figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,768
- 56,188
Salaam
Wakuu wa Mikoa na Wilaya ndio Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama.
Ila kila siku naona wanahudhuria Vikao na Mikutano ya Kisiasa ya Chama cha Mapinduzi lakini si vyama vya Upinzani.
Kwanini vyama vya Upinzani havishirikishwi kwenye vikao vya Ulinzi na Usalama wa Nchini?
Je, ushirikiano na Ummoja katika Nchi unahusu vitu gani?
Je, ndo maadui wa Tanzania?
Je, hawaaminiki?
Je, hawana jukumu la kulinda Usalama?
Je, ni taratibu gani zilizopo kwaajili ya vyama vya Upinzani za kufikisha taarifa inayotetelesha usalama kwahiyo kamati wakati hawashirikishwi?
Je, vyama vya upinzani vina mchango gani wa kuhamasisha wafuasi wao walinde Nchi dhidi ya Wavamizi?
Wakuu wa Mikoa na Wilaya ndio Wenyeviti wa Kamati za Ulinzi na Usalama.
Ila kila siku naona wanahudhuria Vikao na Mikutano ya Kisiasa ya Chama cha Mapinduzi lakini si vyama vya Upinzani.
Kwanini vyama vya Upinzani havishirikishwi kwenye vikao vya Ulinzi na Usalama wa Nchini?
Je, ushirikiano na Ummoja katika Nchi unahusu vitu gani?
Je, ndo maadui wa Tanzania?
Je, hawaaminiki?
Je, hawana jukumu la kulinda Usalama?
Je, ni taratibu gani zilizopo kwaajili ya vyama vya Upinzani za kufikisha taarifa inayotetelesha usalama kwahiyo kamati wakati hawashirikishwi?
Je, vyama vya upinzani vina mchango gani wa kuhamasisha wafuasi wao walinde Nchi dhidi ya Wavamizi?