MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,763
- 5,605
Kuzuia kukosoa (constructively) ni kuzuia ukuaji katika vizio vipana. Udicteta unaleta Hofu, Hofu inapunguza uwezo wa kufikiri, na hupelekea maamuzi fyongo na ya kujipendekeza yasiyo ya kiweledi wala kitaaluma. Kama tabia hii ipo inabidi Wakue kuvuka hapo.Tanzania hatuna upinzani ,tuna waganga njaa tu.
Vyama Vya upinzani vimejaa udikteta wa kutisha kiasi kwamba ukimkosoa mfalme Mbowe unaitwa msaliti na kufukuzwa kwenye chama.
Naamini bila kuvuka level za kweli hizo ulizotaja hapo, bado upinzani utaendelea kuwa teketeke.tatizo tunaenda mbele hatugeuki kuangalia tunapotoka. huku upinzani katika vyama ni madudu matupu na hasa hivi vyama vikubwa. ni sheeeda. nadhani katika masuala ya ukandamizaji wa demokrasia, haki za binadamu na udikteta upinzani unaongoza ndani ya vyama. chukulia mfano tu matukio machache ambayo yametokea chadema na hasa pale tu inapotokea mtu anahoji masuala fulani fulani ya uendeshaji.kwa mfano watu kama kina Mwigamba, Prof Mkumbo, Zito, hata Chacha Wangwe, kina Said Arfi, na wengineo wengi. yaliyowatokea kila mtu anajua. lakini ni matokeo ya ukandamizaji wa demokrasia ambayo tunaita ni matendo ya
pale katika kutafuta kiongozi kwa njia ya demokrasia, rejea jinsi kiongozi mgombea urais alipatikanaje. ni kwa mabavu na udikteta. haiwezekani ujio wa watuhumiwa wa ufisadi wakapokelewa na kusafishwa na kupewa vyeo vya ndani ndani ya chama ghafla. angalia leo hii imani kwa wanachama imepotea kabisaa. kiasi cha kufanya kina Dr Slaa kutimka. ni baada ya uhuru wao wa kidemokrasia kukandamizwa. ni hatari kwa mwwnyekiti Mbowe na watu wachache kufanya matendo yanayofanana na kidikteta namna hii.
watakuja kukujibu maoni yako.Hakuna wapinzani Tanzania. Wengi ni waganga njaa tu. Sasa wamekuja na mbinu mbadala za kujipatia fedha kutoka kwenye vyama vyao. Wanatoa kauli zenye utata kwa makusudi ili waweze kupelekwa mahakamani. Wakishapelekwa mahakamani wanapata posho ndefu kutoka kwenye vyama vyao kwa kisingizio cha kusimamia au kumsindikiza mtuhumiwa. Wanachokifanya ni maigizo tu, lengo lao kubwa (vinara wa chama) ni kujipatia fedha.
Mbona haumuongelei dikiteta uchwara, hata kumwabia kuwa anakosea anakupeleka kisutu.Tanzania hatuna upinzani ,tuna waganga njaa tu.
Vyama Vya upinzani vimejaa udikteta wa kutisha kiasi kwamba ukimkosoa mfalme Mbowe unaitwa msaliti na kufukuzwa kwenye chama.
Tangu link mwanachama mtiifu wa ccm kama wewe ukaitakia mafaniko chadema?tatizo tunaenda mbele hatugeuki kuangalia tunapotoka. huku upinzani katika vyama ni madudu matupu na hasa hivi vyama vikubwa. ni sheeeda. nadhani katika masuala ya ukandamizaji wa demokrasia, haki za binadamu na udikteta upinzani unaongoza ndani ya vyama. chukulia mfano tu matukio machache ambayo yametokea chadema na hasa pale tu inapotokea mtu anahoji masuala fulani fulani ya uendeshaji.kwa mfano watu kama kina Mwigamba, Prof Mkumbo, Zito, hata Chacha Wangwe, kina Said Arfi, na wengineo wengi. yaliyowatokea kila mtu anajua. lakini ni matokeo ya ukandamizaji wa demokrasia ambayo tunaita ni matendo ya kidikteta
pale katika kutafuta kiongozi kwa njia ya demokrasia, rejea jinsi kiongozi mgombea urais alipatikanaje. ni kwa mabavu na udikteta. haiwezekani ujio wa watuhumiwa wa ufisadi wakapokelewa na kusafishwa na kupewa vyeo vya ndani ndani ya chama ghafla. angalia leo hii imani kwa wanachama imepotea kabisaa. kiasi cha kufanya kina Dr Slaa kutimka. ni baada ya uhuru wao wa kidemokrasia kukandamizwa. ni hatari kwa mwwnyekiti Mbowe na watu wachache kufanya matendo yanayofanana na kidikteta namna hii.
leo hii nashangaa kina Lissu wanalalamika eti uongozi wa Dr Magufuli unakandamiza demokrasia. inashangaza kabisa. wakati Lissu mwenyewe anajua kabisa kuondoka kwa Dr Slaa alikuwa karibu atoe chozi la damu. kwa namna kiongizi mahili kama yule alivyotendewa ndivyo sivyo. Lissu hakuweza kumhoji Mbowe kwa sababu hiyo ya ukandamizaji. hata hicyo maskini Lissu hakuwa na cha kufanya kwa sababu pale ndipo ugali wake unapatikana. hana jinsi. hana pa kukimbilia maana akiharibu imekula kwake.
ifike mahali tuambizane ukweli na sio kulea na kuficha maovu. hatutabadilika. tulizungusha mikono ya mabadilikoooo. ni lazima yaanzie nakwetu wwnyewe na si vinginevyo
Daah! Unafikiri wananjaa kama wewe? Rejea binge la katiba.Hakuna wapinzani Tanzania. Wengi ni waganga njaa tu. Sasa wamekuja na mbinu mbadala za kujipatia fedha kutoka kwenye vyama vyao. Wanatoa kauli zenye utata kwa makusudi ili waweze kupelekwa mahakamani. Wakishapelekwa mahakamani wanapata posho ndefu kutoka kwenye vyama vyao kwa kisingizio cha kusimamia au kumsindikiza mtuhumiwa. Wanachokifanya ni maigizo tu, lengo lao kubwa (vinara wa chama) ni kujipatia fedha.
Upinnzani upo kwa kuwa kuna chama tawala. Upinzani ni kwa hoja si maguvu. Mbabe aweza kutumia ubabe kusema hana mpinzani kwa sababu ya kulimbikiza nguvu zilizopitiliza kwa hilo unaweza kuwa sawa.Tanzania hatuna upinzani ,tuna waganga njaa tu.
Vyama Vya upinzani vimejaa udikteta wa kutisha kiasi kwamba ukimkosoa mfalme Mbowe unaitwa msaliti na kufukuzwa kwenye chama.