holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,542
- 2,449
Prince Dube ni straiker bora sikatai, ubora wake huo ndio uliwavutia mabosi wa YOUNG AFRICANS SC kumleta Jangwani, kongole kwa Eng. Hersi Saidi na mfadhiri GSM.
Wanayanga walikuwa tuna matumaini makubwa na straiker huyu kuwa ndiye atakuwa mshambuliaji kinara na kiongozi klabuni hapo
lakini mambo ni tofauti, Prince amekuwa goigoi, dhaifu na mtu wa hovyo sana hasa anapokuwa na mpira kwenye box la wapinzani, ni eidha ajikwatue aanguke, apige nje au apige shuti mtoto na kiukweli imekuwa ikighalimu timu kwa muda sasa.
amepewa muda vya kutosha lakini habadiliki, washambuliaji hatari hasa Jean Othos Baleke mpaka anaondoka hakuwa na nafasi mbele ya Prince goigoi, Mzize anacheza vizuri sana na anafunga ila anatolewa mapema sana kuliko Dube.
Je kuna siri gani kwa Prince Dube kuchezeshwa dk 90 kila mechi wakati mchango wake ni mdogo katika timu?
Wanayanga walikuwa tuna matumaini makubwa na straiker huyu kuwa ndiye atakuwa mshambuliaji kinara na kiongozi klabuni hapo
lakini mambo ni tofauti, Prince amekuwa goigoi, dhaifu na mtu wa hovyo sana hasa anapokuwa na mpira kwenye box la wapinzani, ni eidha ajikwatue aanguke, apige nje au apige shuti mtoto na kiukweli imekuwa ikighalimu timu kwa muda sasa.
amepewa muda vya kutosha lakini habadiliki, washambuliaji hatari hasa Jean Othos Baleke mpaka anaondoka hakuwa na nafasi mbele ya Prince goigoi, Mzize anacheza vizuri sana na anafunga ila anatolewa mapema sana kuliko Dube.
Je kuna siri gani kwa Prince Dube kuchezeshwa dk 90 kila mechi wakati mchango wake ni mdogo katika timu?