Kwanini mtu akibadili majina vyeti vyake na NIDA bado vinabaki na majina ya zamani?

Holy Trinity

Member
Oct 10, 2023
20
23
Mfano unakuta wakati nazaliwa , wazazi Kwa uono wao wakaamua kunipa jina "MATATIZO" MATESO nk , au nilikua mkristu nikasilimu nikataka kwenda na jina la dini husika, au nilikua muislam nikabatizwa nikataka kwenda na jina la biblia

Swali langu ni nini shida inayofanya kusiwe na system ya kubadili hayo majina?

Mfano mahakama wameridhia ni Mimi MATATIZO mwenye cheti namba x, nataka kuitwa Baraka. Kwanini NECTA na wengineo hawawezi kubadili jina Hilo kwenye cheti? Maana namba ni ile ile, au NIDA nk.

Kwanini watu wanabadili majina lakini bado wanaishi kwenye kivuli cha majina ya mwanzo?
 
Mfano unakuta wakati nazaliwa , wazazi Kwa uono wao wakaamua kunipa jina "MATATIZO" MATESO nk , au nilikua mkristu nikasilimu nikataka kwenda na jina la dini husika, au nilikua muislam nikabatizwa nikataka kwenda na jina la biblia

Swali langu ni nini shida inayofanya kusiwe na system ya kubadili hayo majina?

Mfano mahakama wameridhia ni Mimi MATATIZO mwenye cheti namba x, nataka kuitwa Baraka. Kwanini NECTA na wengineo hawawezi kubadili jina Hilo kwenye cheti? Maana namba ni ile ile, au NIDA nk.

Kwanini watu wanabadili majina lakini bado wanaishi kwenye kivuli cha majina ya mwanzo?
Watakuja akina uchebe na kisema ni mfumo kristo
 
Kuwa na maltiple identity ni mbaya sana
Hata nchi za wenzetu ukiwa na maltiple identity
Hata kwenye vyombo vya usalama you should stick with you original Identity
wanakuwa na shaka na ww na kuingia kwao itakuwa ngumu
Accept yourself and you will be accepted too
 
Kuwa na maltiple identity ni mbaya sana
Hata nchi za wenzetu ukiwa na maltiple identity
Hata kwenye vyombo vya usalama you should stick with you original Identity
wanakuwa na shaka na ww na kuingia kwao itakuwa ngumu
Accept yourself and you will be accepted too
ID inabaki kuwa Moja tuu kinachobadilika ni jina tuu maana vingine kama picha, fingerprint na records zako zote ni zile zile

Na kubadili jina iwe ni mara Moja tuu
 
Kuwa na maltiple identity ni mbaya sana
Hata nchi za wenzetu ukiwa na maltiple identity
Hata kwenye vyombo vya usalama you should stick with you original Identity
wanakuwa na shaka na ww na kuingia kwao itakuwa ngumu
Accept yourself and you will be accepted too
Huo uoga ni kama uoga wa
1. Uraia pacha
2. Mgombea binafsi
 
Kwanini watu wanabadili majina lakini bado wanaishi kwenye kivuli cha majina ya mwanzo?
kwa sababu tayari unakuwa umejipa bahati mpya (nimekosa neno sahihi labda niite nafsi mpya) hivyo unaishi kws nafsi hiyo, ni kama kupaka rangi mpya kwenye nyumba ya zamani.
 
Back
Top Bottom