"Kwanini ulinizaa?" Unafikiri ni swali sahihi kwa mtoto kumuuliza mzazi hilo swali?

KENZY

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
32,232
75,821
Habari wakuu, Natumai mu heri na buheri wa afya ya mwili sambamba na akili.

Mkihusika na kichwa cha mada hapo juu isemayao..

"Kwanini ulinizaa?"

Unafikiri ni swali sahihi kwa mtoto kumuuliza mzazi hilo swali??

Ikiwa mtoto ama binadamu sote hatupati nafasi ya kuuliza kwanini tunazaliwa au kwanini tupo hapa duniani, je usahihi wa hilo swali kwenda kwa mzazi ni upi..?

Nikitazama kizazi kilichopo hivi sasa kinakuwa kimaarifa na utafakari, hivyo mzazi kuulizwa hili swali na mtoto nafikiri ni kawaida ila linaweza kuibua hisia au fikra tofauti ama kwa mzazi au mtoto!.
katika nyanja za kisheria zinasemaje kuhusu hili swali, je ni kweli mzazi analazimika kutoa majibu juu ya hilo swali..? na vipi mtoto anayo hiyo haki ya kuuliza hilo swali..?

Binafsi kutokana na kuwa hatuna machaguzi toka tulivyofanyika (alietuumba), sidhani kama ni swali sahihi sana kwa mzazi kuulizwa hilo swali!, isipokuwa mzazi analazimika zaidi kuhakikisha mtoto aliemzaa anapatiwa mahitaji yake vile inavyotakiwa!.

hili ni swali ambalo kwa wengine wanaweza kulitazama kama swali la kipuuzi lkn nafikiri kama halijatungiwa sheria basi huenda huko mbeleni likatungiwa!, kwasababu linaweza kuja kuketa tafrani huko baadae ktk kuta za mahakama!.

Hii inanifanya niwaze na kuwazua juu ya nature ya kwamba je, nayo inahili swali "kwanini..?"
sasa hii ni hoja kwenye hoja! kwa maana hii..

swali kwanini isijekuwa ni man idea lakini kwenye nature ikawa halipo hilo swali!, yani yenyewe inajifanyia inavyohitaji bila kuwa na swali la kwanini ama kwa misingi ipi, na aidha ndio maana nasi tunafuata njia hiyohiyo!.

So, mwanajamii forum nini mawazo, maoni na fikra zako juu ya hizi hoja mbili?
 
Hakuna kiumbe yeyote yule au binadamu yeyote yule aliyetaka kuzaliwa kwenye hii dunia.

Wote tumeshtukia tu tayari tumeshazaliwa duniani pasipo maamuzi na matakwa yetu.

Mtoto anaweza kumuuliza mzazi kwa nini alimzaa? Akifikiri kwamba wazazi ndio walipanga kumzaa yeye. Kumbe wazazi waliplan tu kuwa na kiumbe(mtoto) kwa kuzaliana tu.

Na katika process ya utungwaji mimba kiumbe hutokea automatically pasipo hicho kiumbe kujijua kwamba ndio kinaenda kuzaliwa.

Mtoto akikuuliza kwa nini ulimzaa, Na wewe mzazi muulize huyo mtoto..👇

Kwa nini alifanyika mimba hadi akazaliwa?

Kwa nini alikimbia kwenye Ovari wa kwanza kwenda kutungwa mimba?

Kwa nini hakubaki sperm, atulie zake huko alikokuwa?
 
Linaweza kuwa swali sahihi ikiwa mtoto anamuuliza mzazi in a friendly manner kwa nia ya kutaka kujua asili yake. Mf,
Mama hivi kwa nini ulinizaa? Je ulitamani kupata mtoto kama mimi, na wa jinsia yangu? Kuzaliwa kwangu kulikuwaje? Je mimba yangu ilikusumbua?
Si sahihi pale anapokuuliza kivita, kwa nini ulinizaa, hapo ndio inabidi na weww uingie vitani😂😂😂
 
Hakuna kiumbe yeyote yule au binadamu yeyote yule aliyetaka kuzaliwa kwenye hii dunia.

Wote tumeshtukia tu tayari tumeshazaliwa duniani pasipo maamuzi na matakwa yetu.

Mtoto anaweza kumuuliza mzazi kwa nini alimzaa? Akifikiri kwamba wazazi ndio walipanga kumzaa yeye. Kumbe wazazi waliplan tu kuwa na kiumbe(mtoto) kwa kuzaliana tu.

Na katika process ya utungwaji mimba kiumbe hutokea automatically pasipo hicho kiumbe kujijua kwamba ndio kinaenda kuzaliwa.

Mtoto akikuuliza kwa nini ulimzaa, Na wewe mzazi muulize huyo mtoto..👇

Kwa nini alifanyika mimba hadi akazaliwa?

Kwa nini alikimbia kwenye Ovari wa kwanza kwenda kutungwa mimba?

Kwa nini hakubaki sperm, atulie zake huko alikokuwa?
lakini wazazi wanajua wanachokifanya na wao ndo wanaamua, kwa hili unafikiri haitoshi wao kuhojiwa..?
 
Linaweza kuwa swali sahihi ikiwa mtoto anamuuliza mzazi in a friendly manner kwa nia ya kutaka kujua asili yake. Mf,
Mama hivi kwa nini ulinizaa? Je ulitamani kupata mtoto kama mimi, na wa jinsia yangu? Kuzaliwa kwangu kulikuwaje? Je mimba yangu ilikusumbua?
Si sahihi pale anapokuuliza kivita, kwa nini ulinizaa, hapo ndio inabidi na weww uingie vitani😂😂😂
kwanini uingie vitani, mbona wakati unamtafuta hukuingia vitani
 
Namjibu ni kiherehere chako kukimbilia kwenye mji wa mimba mimi nilikua kwenye starehe zangu na mamaako ,umetutia gharama sana mbwa wewe
 
Mimi ninalo jibu la kumpa binti yangu kama akiniuliza kwasababu nili mpa mimba mama yake kwa Marengo fulani
 
Hakuna kiumbe yeyote yule au binadamu yeyote yule aliyetaka kuzaliwa kwenye hii dunia.

Wote tumeshtukia tu tayari tumeshazaliwa duniani pasipo maamuzi na matakwa yetu.

Mtoto anaweza kumuuliza mzazi kwa nini alimzaa? Akifikiri kwamba wazazi ndio walipanga kumzaa yeye. Kumbe wazazi waliplan tu kuwa na kiumbe(mtoto) kwa kuzaliana tu.

Na katika process ya utungwaji mimba kiumbe hutokea automatically pasipo hicho kiumbe kujijua kwamba ndio kinaenda kuzaliwa.

Mtoto akikuuliza kwa nini ulimzaa, Na wewe mzazi muulize huyo mtoto..👇

Kwa nini alifanyika mimba hadi akazaliwa?

Kwa nini alikimbia kwenye Ovari wa kwanza kwenda kutungwa mimba?

Kwa nini hakubaki sperm, atulie zake huko alikokuwa?
Lakini mkuu inategemea na mtoto anakuuliza katika mazingira gani,ya ugomvi au good moment? Pia umri wake, inawezekana unakuwa kwanza umezaa genius, kama linaweza kusoma unalitafutia article lijisomee, unaliambia likimaliza likuelezee, halafu na wewe unalipa sababu specific.

Ila wengi hilo swali hujibiwa kwa jazba ikibidi na mkong'onto.

Ikiwa mtoto ni mkubwa kidogo huwenda akawa pia anawaza magumu ya ulimwengu labda kwa mfano katika dini kafundishwa habari za jehanum, anakuwa na hofu.
 
Inategemeana na MUKTADHA wa swali

Ikiwa mzazi labda hampendi wala kumtendea mtoto yampasayo....... mtoto anaweza kumuuliza mzazi hivyo
Akimaanisha kama ulikua uhitaji mtoto kwanini mlinizaa na kunitendea sivyo?.........then mzazi atakua na majibu labda hatukutarajia mimba au unatabia mbovu ndio maana

Lakini kuuliza kwa muktadha unao umaanisha wewe inakua sio sahihi
Existing ya kiumbe chochote kile ni kuzaliana
Bila muendelezo wa kuzaliana viumbe vitafutika kwenye uso wa dunia

So sababu ya msingi ya kuzaliana ni ili watu tuendelee kuwepo Duniani
 
lakini wazazi wanajua wanachokifanya na wao ndo wanaamua, kwa hili unafikiri haitoshi wao kuhojiwa..?
Wewe mwanao ni Mussa, je ulipokuwa unafanya mapenzi mupate mtoto mli-plan aje Mussa au uyo Mussa kaja yeye mwenyewe kwa shobo zake yaani sisi tulitaka mtoto lakini sio wewe Mussa kwanini Mussa umejileta wewe.
 
Back
Top Bottom