Ha ha ha yaani hadi nashangaa aiseewako kama mitungi ya gas (oryx)
Mwanaume mzima unapata wapi muda wakuwaza haya??Kwema wakuu
Naombeni msinishambulie najiuliza wanawake mbona wengi wao ni wafupi sana.. yaani unakuta anakufika kifuani au tumboni kabisa hii imekaaje ... kuna factors zozote za kisayansi?
Misinishambulie please
😀😀Duh aiseewatu wa njombe hao mkuu wapo kama ndoo ya maji
Au ukute ni kafupi halafu kanene,utasema ni tairi ya Bajajwako kama mitungi ya gas (oryx)
Sio wafupi bali ni warefu kwenda chini.. Zamani kulikuwa na mbegu ya mahindi inaitwa katumani ilikuwa inazaa sana.. Ila tatizo kimoKwema wakuu
Naombeni msinishambulie najiuliza wanawake mbona wengi wao ni wafupi sana.. yaani unakuta anakufika kifuani au tumboni kabisa hii imekaaje ... kuna factors zozote za kisayansi?
Misinishambulie please
Uzi ufungwe 🧡Kikubwa mwanamke awe na papuchi hayo mengine hayana maana kwangu.
Sina uwezo wa kuumba mtu mimi.
Kama fire extinguisher za kwenye daladala. Just kidding 😃😃wako kama mitungi ya gas (oryx)
Kwema wakuu
Naombeni msinishambulie najiuliza wanawake mbona wengi wao ni wafupi sana.. yaani unakuta anakufika kifuani au tumboni kabisa hii imekaaje ... kuna factors zozote za kisayansi?
Misinishambulie please