GENTAMYCINE JF-Expert Member Jul 13, 2013 60,420 120,743 Mar 24, 2017 #1 Rejeeni Kichwa cha Habari na karibuni mtiririke tafadhali. Nawasilisha.
byemerwa Member Jan 3, 2017 62 15 Mar 26, 2017 #2 Mwanamke anajiona mzuri alafu ushuzi wake mbaya yaani unanuka lkn mwanaume hujiona kashiba sasa anapumua fyuuuu tu akiwaza yajayo hata kama hajala
Mwanamke anajiona mzuri alafu ushuzi wake mbaya yaani unanuka lkn mwanaume hujiona kashiba sasa anapumua fyuuuu tu akiwaza yajayo hata kama hajala
Husna Muba JF-Expert Member Jan 28, 2017 14,524 44,577 Mar 27, 2017 #3 Aseee mi sionagi aibu labda wengine
Sky Eclat JF-Expert Member Oct 17, 2012 57,738 215,924 Mar 27, 2017 #5 Shughuli hizi hufanyika chooni, usifikiri kila anaenda kule ni namba moja au mbili, hii ni namba tatu inayopeleka watu kule na uwe peke yako.
Shughuli hizi hufanyika chooni, usifikiri kila anaenda kule ni namba moja au mbili, hii ni namba tatu inayopeleka watu kule na uwe peke yako.
Tempon JF-Expert Member Mar 14, 2017 234 383 Mar 27, 2017 #6 Sky Eclat said: Shughuli hizi hufanyika chooni, usifikiri kila anaenda kule ni namba moja au mbili, hii ni namba tatu inayopeleka watu kule na uwe peke yako. Click to expand... Uko right kabisa addition mentality ya wanawake ni kama vile Tigo hawana ile hali hupenda sana wawe na matako, Wengine huwaza hata kama hawakati gogo wawapo na watu
Sky Eclat said: Shughuli hizi hufanyika chooni, usifikiri kila anaenda kule ni namba moja au mbili, hii ni namba tatu inayopeleka watu kule na uwe peke yako. Click to expand... Uko right kabisa addition mentality ya wanawake ni kama vile Tigo hawana ile hali hupenda sana wawe na matako, Wengine huwaza hata kama hawakati gogo wawapo na watu
sebastian longfellow Senior Member Feb 13, 2014 173 117 Mar 27, 2017 #7 sijaona habari za Bashite ,wanaweka wapi siku hizi?
C chifu77 JF-Expert Member Aug 2, 2014 902 596 Mar 27, 2017 #8 sebastian longfellow said: sijaona habari za Bashite ,wanaweka wapi siku hizi? Click to expand... Anzisha thiredi mkuu. Wachangiaji tupo
sebastian longfellow said: sijaona habari za Bashite ,wanaweka wapi siku hizi? Click to expand... Anzisha thiredi mkuu. Wachangiaji tupo