Kwanini nchi tajiri za Waarabu hazisaidii nchi masikini wakati wana utajiri usiomithilika?

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
48,334
69,852
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
 
Kwani lazima wafanye hivyo, wakati unaweza kuta nchi moja ya Africa ina utajiri wa nchi tatu za Uarabuni na haitumii vizuri.

Mfano hapa Tanzania pata picha ingekua ya Mwarabu na sisi tuwe UAE yenye mafuta tu na mafuta Viongozi wamefanya umafia.

Hufikirii nchi kama Equatorial Guinea ina mafuta ila Kiongozi yupo madarakani ana anafia with nothing there to do.

Check hapo Congo toka 1990 upo unachekea chekea waasi, mwenzako Kagame anajijenga kijeshi.
 
Hakuna msaada wa bure unapewa ,waarabu ni matajiri by nature bila ya kuibia waafrika .

Narudia Tena unatoa madini unapewa containers za condomq pamoja na ARVs ili muendeleze ngono ...Hakuna Cha bure hata siku moja ,USA kusingekuwa na homeless na umaskini.
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Bado wanaamini weusi sio watu kamili! Na generosity sio ya kila mtu, hata mchina hana ujasiri wa kutoa burebure, labda wakopeshe, na hii ndio Trump anataka kuitumia, kula ule US then biashara ufanye na madikteta so anawafundisha kwamba US ni big brother na lazima heshima iwepo! Kaanza kabana kwa madikteta na kabana kwa wala bure
 
Mashirika yapo labda kama hujafatilia tu.mfano Qatar charity limetoa misaada msingi Tz na Muscat Omani limetoa misaada mingi sana .Lakini kupewa misaada Kila siku wakati mnamaliasili ya kutosha ni sifa ya kijinga
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.

Hamites Wanafanana kitabia,
Hamites ni jamii ya Arabs, kushi, Bantu, nilotes, Chinese, n.k.
 
Hata wao walikuwa maskini vilevile waka hustle na kujikwamua kwenye umaskini.

Na wao hakuna aliyewasaidia.

Hizi nchi za uarabuni tulikuwa almost sawa tu kiuchumi. Wenzetu wameamka waka hustle kivyao wakatoboa.

Waafrika bado mmebaki na mentality za kusaidiwa saidiwa tu!!!
 
Mashirika yapo labda kama hujafatilia tu.mfano Qatar charity limetoa misaada msingi Tz na Muscat Omani limetoa misaada mingi sana .Lakini kupewa misaada Kila siku wakati mnamaliasili ya kutosha ni sifa ya kijinga
Nayajua mashirika mengi sana hapa Tanga yapo, juzi kati walikabidhisha mejngo ya shule waliojenga .

Ila kwa akili timamu tu ,hakuna msaada wa bure.
 
Misaada ipi ewe muafrika? Condom na ARV ndio unaona misaada mikubwa ama kweli Sub-Saharan Africa is a black continent
 
Kila mwaka wanatoa misaada ya Tende maelfu ya Tani.
Au unataka misaada gani
Wanatupa tende halafu wao tunawapa mahekta ya mapori bure ili wavune maliasili zetu.Hivi waafrika wanamatatizo Gani?
 
Kwani lazima wafanye hivyo, wakati unaweza kuta nchi moja ya Africa ina utajiri wa nchi tatu za Uarabuni na haitumii vizuri.

Mfano hapa Tanzania pata picha ingekua ya Mwarabu na sisi tuwe UAE yenye mafuta tu na mafuta Viongozi wamefanya umafia.

Hufikirii nchi kama Equatorial Guinea ina mafuta ila Kiongozi yupo madarakani ana anafia with nothing there to do.

Check hapo Congo toka 1990 upo unachekea chekea waasi, mwenzako Kagame anajijenga kijeshi.
Leo hii ukiwahamisha waafrika wote hapa barani Afrika ukawapeleka Ulaya na Amerika, Kisha ukawaleta wazungu hapahapa Afrika.

Nakuhakikishia baada ya miaka mitano, Afrika inakuwa tajiri vibaya mno. Halafu Ulaya na Amerika inakuwa maskini tena. Miafrika itarudi tena hapa Afrika kuja kuwalilia wazungu wawasaidie.

Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
 
Nchi za Waarabu za Saudi Arabia, Qatar, UAE, Kuwait, Oman na Bahrain ni nchi tajiri sana, hazina madeni na zina akiba ya matrilioni ya pesa kutoka kwenye mafuta na gas inayozihifadhi katika soverign wealth funds zao.

Familia za kifalme zinamiliki ukwasi wa matrilioni. Pamoja na haya hizi nchi wachoyo sana na hawafanyi hisani kabisa za maendelo, sijawahi kuona msaada wanaotoa kwa nchi masikini za Afrika zaidi ya kujenga visima vya maji viwili/ vitatu na kugawa msaada wa tende.
Zinasaidia misaada mikubwa sana unless umeandika huu uzi bila kufanya Research,

Nchi kama Kuwait ina misaada mingi mno yenye tija kushinda hayo Mataifa makubwa ambayo wewe unahisi yanasaidia

Matrilioni kwa matrilioni ya hela kuanzia Barabara, Humanitarian Aids, Equipments za Hospitali za Serikali, Biashara, Hadi Mauaji ya Albino ni Kuwait Ali fund ukomeshwaji wake.
 
Hata wao walikuwa maskini vilevile waka hustle na kujikwamua kwenye umaskini.

Na wao hakuna aliyewasaidia.

Hizi nchi za uarabuni tulikuwa almost sawa tu kiuchumi. Wenzetu wameamka waka hustle kivyao wakatoboa.

Waafrika bado mmebaki na mentality za kusaidiwa saidiwa tu!!!
Hawaja hustle wala kutokwa jasho, walipata bahati ya mtende tu kuwa katika sehemu yenye mafuta na gas nyingi zaidi duniani na baadaye mafuta na gas vikawa ndizo bidhaa zinazohitajika zaidi duniani.
 
Zinasaidia misaada mikubwa sana unless umeandika huu uzi bila kufanya Research,

Nchi kama Kuwait ina misaada mingi mno yenye tija kushinda hayo Mataifa makubwa ambayo wewe unahisi yanasaidia

Matrilioni kwa matrilioni ya hela kuanzia Barabara, Humanitarian Aids, Equipments za Hospitali za Serikali, Biashara, Hadi Mauaji ya Albino ni Kuwait Ali fund ukomeshwaji wake.
Thibitisha,
Misaada ya Wamarekani, Ulaya, Japan na Korea inaonekana. Mbona hiyo ya waarabu hatuioni??
 
Kwani lazima wafanye hivyo, wakati unaweza kuta nchi moja ya Africa ina utajiri wa nchi tatu za Uarabuni na haitumii vizuri.

Mfano hapa Tanzania pata picha ingekua ya Mwarabu na sisi tuwe UAE yenye mafuta tu na mafuta Viongozi wamefanya umafia.

Hufikirii nchi kama Equatorial Guinea ina mafuta ila Kiongozi yupo madarakani ana anafia with nothing there to do.

Check hapo Congo toka 1990 upo unachekea chekea waasi, mwenzako Kagame anajijenga kijeshi.
Equatorial Guinea wana mafuta ya kutosha vibatari, Hizo nchi nilizokutajia zina mafuta kiasi kwamba watawala wake wanachota pesa kujihamishia kwenye akaunti zao binafsi na bado zinabaki pesa za kufanya maendeleo na kuweka akiba.
 
Back
Top Bottom