DOKEZO Kwako RPC; Mama huyu anayeuza dawa za kulevya Mbezi Beach anaharibu kizazi na kuhifadhi mali za wizi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
56,915
31,019
Anaitwa mama Habi. Anaishi maeneo ya Makazi Mapya Mbezi Beach

Serikali za mitaa wanamjua na wananchi walishapeleka taarifa zote juu ya mtandao wa huyu dada

Huyu dada anaishi na wahuni wa Kawe wanaokaba na kuumiza watu. Wanavamia usiku nyumba za watu na kuwajeruhi kabla ya kuwaibia tv, simu nk. Baada ya kuiba hukimbiza nyumbani kwa huyu dada na kuvihifadhi

Polisi Kawe wameshajulishwa na wameishia kwenda pale na kuondoka kila wiki sasa sijui wanafanya ukaguzi ama lah

Wiki iliyopita nyumba zaidi ya 4 zimeibiwa simu tv na baadhi ya viooo vya magari na bajaji

Huyu dada alishawahi kukamatwa na alipotoka aliwambiwa watu yeye ni mwamba na hakuna wa kumfunga kamwee

Sasa kinachoendelea huyu dada amefungua pub kama kujificha na kuwalinda wale wahuni

Ukufika palee unaonaa wahuni wakikaa nje na kuvuta bangi nk

Majuzi tu wamepiga na kupora watu saaa saba mchana mazimaaaa

N kama vile wanaserikali yaoo ama lah

Tunaomba RPC, Hili suala polisi Kawe wanajua

Vijana wameathirika hivi tunaandika kuna makundi yanatoka upande wa JK shule kwenda kwa huyu dada kununua skanka

Na wanapovuta zikiwapanda wanaanza kuwangangania watu ovyo na kuwaibia

Vijana wanangamia tunaomba okoa vizazi vya mbezi beach mh rpc

Kwa habari zaidi kuwapata wasilianen na serkl za mitaa watawaeleza kila kitu juu ya uchafu wa hii sehemu ya dada yetu

Mungu ibariki tanzania
 
Kamishna WA madawa ya kulevya

Njoooo huku uone vijana wanavyooangamia na mtu MMOJA akijitangaza hakuna WA kumfunga

Wamemkamata miezi kadhaa AMeTOKA karudi na nguvu mpya na anadai katoa sijui mil 3 sasa sielewi n faini ama mengineyooooo

Changamoto sanaa ikiwezekana aondokee kabisa hili eneo n zaidi ya muuwaji

Saa tatu unatembeea kwa woga ukisikia HATA upepo WA nyasi unatoka baluuu unahisi vijana wanakuja
 
Nchi hii tabu sana ana kiburi kwa sababu akikamatwa anawapa polisi elfu kumkumi tu wanamwachia
Kabisaa mkuuu

Nikiwahi kuandkkaa Mwaka Jana habari zakee akaishia kukamatwa ametokaaa anajitapa hakuna WA kumfunga

Huyu mdada ana cheni ndefu na wenzie WA JK shule aka max pompo

Wanaangamiza vijana na madawa yao ee mola wasaidie
 
Mwanzo polisi walikuwa wakija na defender MAKAZI mapya unawaza labda wanakuja kukamatwa malori ya mchanga

Sasa mchanga haupooo unashangaa Toka mwakajana wanapaki SEHEMU wanashuka WAKIRUDI wanaondoka

Inakuja nyingine same kama wamepigiana simu shidaa sana

Unawaza unawazua anyway wanachoaribu zaidi n kudhuru watu na KUWAIBIA mali zaoo mbaya sanaa

Nimepanga mwezi WA saba sasa YAAN yajayoooo yanasikitishaa

YAAN HATA mke wangu akitokaa kazini saa tatu namfwata kule juu kuogopa wazee WA nganda wasimalizane nae
 
Anaitwa mama Habi. Anaishi maeneo ya Makazi Mapya Mbezi Beach

Serikali za mitaa wanamjua na wananchi walishapeleka taarifa zote juu ya mtandao wa huyu dada

Huyu dada anaishi na wahuni wa Kawe wanaokaba na kuumiza watu. Wanavamia usiku nyumba za watu na kuwajeruhi kabla ya kuwaibia tv, simu nk. Baada ya kuiba hukimbiza nyumbani kwa huyu dada na kuvihifadhi

Polisi Kawe wameshajulishwa na wameishia kwenda pale na kuondoka kila wiki sasa sijui wanafanya ukaguzi ama lah

Wiki iliyopita nyumba zaidi ya 4 zimeibiwa simu tv na baadhi ya viooo vya magari na bajaji

Huyu dada alishawahi kukamatwa na alipotoka aliwambiwa watu yeye ni mwamba na hakuna wa kumfunga kamwee

Sasa kinachoendelea huyu dada amefungua pub kama kujificha na kuwalinda wale wahuni

Ukufika palee unaonaa wahuni wakikaa nje na kuvuta bangi nk

Majuzi tu wamepiga na kupora watu saaa saba mchana mazimaaaa

N kama vile wanaserikali yaoo ama lah

Tunaomba RPC, Hili suala polisi Kawe wanajua

Vijana wameathirika hivi tunaandika kuna makundi yanatoka upande wa JK shule kwenda kwa huyu dada kununua skanka

Na wanapovuta zikiwapanda wanaanza kuwangangania watu ovyo na kuwaibia

Vijana wanangamia tunaomba okoa vizazi vya mbezi beach mh rpc

Kwa habari zaidi kuwapata wasilianen na serkl za mitaa watawaeleza kila kitu juu ya uchafu wa hii sehemu ya dada yetu

Mungu ibariki tanzania


Siamini kama Kuna facts zote hizi na jeshi la Police lipuuze, Lazima chumvi imekolezwa kidogo!
 
Anaona kipindi hiki watu wanatembea na maburungutu ya pesa na kununua magari makali , anafikiri wanauza dagaa na duka la mangi mjini😁😁
Hahahaha umenikumbushaaa Jana nilikuwa Juliana pub jamaa anauliza hivi wale wauza chupi krkoo wanapata helà wapi kulipa kodi hahaha
NKAONA anasogea mtu karibu nkaenda choon nkaonaa ooh nn tenaa
 
Hahahaha umenikumbushaaa Jana nilikuwa Juliana pub jamaa anauliza hivi wale wauza chupi krkoo wanapata helà wapi kulipa kodi hahaha
NKAONA anasogea mtu karibu nkaenda choon nkaonaa ooh nn tenaa
Wewe jiulize kwa nini kipindi hiki huko kenya ,na sio cha 2015 -2021 kuna wimbi la matajiri wenye biashara za kawaida ila vitu vya dhamani kuliko mtaji???
 
Back
Top Bottom