Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,357
- 7,916
Habarini,
Kuna social construct nimeiona kwenye jamii
Mimi binafsi na great thinkers wengine tunaamini kuwa hamna tofauti kati ya golddigger (mdada anaekupendea hela) na mdada anaejiuza barabarani, sababu wote wawili wana-sex na wewe sababu unawapa hela, usingekua na hela wasingekupa mbususu..wote wawili golddigger na dada poa wanaojiuza barabarani kinachowafananisha ni kuwa wanapo sex na wewe,hawana hisia za kimapenzi na wewe, wapo kibiashara zaidi..
Kwenye jamii hata mwanaume anaeoa baa medi ingawa anadharaulika, ila hata huyo anaeoa baa medi anaheshimiwa kidogo kuliko mwanaume anaenunua malaya barabarani.
Kitendo cha mwanaume kununua wadada wanaojiuza barabarani kinaonekana na jamii kuwa ni kitendo cha aibu sana, ila mdada ku-date/kuolewa na mwanaume (especially mwanaume Mzee) sababu ya pesa/mwanaume mzee kuoa binti mdogo baada ya kumlaghai kwa kutumia pesa, sio kitendo cha aibu wakati ni yale yale.
Mwanaume anaenunua dada poa akijitangaza publicly kuwa ananunuaga dada poa, ata face kejeli na dharau toka kwa wanawake na hata wanaume wenzake, hata kama miongoni mwa hao wanaume ni wateja wa maafisa utamu pia..
Interesting
Kuna social construct nimeiona kwenye jamii
Mimi binafsi na great thinkers wengine tunaamini kuwa hamna tofauti kati ya golddigger (mdada anaekupendea hela) na mdada anaejiuza barabarani, sababu wote wawili wana-sex na wewe sababu unawapa hela, usingekua na hela wasingekupa mbususu..wote wawili golddigger na dada poa wanaojiuza barabarani kinachowafananisha ni kuwa wanapo sex na wewe,hawana hisia za kimapenzi na wewe, wapo kibiashara zaidi..
Kwenye jamii hata mwanaume anaeoa baa medi ingawa anadharaulika, ila hata huyo anaeoa baa medi anaheshimiwa kidogo kuliko mwanaume anaenunua malaya barabarani.
Kitendo cha mwanaume kununua wadada wanaojiuza barabarani kinaonekana na jamii kuwa ni kitendo cha aibu sana, ila mdada ku-date/kuolewa na mwanaume (especially mwanaume Mzee) sababu ya pesa/mwanaume mzee kuoa binti mdogo baada ya kumlaghai kwa kutumia pesa, sio kitendo cha aibu wakati ni yale yale.
Mwanaume anaenunua dada poa akijitangaza publicly kuwa ananunuaga dada poa, ata face kejeli na dharau toka kwa wanawake na hata wanaume wenzake, hata kama miongoni mwa hao wanaume ni wateja wa maafisa utamu pia..
Interesting