Kwaheri Chadema ukifika Uendako wasalimie NCCR Mageuzi, CUF na TLP waambie CHAUMA anawasalimia sana!

Leo ndio CHADEMA day, kenge na fisi maji wote wanafuatilia uchaguzi wa CHADEMA (chama walichosema kimekufa) na kikapata 1% ya uchaguzi Serikali za mitaa. Pumbavu Kabisa CCM na Polisi wake
Vyama vyote duniani vina demokrasia ya kubadilika kwa mwenyekiti Bila kujali kabila lake.
Sasa Chadema unasemaje ni chama wakati mwenyekiti habadiliki na zingatio la ukabila likiweko!
Hiyo ni Saccos ya ma mangi.
 
Vyama vyote duniani vina demokrasia ya kubadilika kwa mwenyekiti Bila kujali kabila lake.
Sasa Chadema unasemaje ni chama wakati mwenyekiti habadiliki na zingatio la ukabila likiweko!
Hiyo ni Saccos ya ma mangi.
Eeghh unataka tubishane? Yaani nibadilishe unachoamini! HAPANA nilishavuka huko
 
Mind kwamba mbowe akishinda anaweza kubalansi mambo chadema ikaibuka na mgombea urais Lissu chama kikabaki the same bila kusambaratika
Slim chance though. Lissu akishindwa leo kutakua na kazi kubwa sana ya kurudisha tena imani za watu na uchaguzi upo mbali sana kwa joto lilivyo sasa hivi. Ni mtihani mkubwa sana hapo mkuu
 
Mind kwamba mbowe akishinda anaweza kubalansi mambo chadema ikaibuka na mgombea urais Lissu chama kikabaki the same bila kusambaratika
Binafsi bado sitaridhika, mbowe hana mvuto kbs tena wa kisiasa inatakiwa akae pembeni tuweke kikosi kipya chini ya lissu!
 
Nakumbuka NCCR Mageuzi walimdharau Lyatonga Mrema Lakini alivyowatenda Chama kimedumaa hadi Leo

CUF nayo ndio wale wale

Sasa ni zamu ya chadema

Nawatakia uchaguzi mwema!
Endapo akishinda Mbowe uzi wako utakuwa kweli na hakika. Ila akishinda Lissu hili litakuwa dua la kuku ambalo halitampata mwewe kamwe!
 
Nakumbuka NCCR Mageuzi walimdharau Lyatonga Mrema Lakini alivyowatenda Chama kimedumaa hadi Leo

CUF nayo ndio wale wale

Sasa ni zamu ya chadema

Nawatakia uchaguzi mwema!
Mwakitwange we mchawi. Jana ulitaka uchaguzi usifanyikie Mlimani city. Mwakitwange mrudie Mungu
 
Back
Top Bottom