Ccm huwezi kuwaamini. Mabaya yao wanasingizia Chadema na wala si cham kingine chocote. Kwa ni ni CHADEMA? Mti wenye matunda ndio upigwao mawe!.
NI sawa na Kenya wanaposema Mungiki ni wa Tanzania lakini mlima Kilimanjaro na Mbwana Samatta ni wa kenya.
Ccm wanatatizo la kuiba kila sera pendwa kutoka CHaDEMA. Lakini hawana ujasiri wa kuomba wafundishwe the how part of it, wanaishia kuvurunda.
MFC wakaigeuzia kwao. Matokeo yake, hakuna mabadiliko yoyote ya maan awanafanya zaidi ya sarakasi. Kumbe walitakiwa waseme NSS. Chagua ccm for new sarakasi styles!.
WAmeiba agenda ya ufisadi, tena wanafanya kwa uwongo uliowazi eti mafisadi wako chadema. SAsa wamefungua hadi mahakama lakini hakuna hata fisadi kafikishwa kule. WAnaweka mpira kwapani eti hakuna mafisadi. WAkati huo huo CAG anafichua ufisadi wa kutisha!. CCm hawa ni watu wa kuaamini?
WAkaiba agenda ya katiba mpya, wakitaka wakamlishe haraka haraka kwa kuifanya iwalinde na ufisadi wao vile wanataka. Matokeo yake mmeyaona. Eti tumalizie tu na matatizo yake kwa kuw tumeshaanza kutumia fedha. Kama siyo ubashite ni nini?
WAmaua watu halafu wanasingizia CHaDEMA!. Hawa si binadamu.
Ninavyoendelea kuandika hasira zinazidi kupanda natamani niwaezeke vibao mmoja mmoja kwa kudharau Watanzania, kuharibu nchi na kuishia kutukebehi.
CCM SIYO WATU! VINYAMANA!