Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,320
- 4,604
Picha linaanza magari yanaweza kufika hata 20 alafu barabara nzima wapo wao wanakimbia kwa kasi kubwa mno, hivi why tunaambiwa mwendo mkali unaua wakati wao viongozi wakuu wanakimbizana kama magari ya mbagala rangi tatu?
Nchi nyingine wapo na mfumo huu?
Nchi nyingine wapo na mfumo huu?