Ndio ni sawa ...wapo sahihi kabisa sababu wao ndio wanafanya biashara na nyie wabongo ni wachuuzi na madalali wa bidhaa zao pamoja na soko lenu la kariakoo..
Hayo ni maonesho ya biashara na wafanyabiashara (wazalishaji) wa bidhaa ni wachina..na nyie ni wachuuzi na madalali wa bidhaa zao..
Subirini siku ya wachuuzi Tanzania wataweka picha zenu..