Kwa sababu kwa Kiingereza kinaitwa Mzumbe University sio University of Mzumbe kama ilivyo kwaEmbu tuelelewesheni utofauti hapa kwanini hii Taasisi inaitwa Chuo kikuu Mzumbe na isiwe Chuo kikuu Cha Mzumbe.
Kama ilivyo kwa Chuo Kikuu Cha Dodoma, au Chuo Kikuu Cha Dar-Es-Salaam n.k
Yote kifasihi yako sawa. Ni jukumu la taasisi husika kuamua watumie 'Chuo Kikuu cha......' au '........ Chuo Kikuu'Embu tuelelewesheni utofauti hapa kwanini hii Taasisi inaitwa Chuo kikuu Mzumbe na isiwe Chuo kikuu Cha Mzumbe.
Kama ilivyo kwa Chuo Kikuu Cha Dodoma, au Chuo Kikuu Cha Dar-Es-Salaam n.k
Sio kweliYote kifasihi yako sawa. Ni jukumu la taasisi husika kuamua watumie 'Chuo Kikuu cha......' au '........ Chuo Kikuu'
Kwamba Makerere University useme kifasihi ipo sawa na University of Nairobi? Kwa maana gani hata kamaYote kifasihi yako sawa. Ni jukumu la taasisi husika kuamua watumie 'Chuo Kikuu cha......' au '........ Chuo Kikuu'
Hata ukipeleka maneno hayo kwenye Kiingereza hamna shida. Kwa ufupi tumekopa toka kwa wao walioanzisha taasisi hizo kubwa za elimu. Hakuna sheria iliyovunjwa ukiita University of Warwick au Warwick University. Wewe tu uamuzi wenu ni ipi ina-flow vizuri. Hivyo tu hakuna aliyepatia wala kukosea.Kwamba Makerere University useme kifasihi ipo sawa na University of Nairobi? Kwa maana gani hata kama
Sijabobea kwenye Kiswahili. Kwa sababu pamoja na taasisi kuamua itumie namna ipi
lazima ilete maana sahihi.
Harvard university vs university of harvard?Embu tuelelewesheni utofauti hapa kwanini hii Taasisi inaitwa Chuo kikuu Mzumbe na isiwe Chuo kikuu Cha Mzumbe.
Kama ilivyo kwa Chuo Kikuu Cha Dodoma, au Chuo Kikuu Cha Dar-Es-Salaam n.k
Hii open siyo Chuo Kikuu Huria?Kwa sababu kwa Kiingereza kinaitwa Mzumbe University sio University of Mzumbe kama ilivyo kwa
University of Dar es Salaam au University of Dodoma. Pia The Open University of Tanzania kinaitwa Chuo
kikuu cha Tanzania.
Tupe Ukweli wako.Sio kweli
Ndio mkuu, writing errorHii open siyo Chuo Kikuu Huria?
Ni sawa lakini kuna jina official yani jina la usajili wa Chuo.Hata ukipeleka maneno hayo kwenye Kiingereza hamna shida. Kwa ufupi tumekopa toka kwa wao walioanzisha taasisi hizo kubwa za elimu. Hakuna sheria iliyovunjwa ukiita University of Warwick au Warwick University. Wewe tu uamuzi wenu ni ipi ina-flow vizuri. Hivyo tu hakuna aliyepatia wala kukosea.
Hii sawaUzi mzuri kwa akili asubuhi
It is officially known as Harvad University and not University of HavardHarvard university vs university of harvard?
Same to mzumbe university its officially known same to open sokoine university etcIt is officially known as Harvad University and not University of Havard
Embu tuelelewesheni utofauti hapa kwanini hii Taasisi inaitwa Chuo kikuu Mzumbe na isiwe Chuo kikuu Cha Mzumbe.
Kama ilivyo kwa Chuo Kikuu Cha Dodoma, au Chuo Kikuu Cha Dar-Es-Salaam n.k