Kwanini Kiranga ni mbishi kuhusu uwepo wa Mungu wakati min-me kwa sasa anakubali kuwa Mungu yupo?

Judah Tribe

Senior Member
Sep 1, 2024
159
595
Nipo huku kijijini matolwa nawitwa Judah Kama kichwa kisemavyo Kuna mtu humu alikuwa ni mbishi sana kuhusu uwepo wa Mungu kuliko wote ambae ni min -me maana huyu alikuwa mbishi sana kuliko hata huyu Kiranga lakini baada ya kuelimishwa na kuthibitishiwa na walokole humu kuwa Mungu yupo Kawa mpole na kila Mada yeye anajificha na kumuita huyo kiranga.

Kawa muelewa na mpole na kujua kwamba MUNGU mkuu wa yote yupo lakini tatizo lipo kwa huyu kiranga au je kiranga Ndio huyu min-me at the same account kwanini huyu kiranga amekuwa mgumu licha ya kuelimishwa mara kadhaa.

Pia sio huyo tu ukitoka kwa kiranga yuko mwingine anaitwa infromer kama sijakosea Jina lake huyu Nae ni mbishi kuliko licha ya kuelimishwa na kuthibitishiwa

Na cha Ajabu ukiwaambia thibitisha kama MUNGU hayupo hawana cha kuthibitsha AU ACCOUNT HIZI NI ZA SHETANI MWENYEWE TUNAZO JIBISHANA NAZO
 

Attachments

  • 1725617527908.jpg
    1725617527908.jpg
    497.5 KB · Views: 13
Bwana Yesu/Isa Asifiwe Kama kichwa kisemavyo Kuna mtu humu alikuwa ni mbishi sana kuhusu uwepo wa Mungu kuliko wote ambae ni min -me maana huyu alikuwa mbishi sana kuliko hata huyu Kiranga lakini baada ya kuelimishwa na kuthibitishiwa na walokole humu kuwa Mungu yupo Kawa mpole na kila Mada yeye anajificha na kumuita huyo kiranga.

Kawa muelewa na mpole na kujua kwamba MUNGU mkuu wa yote yupo lakini tatizo lipo kwa huyu kiranga au je kiranga Ndio huyu min-me at the same account kwanini huyu kiranga amekuwa mgumu licha ya kuelimishwa mara kadhaa.

Pia sio huyo tu ukitoka kwa kiranga yuko mwingine anaitwa infromer kama sijakosea Jina lake huyu Nae ni mbishi kuliko licha ya kuelimishwa na kuthibitishiwa

Na cha Ajabu ukiwaambia thibitisha kama MUNGU hayupo hawana cha kuthibitsha AU ACCOUNT HIZI NI ZA SHETANI MWENYEWE TUNAZO JIBISHANA NAZO
Ujinga mtupu wao wakiamini au wasipoamini unapungukiwa na nini?

Mnawapa umaarufu wa kijinga.
 
Bwana Yesu/Isa Asifiwe Kama kichwa kisemavyo Kuna mtu humu alikuwa ni mbishi sana kuhusu uwepo wa Mungu kuliko wote ambae ni min -me maana huyu alikuwa mbishi sana kuliko hata huyu Kiranga lakini baada ya kuelimishwa na kuthibitishiwa na walokole humu kuwa Mungu yupo Kawa mpole na kila Mada yeye anajificha na kumuita huyo kiranga.

Kawa muelewa na mpole na kujua kwamba MUNGU mkuu wa yote yupo lakini tatizo lipo kwa huyu kiranga au je kiranga Ndio huyu min-me at the same account kwanini huyu kiranga amekuwa mgumu licha ya kuelimishwa mara kadhaa.

Pia sio huyo tu ukitoka kwa kiranga yuko mwingine anaitwa infromer kama sijakosea Jina lake huyu Nae ni mbishi kuliko licha ya kuelimishwa na kuthibitishiwa

Na cha Ajabu ukiwaambia thibitisha kama MUNGU hayupo hawana cha kuthibitsha AU ACCOUNT HIZI NI ZA SHETANI MWENYEWE TUNAZO JIBISHANA NAZO
Mungu Yupo . Ila inahitaji utayari , nidhamu na juhudi kutembea naye. Sio kila mtu anaweza akasacrifice lifestyle yake iweze kuendana na nidhamu ya Kimungu. Hapo ndo Atheism huzaliwa.
 
Mungu angekuwepo na akataka tumjue, angejidhihirisha tu mwenyewe kwa wote duniani.
Si kwenda kwa wazungu na waarabu kisha wao ndo waje watuambie uwepo wake na matakwa yake.
Ukifikiria kidogo tu unaona hao washkaji walikuwa mbele ya muda wetu kimaarifa, so wakaja kutupiga kamba kwa manufaa yao.
 
Back
Top Bottom