johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,685
Nakumbuka NCCR Mageuzi walimdharau Lyatonga Mrema Lakini alivyowatenda Chama kimedumaa hadi Leo
CUF nayo ndio wale wale
Sasa ni zamu ya chadema
Nawatakia uchaguzi mwema!
CUF nayo ndio wale wale
Sasa ni zamu ya chadema
Nawatakia uchaguzi mwema!