongeaji lakini wana mafanikio sana. Tofauti ni kwamba wapare wengi watu hawajui kama ni wapare
 
Nafikiri hapo jibu ni
1. Ukabila
2. Kujiona Bora kuliko wengine. (Wateule)
3. Kujipendelea

Hali hiyo inapungua kwa Sasa
3. Kama ni kujipendekeza wangekuwa chawa kila mahali. Ila watu wa pwani ndio wana hizo mambo za kujipendekeza mpaka kwa viongoz au mtu mwenye hela

Sisemi ni perfect , ila kabila lisilo na wavivu, kujituma. Hawafanyi makosa na fursa
 
Mimi niwe muwazi tu Baba Mpare na Mama Mchaga na nimekulia Arusha hivyo pia ni Chuga boy-tough guys.

Nimefuatilia kwa miaka mingi sasa wachaga na wapare wanaogopwa sana kwenye uongozi. Nakumbuka wakati fulani mtu anakuja na kulalamika kwamba kuna professor wengi wachaga hiyo ilikuwa miaka ya 1990's pale UD.

Wahaya nao walikuwa hivyo lakini baada ya kushuka sana kiuchumi kwao na kwenye biashara sasa wahaya hawaogopwi tena. Yaani kila mali ukienda a una nyumba lakini ni kwasababu nyie ni wachaga.

Hata mimi kuna watu nikikutana nao na uchuga wangu na .5 ya uchaga wanafikiri ni mchaga wanasema umefanya hili au lile kwasababu ni mchaga! nawaambia mimi ni mpare wanasema ni haohao.

Je, niulize ni kitu gani kinafanya sisi kuogopeka kiasi kwamba kuna nafasi wachaga na wapare wananyimwa kwasababu ya makabila yao. Mfano inadaiwa Magufuli alikuwa anabagua waziwazi wizara ya fedha ambayo ilikuwa na wapare wengi na wachaga tena CPA waliletewe mizengwe mpaka wakaondoka

Niongezee tu ni bora wachague wanawake wa kichaga au kipare kuliko wanaume

Maswali

1. Je, sisi ni wezi na mafisadi sana kiasi ambacho tunaogopeka

2. Je, sisi ni wakabila na tunapendeleana sana

3. Je, ni uoga wa kufanikiwa tukipata fursa

4. Je, haya nayosema si kweli na ni fikra potofu

5. Ni 1, 2 na 3
Hawaogopwi wala kubaguliwa wala kuchukiwa. Wana tabia mbaya, ubahiri, ukabila, ubinafsi, wizi, umalaya wa ndugu kwa ndugu na uchoyo kati ya mengi waliyo nayo. Hivyo, wanavuna walichopanda mwanangu. Ukisoma nyuzi nyingi humu juu yao, zinaonyesha hayo maovu hapo juu
 
Wachaga wanashindana hata na wachaga wenzao mara mhuru, wamarangu, wamachame.......... Mimi hapa nimeweka kwa muonekano wa watu wengine. Kwa Wanzania wa kawaida ukiwa Mpare na Mchaga kwao ni kitu kimoja tofauti ni idadi tu.

Si kweli kujaribu kuwashusha wapare sio waongeaji lakini wana mafanikio sana. Tofauti ni kwamba wapare wengi watu hawajui kama ni wapare
mtu yeyote mgani kwako utakuwa na mashaka naye, mchaga hawezi kuamini asiye mchaga, na asiye mchaga hawezi kuamini mchaga. muha,mkinga, mbena, muwanji, umewaweka kundi gani? pia wachaga wanaangaliwa kwa jicho la tofauti kwa sababu ya ukabila na kupenda pesa kuliko chochote. mpare ubahili na uchawi, kule milimani sijui wana mashamba ya uchawi?
 
hakuna mchaga aliyefanikiwa kwenye biashara bila uchawi. nakuhakikishia, labda awe mtu wa Mungu, ila hawa ndugu zetu hawa, ninawajua na ninajua ninachoongea.
Bac kilaa mtu anawajua watu kulingana na walivyokutana nakuishii ,mm wakingaa hapana 🙏 n nooma Kwa ndumba,wachaga wengi janja janja na akili mingi mjini na ppt walipo,japo cjakataa hawapo ambao c walonzi mkuu wanguu😅😅
 
Back
Top Bottom