The Palm Beach
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,104
- 4,518
Hivi kuna sababu gani kwa polisi wetu kutumika vibaya na CCM kwa kuteka, kukamata, kuumiza na kumbakia kesi ya uhaini Mh Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA wakati tunaweza kushindana kwa hoja na hoja zinazoshinda ndizo zitoe mwelekeo wa taifa na nchi hii...
TUAMUE TU NA TUFANYE HIVI:
Tuwe na kambi mbili za kampeni zilizobeba hoja. Na kambi hizi zipeleke hoja zao kwa wananchi na kambi itakayoshinda kwa hoja, wananchi watakakuwa wameshinda na huo ndio utakuwa uelekeo wa nchi na taifa hili...?
1. Kambi ya "NO REFORMS, NO ELECTION" inayoongozwa na CHADEMA ibebe hoja zake, izipeleke kwa wananchi na kisha wananchi tupime uhalisia wa hoja zao kisha tufanye maamuzi..
2. Kambi ya "NO REFORMS, YES ELECTION" iongozwe na CCM na ibebe hoja zake, izipeleke kwa wananchi, tuzipime ukweli na uhalisia wake na sisi wananchi tuamue...
##Kwanini tupigane? Kwanini tuuane na kuumizana? Kwanini CCM na serikali yake wanajipa uhalali kwa kulazimisha kukubalika kwa hoja zao kwa kutumia polisi, TISS na Jeshi la Wananchi kwa kukamata wenye hoja tofauti na zao na kuwambakia kesi za uongo za uhaini..?
##Je, hatuwezi kutumia njia salama na za kiungwana kumaliza mkwamo na mzozo huu wa kisiasa..?
##NO REFORMS NO ELECTION
##FreeTunduLissu now
TUAMUE TU NA TUFANYE HIVI:
Tuwe na kambi mbili za kampeni zilizobeba hoja. Na kambi hizi zipeleke hoja zao kwa wananchi na kambi itakayoshinda kwa hoja, wananchi watakakuwa wameshinda na huo ndio utakuwa uelekeo wa nchi na taifa hili...?
1. Kambi ya "NO REFORMS, NO ELECTION" inayoongozwa na CHADEMA ibebe hoja zake, izipeleke kwa wananchi na kisha wananchi tupime uhalisia wa hoja zao kisha tufanye maamuzi..
2. Kambi ya "NO REFORMS, YES ELECTION" iongozwe na CCM na ibebe hoja zake, izipeleke kwa wananchi, tuzipime ukweli na uhalisia wake na sisi wananchi tuamue...
##Kwanini tupigane? Kwanini tuuane na kuumizana? Kwanini CCM na serikali yake wanajipa uhalali kwa kulazimisha kukubalika kwa hoja zao kwa kutumia polisi, TISS na Jeshi la Wananchi kwa kukamata wenye hoja tofauti na zao na kuwambakia kesi za uongo za uhaini..?
##Je, hatuwezi kutumia njia salama na za kiungwana kumaliza mkwamo na mzozo huu wa kisiasa..?
##NO REFORMS NO ELECTION
##FreeTunduLissu now