Kwanini Saudia ni kibaraka wa Marekani?

Jackwillpower

JF-Expert Member
Oct 4, 2017
2,467
3,689
Mgeni rasmi Trump katika nchi ya mtume Muhamad s.a.w.

1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496

Katika mashariki ya kati kibaraka mkuu wa USA ni Saudia Arabia, ni kibaraka mtiifu sana na mnafiki mkubwa katika mataifa ya Kiarabu. Huyo ndo alichochea sana USA kumvamia Sadam Hussein, na ndiye anashiriki propoganda za kumtoa Bashar al Sadri wa Syria, na ndiye ameivamia Yemen ila alikutana na kichapo cha wa Houth wanaofadhiriwa na Iran ikabidi aombe msaada kwa bwana wake yaani USA ndo akafanikiwa kuwarudisha nyuma. Ila kwa uchungu kasambaza kemikali uko Yemen ambazo zimesababisha magonjwa mabaya sana kwa Wayemen.

Na sasa(Saudia) ame sign mkataba wa dollar bilioni 100 na USA kwajili ya silaha za kijeshi, ni pesa nyingi sana ni kama Trilioni 250 za Tz, yaani ni budget ya miaka 8 na nusu ya Tanzania na ni budget ya miaka 125 ya Rwanda. Na ktk maongezi Saudia ameingiza chokochoko kuhusu Iran, maana anataka sana Iran ivamiwe na USA ili yeye abakie mwenye nguvu katika Waarabu.

Story kwa ufupi kuhusu Saudia Arabia

Nchi hiyo zama hizo iliitwa Araba yaani jangwa kwa Kiebrania, na neno Araba ndio chimbuko la jina Arabu au waarabu, na jina ilo yaani Araba likabeba jina la Arabuni, ila wakazi wa uko katika zama za mbele waliita Hijjaz yaani kizuizi maana ilikuwa nchi ya upweke sana kwasababu ya jangwa lake kali na jua kali sana. Uko waliishi sana Bedui ambao ndio waliomfundisha Muhamad vita na mashairi. Arabuni ilikuwa ni eneo lisilokuwa na watu wengi, ata leo Saudia ina wakazi milioni 31 kwa sensa ya 2015, ndo maana dolla za Kislam baada ya Ukalifa wa Rashidun(Abubakar, Umar, Uthuman, na Ally) warithi wao yaani Ummayid kaliphate walihamisha makao makuu madina kwenda Syria(Sham) na baada yao makao makuu yakahamia Iraq ktk zama za ukalifa wa Abbasid. Maana Sham na Iraq ndo kulikuwa na wakazi wengi sana.

Kwanini leo Arabuni(Hijjaz) inaitwa Saudi Arabia?

Kuna story ndefu hapo ila kifupi Arabuni ilishatawaliwa sana na dolla mbalimbali kiasi cha jiwe jeusi kuibiwa, baada ya dola nyingi kuitawala Arabuni mwisho iliangukia katika dola ya Ottoman ambayo iliitawala Arabuni mda mrefu na ku control msikiti wa Makka, baada ya dola ya Ottoman kuangushwa na British Empire mwaka 1914-1918 ktk vita ya kwanza, Uingereza ilitawala maeneo yote ya Ottoman, ndipo mwaka 1924-1925 Ibn Saudi akajitangaza mfalme wa Arabuni kwa msaada wa Muingereza, ila hakutawala eneo lote, mwaka 1932 ndipo akawa mfalme wa Arabuni yote baada ya dola ya Nejd kuungana naye, ndipo Arabuni ikaitwa Saudi Arabia. Kwaiyo Waislam wanavyodai kuwa Israel si Taifa bali jina la mtu, basi ata Saudia ni jina la mtu. Ukoo wa Ibn Saudi ni wa kitambo, huu ukoo uliungana na ukoo wa Abdul Wahab katika Karne ya 18 na kuunda ka dola kadogo kalikoitwa Saud Kingdom ila baadae kalisambaratishwa na Ottoman. Abdul Wahhab ndio mwanzilishi wa dhehebu la Wahhabist, dhehebu lenye msimamo mkali sana wa kissun, na baguzi kwa madhebu yote ya Kislam wakiwemo sunn wasio wahhabist, inasemekana magaid karibu wote wanatokea dhehebu ili. Abdul wahab inasadikiwa kuwa ana asili ya Kiyahud. Maana Wayahud ndio walikuwa wana control uchumi wa Arabuni hata zama za Muhamad, na Muhamad alivyowashinda aliwafukuza na kupora mali zao. Mji wa Medina na Khaybar ilikuwa ni miji ya Kiyahud ambayo ilikuwa na utajiri mkubwa, kwaiyo inasemekana masalio yao yapo mpk leo ambao waliamini katika Uislam na miongoni mwao ni Abdul Wahab, na ukoo huu na ukoo wa Ibn Saud ndo koo ambazo zimeshika uchumi wa Saudia na utawala.

Muhamad aliwafukuza Wayahudi na Wakristo katika Rasi ya Arabuni na kukataza kufanya nao Urafiki kama hadithi hii inavyoshuhudia:-

1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496

Na Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Ukirejea aya hiyo na hadithi hiyo utapata majibu kuwa Waislam wamepigwa marufuku kufanya urafiki nasi na wako tayari kuwafukuza Wakristo na Wayahud ktk eneo lolote wanalolimiliki, ndio maana ktk nchi za Waislam hakuna makanisa hasa Saudia na ata wakiwa ktk nchi za Wakristo watakomaa tu kuingiza sharia zao. Swali la kujihoji, leo ktk nchi ya Muhamad, yaani Arabuni wamevunja aya hiyo kwa kufanya urafiki na Wakristo na Wayahudi kiasi cha kuwapa eneo la kijeshi katika rasi ya Saudia na kufanya ushirika kwa mengi sana. Je Uislam umeshajifia au unaenda kujifia kabisa?

Uchambuzi wa dhehebu la Wahabist uko jikoni.
 
Mgeni rasmi Trump katika nchi ya mtume Muhamad s.a.w.

1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496

Katika mashariki ya kati kibaraka mkuu wa USA ni Saudia Arabia, ni kibaraka mtiifu sana na mnafiki mkubwa katika mataifa ya Kiarabu. Huyo ndo alichochea sana USA kumvamia Sadam Hussein, na ndiye anashiriki propoganda za kumtoa Bashar al Sadri wa Syria, na ndiye ameivamia Yemen ila alikutana na kichapo cha wa Houth wanaofadhiriwa na Iran ikabidi aombe msaada kwa bwana wake yaani USA ndo akafanikiwa kuwarudisha nyuma. Ila kwa uchungu kasambaza kemikali uko Yemen ambazo zimesababisha magonjwa mabaya sana kwa Wayemen.

Na sasa(Saudia) ame sign mkataba wa dollar bilioni 100 na USA kwajili ya silaha za kijeshi, ni pesa nyingi sana ni kama Trilioni 250 za Tz, yaani ni budget ya miaka 8 na nusu ya Tanzania na ni budget ya miaka 125 ya Rwanda. Na ktk maongezi Saudia ameingiza chokochoko kuhusu Iran, maana anataka sana Iran ivamiwe na USA ili yeye abakie mwenye nguvu katika Waarabu.

Story kwa ufupi kuhusu Saudia Arabia

Nchi hiyo zama hizo iliitwa Araba yaani jangwa kwa Kiebrania, na neno Araba ndio chimbuko la jina Arabu au waarabu, na jina ilo yaani Araba likabeba jina la Arabuni, ila wakazi wa uko katika zama za mbele waliita Hijjaz yaani kizuizi maana ilikuwa nchi ya upweke sana kwasababu ya jangwa lake kali na jua kali sana. Uko waliishi sana Bedui ambao ndio waliomfundisha Muhamad vita na mashairi. Arabuni ilikuwa ni eneo lisilokuwa na watu wengi, ata leo Saudia ina wakazi milioni 31 kwa sensa ya 2015, ndo maana dolla za Kislam baada ya Ukalifa wa Rashidun(Abubakar, Umar, Uthuman, na Ally) warithi wao yaani Ummayid kaliphate walihamisha makao makuu madina kwenda Syria(Sham) na baada yao makao makuu yakahamia Iraq ktk zama za ukalifa wa Abbasid. Maana Sham na Iraq ndo kulikuwa na wakazi wengi sana.

Kwanini leo Arabuni(Hijjaz) inaitwa Saudi Arabia?

Kuna story ndefu hapo ila kifupi Arabuni ilishatawaliwa sana na dolla mbalimbali kiasi cha jiwe jeusi kuibiwa, baada ya dola nyingi kuitawala Arabuni mwisho iliangukia katika dola ya Ottoman ambayo iliitawala Arabuni mda mrefu na ku control msikiti wa Makka, baada ya dola ya Ottoman kuangushwa na British Empire mwaka 1914-1918 ktk vita ya kwanza, Uingereza ilitawala maeneo yote ya Ottoman, ndipo mwaka 1924-1925 Ibn Saudi akajitangaza mfalme wa Arabuni kwa msaada wa Muingereza, ila hakutawala eneo lote, mwaka 1932 ndipo akawa mfalme wa Arabuni yote baada ya dola ya Nejd kuungana naye, ndipo Arabuni ikaitwa Saudi Arabia. Kwaiyo Waislam wanavyodai kuwa Israel si Taifa bali jina la mtu, basi ata Saudia ni jina la mtu. Ukoo wa Ibn Saudi ni wa kitambo, huu ukoo uliungana na ukoo wa Abdul Wahab katika Karne ya 18 na kuunda ka dola kadogo kalikoitwa Saud Kingdom ila baadae kalisambaratishwa na Ottoman. Abdul Wahhab ndio mwanzilishi wa dhehebu la Wahhabist, dhehebu lenye msimamo mkali sana wa kissun, na baguzi kwa madhebu yote ya Kislam wakiwemo sunn wasio wahhabist, inasemekana magaid karibu wote wanatokea dhehebu ili. Abdul wahab inasadikiwa kuwa ana asili ya Kiyahud. Maana Wayahud ndio walikuwa wana control uchumi wa Arabuni hata zama za Muhamad, na Muhamad alivyowashinda aliwafukuza na kupora mali zao. Mji wa Medina na Khaybar ilikuwa ni miji ya Kiyahud ambayo ilikuwa na utajiri mkubwa, kwaiyo inasemekana masalio yao yapo mpk leo ambao waliamini katika Uislam na miongoni mwao ni Abdul Wahab, na ukoo huu na ukoo wa Ibn Saud ndo koo ambazo zimeshika uchumi wa Saudia na utawala.

Muhamad aliwafukuza Wayahudi na Wakristo katika Rasi ya Arabuni na kukataza kufanya nao Urafiki kama hadithi hii inavyoshuhudia:-

1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496

Na Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Ukirejea aya hiyo na hadithi hiyo utapata majibu kuwa Waislam wamepigwa marufuku kufanya urafiki nasi na wako tayari kuwafukuza Wakristo na Wayahud ktk eneo lolote wanalolimiliki, ndio maana ktk nchi za Waislam hakuna makanisa hasa Saudia na ata wakiwa ktk nchi za Wakristo watakomaa tu kuingiza sharia zao. Swali la kujihoji, leo ktk nchi ya Muhamad, yaani Arabuni wamevunja aya hiyo kwa kufanya urafiki na Wakristo na Wayahudi kiasi cha kuwapa eneo la kijeshi katika rasi ya Saudia na kufanya ushirika kwa mengi sana. Je Uislam umeshajifia au unaenda kujifia kabisa?

Uchambuzi wa dhehebu la Wahabist uko jikoni.
Badala uandike mambo ya nchi yako unakuja kuandika mambo ya nchi ya watu? We kwl huna kazi ya kufanya
 
Mgeni rasmi Trump katika nchi ya mtume Muhamad s.a.w.

1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496

Katika mashariki ya kati kibaraka mkuu wa USA ni Saudia Arabia, ni kibaraka mtiifu sana na mnafiki mkubwa katika mataifa ya Kiarabu. Huyo ndo alichochea sana USA kumvamia Sadam Hussein, na ndiye anashiriki propoganda za kumtoa Bashar al Sadri wa Syria, na ndiye ameivamia Yemen ila alikutana na kichapo cha wa Houth wanaofadhiriwa na Iran ikabidi aombe msaada kwa bwana wake yaani USA ndo akafanikiwa kuwarudisha nyuma. Ila kwa uchungu kasambaza kemikali uko Yemen ambazo zimesababisha magonjwa mabaya sana kwa Wayemen.

Na sasa(Saudia) ame sign mkataba wa dollar bilioni 100 na USA kwajili ya silaha za kijeshi, ni pesa nyingi sana ni kama Trilioni 250 za Tz, yaani ni budget ya miaka 8 na nusu ya Tanzania na ni budget ya miaka 125 ya Rwanda. Na ktk maongezi Saudia ameingiza chokochoko kuhusu Iran, maana anataka sana Iran ivamiwe na USA ili yeye abakie mwenye nguvu katika Waarabu.

Story kwa ufupi kuhusu Saudia Arabia

Nchi hiyo zama hizo iliitwa Araba yaani jangwa kwa Kiebrania, na neno Araba ndio chimbuko la jina Arabu au waarabu, na jina ilo yaani Araba likabeba jina la Arabuni, ila wakazi wa uko katika zama za mbele waliita Hijjaz yaani kizuizi maana ilikuwa nchi ya upweke sana kwasababu ya jangwa lake kali na jua kali sana. Uko waliishi sana Bedui ambao ndio waliomfundisha Muhamad vita na mashairi. Arabuni ilikuwa ni eneo lisilokuwa na watu wengi, ata leo Saudia ina wakazi milioni 31 kwa sensa ya 2015, ndo maana dolla za Kislam baada ya Ukalifa wa Rashidun(Abubakar, Umar, Uthuman, na Ally) warithi wao yaani Ummayid kaliphate walihamisha makao makuu madina kwenda Syria(Sham) na baada yao makao makuu yakahamia Iraq ktk zama za ukalifa wa Abbasid. Maana Sham na Iraq ndo kulikuwa na wakazi wengi sana.

Kwanini leo Arabuni(Hijjaz) inaitwa Saudi Arabia?

Kuna story ndefu hapo ila kifupi Arabuni ilishatawaliwa sana na dolla mbalimbali kiasi cha jiwe jeusi kuibiwa, baada ya dola nyingi kuitawala Arabuni mwisho iliangukia katika dola ya Ottoman ambayo iliitawala Arabuni mda mrefu na ku control msikiti wa Makka, baada ya dola ya Ottoman kuangushwa na British Empire mwaka 1914-1918 ktk vita ya kwanza, Uingereza ilitawala maeneo yote ya Ottoman, ndipo mwaka 1924-1925 Ibn Saudi akajitangaza mfalme wa Arabuni kwa msaada wa Muingereza, ila hakutawala eneo lote, mwaka 1932 ndipo akawa mfalme wa Arabuni yote baada ya dola ya Nejd kuungana naye, ndipo Arabuni ikaitwa Saudi Arabia. Kwaiyo Waislam wanavyodai kuwa Israel si Taifa bali jina la mtu, basi ata Saudia ni jina la mtu. Ukoo wa Ibn Saudi ni wa kitambo, huu ukoo uliungana na ukoo wa Abdul Wahab katika Karne ya 18 na kuunda ka dola kadogo kalikoitwa Saud Kingdom ila baadae kalisambaratishwa na Ottoman. Abdul Wahhab ndio mwanzilishi wa dhehebu la Wahhabist, dhehebu lenye msimamo mkali sana wa kissun, na baguzi kwa madhebu yote ya Kislam wakiwemo sunn wasio wahhabist, inasemekana magaid karibu wote wanatokea dhehebu ili. Abdul wahab inasadikiwa kuwa ana asili ya Kiyahud. Maana Wayahud ndio walikuwa wana control uchumi wa Arabuni hata zama za Muhamad, na Muhamad alivyowashinda aliwafukuza na kupora mali zao. Mji wa Medina na Khaybar ilikuwa ni miji ya Kiyahud ambayo ilikuwa na utajiri mkubwa, kwaiyo inasemekana masalio yao yapo mpk leo ambao waliamini katika Uislam na miongoni mwao ni Abdul Wahab, na ukoo huu na ukoo wa Ibn Saud ndo koo ambazo zimeshika uchumi wa Saudia na utawala.

Muhamad aliwafukuza Wayahudi na Wakristo katika Rasi ya Arabuni na kukataza kufanya nao Urafiki kama hadithi hii inavyoshuhudia:-

1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496

Na Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Ukirejea aya hiyo na hadithi hiyo utapata majibu kuwa Waislam wamepigwa marufuku kufanya urafiki nasi na wako tayari kuwafukuza Wakristo na Wayahud ktk eneo lolote wanalolimiliki, ndio maana ktk nchi za Waislam hakuna makanisa hasa Saudia na ata wakiwa ktk nchi za Wakristo watakomaa tu kuingiza sharia zao. Swali la kujihoji, leo ktk nchi ya Muhamad, yaani Arabuni wamevunja aya hiyo kwa kufanya urafiki na Wakristo na Wayahudi kiasi cha kuwapa eneo la kijeshi katika rasi ya Saudia na kufanya ushirika kwa mengi sana. Je Uislam umeshajifia au unaenda kujifia kabisa?

Uchambuzi wa dhehebu la Wahabist uko jikoni.
mleta mada wenzako sikuhizi wanasoma wanatafakali mambo wanapambania issues hawako kwenye tamaduni zilizo wapumbaza kwamba hawatakiwi kusoma elimu Dunia sasa kachimbue vitabu ujue Mohamed alikuwa nani na alikuwa na ufahamu gani ndo utapata jibu la maswali yako
 
Nasoma hiyo kitu ,aisee Roman empire hapana kwakweli 🙌 🙌 wamenishinda

Nenda kasome kitu kimoja kuhusu uhusihano wa Fatima kule URENO ,wakatoliki Wanapoenda KUHIJI na Fatima katika uislamu

Dini ni mchezo mmoja hatari sana
Fatima katika uislam ni nini?
 
Mgeni rasmi Trump katika nchi ya mtume Muhamad s.a.w.

1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496

Katika mashariki ya kati kibaraka mkuu wa USA ni Saudia Arabia, ni kibaraka mtiifu sana na mnafiki mkubwa katika mataifa ya Kiarabu. Huyo ndo alichochea sana USA kumvamia Sadam Hussein, na ndiye anashiriki propoganda za kumtoa Bashar al Sadri wa Syria, na ndiye ameivamia Yemen ila alikutana na kichapo cha wa Houth wanaofadhiriwa na Iran ikabidi aombe msaada kwa bwana wake yaani USA ndo akafanikiwa kuwarudisha nyuma. Ila kwa uchungu kasambaza kemikali uko Yemen ambazo zimesababisha magonjwa mabaya sana kwa Wayemen.

Na sasa(Saudia) ame sign mkataba wa dollar bilioni 100 na USA kwajili ya silaha za kijeshi, ni pesa nyingi sana ni kama Trilioni 250 za Tz, yaani ni budget ya miaka 8 na nusu ya Tanzania na ni budget ya miaka 125 ya Rwanda. Na ktk maongezi Saudia ameingiza chokochoko kuhusu Iran, maana anataka sana Iran ivamiwe na USA ili yeye abakie mwenye nguvu katika Waarabu.

Story kwa ufupi kuhusu Saudia Arabia

Nchi hiyo zama hizo iliitwa Araba yaani jangwa kwa Kiebrania, na neno Araba ndio chimbuko la jina Arabu au waarabu, na jina ilo yaani Araba likabeba jina la Arabuni, ila wakazi wa uko katika zama za mbele waliita Hijjaz yaani kizuizi maana ilikuwa nchi ya upweke sana kwasababu ya jangwa lake kali na jua kali sana. Uko waliishi sana Bedui ambao ndio waliomfundisha Muhamad vita na mashairi. Arabuni ilikuwa ni eneo lisilokuwa na watu wengi, ata leo Saudia ina wakazi milioni 31 kwa sensa ya 2015, ndo maana dolla za Kislam baada ya Ukalifa wa Rashidun(Abubakar, Umar, Uthuman, na Ally) warithi wao yaani Ummayid kaliphate walihamisha makao makuu madina kwenda Syria(Sham) na baada yao makao makuu yakahamia Iraq ktk zama za ukalifa wa Abbasid. Maana Sham na Iraq ndo kulikuwa na wakazi wengi sana.

Kwanini leo Arabuni(Hijjaz) inaitwa Saudi Arabia?

Kuna story ndefu hapo ila kifupi Arabuni ilishatawaliwa sana na dolla mbalimbali kiasi cha jiwe jeusi kuibiwa, baada ya dola nyingi kuitawala Arabuni mwisho iliangukia katika dola ya Ottoman ambayo iliitawala Arabuni mda mrefu na ku control msikiti wa Makka, baada ya dola ya Ottoman kuangushwa na British Empire mwaka 1914-1918 ktk vita ya kwanza, Uingereza ilitawala maeneo yote ya Ottoman, ndipo mwaka 1924-1925 Ibn Saudi akajitangaza mfalme wa Arabuni kwa msaada wa Muingereza, ila hakutawala eneo lote, mwaka 1932 ndipo akawa mfalme wa Arabuni yote baada ya dola ya Nejd kuungana naye, ndipo Arabuni ikaitwa Saudi Arabia. Kwaiyo Waislam wanavyodai kuwa Israel si Taifa bali jina la mtu, basi ata Saudia ni jina la mtu. Ukoo wa Ibn Saudi ni wa kitambo, huu ukoo uliungana na ukoo wa Abdul Wahab katika Karne ya 18 na kuunda ka dola kadogo kalikoitwa Saud Kingdom ila baadae kalisambaratishwa na Ottoman. Abdul Wahhab ndio mwanzilishi wa dhehebu la Wahhabist, dhehebu lenye msimamo mkali sana wa kissun, na baguzi kwa madhebu yote ya Kislam wakiwemo sunn wasio wahhabist, inasemekana magaid karibu wote wanatokea dhehebu ili. Abdul wahab inasadikiwa kuwa ana asili ya Kiyahud. Maana Wayahud ndio walikuwa wana control uchumi wa Arabuni hata zama za Muhamad, na Muhamad alivyowashinda aliwafukuza na kupora mali zao. Mji wa Medina na Khaybar ilikuwa ni miji ya Kiyahud ambayo ilikuwa na utajiri mkubwa, kwaiyo inasemekana masalio yao yapo mpk leo ambao waliamini katika Uislam na miongoni mwao ni Abdul Wahab, na ukoo huu na ukoo wa Ibn Saud ndo koo ambazo zimeshika uchumi wa Saudia na utawala.

Muhamad aliwafukuza Wayahudi na Wakristo katika Rasi ya Arabuni na kukataza kufanya nao Urafiki kama hadithi hii inavyoshuhudia:-

1117. Umar amehadithia kuwa alimsikia Mtume akisema: "Nitawatoa Mayahudi na Manasara katika Rasi ya Arabuni hata nisibakishe isipokuwa Muislam." Muslim (rejea pia Bulugh al Maram uk 495,496

Na Quran Al-Maaida 51 inabainisha hivi:-

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.

Ukirejea aya hiyo na hadithi hiyo utapata majibu kuwa Waislam wamepigwa marufuku kufanya urafiki nasi na wako tayari kuwafukuza Wakristo na Wayahud ktk eneo lolote wanalolimiliki, ndio maana ktk nchi za Waislam hakuna makanisa hasa Saudia na ata wakiwa ktk nchi za Wakristo watakomaa tu kuingiza sharia zao. Swali la kujihoji, leo ktk nchi ya Muhamad, yaani Arabuni wamevunja aya hiyo kwa kufanya urafiki na Wakristo na Wayahudi kiasi cha kuwapa eneo la kijeshi katika rasi ya Saudia na kufanya ushirika kwa mengi sana. Je Uislam umeshajifia au unaenda kujifia kabisa?

Uchambuzi wa dhehebu la Wahabist uko jikoni.
Huyo ni Saudi Arabia binafsi sio Uislam
 
Back
Top Bottom