Kwanini Mwanamke akijamba ghafla huona mno aibu ila Mwanaume huona katimiza haki yake ya msingi?

Mwanamke anajiona mzuri alafu ushuzi wake mbaya yaani unanuka lkn mwanaume hujiona kashiba sasa anapumua fyuuuu tu akiwaza yajayo hata kama hajala
 
Shughuli hizi hufanyika chooni, usifikiri kila anaenda kule ni namba moja au mbili, hii ni namba tatu inayopeleka watu kule na uwe peke yako.
 
Shughuli hizi hufanyika chooni, usifikiri kila anaenda kule ni namba moja au mbili, hii ni namba tatu inayopeleka watu kule na uwe peke yako.
Uko right kabisa addition mentality ya wanawake ni kama vile Tigo hawana ile hali hupenda sana wawe na matako, Wengine huwaza hata kama hawakati gogo wawapo na watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…